Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wadau mke wangu anapata maumivu makali sana pindi anaponyonyesha mtoto pia kama kuna viuvimbe kwenye chuchu pls msaada tafadhali n.b ni mzazi week ya tatu sasa
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Is an effect of coffee to wake up early, you know, but which has become a major problem, it seems that the men at the same time also an effective weapon against prostate cancer!The benefit of the...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
anaharisha maziwa ya mama, tatizo ni nini tumbo linamjaa ananyonya sana
0 Reactions
3 Replies
5K Views
So many sphycologists, doctors etc always say that making love cures headache but I havent got a proper scientifc explanation on this issue and how far true it is. Mwenye uelewa zaidi atumwagie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni mdogo angu umri 24 msichana, anaota ndevu na anazinyoa ka mwanamume kidevuni na anamustachi ki aina hii nini?hajawahi kutumia mkorogo toka azaliwe.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilitumia dawa za Malaria aina ya Co-Malafin,nilitumia siku tatu,baada ya hapo,siwezi kukaa juani au sehemu yoyote ile yenye joto!yaani Mwili unachomachoma mpaka vinatokea vipele na vinauma...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
11 STEPS TO REDUCE MENSTRUAL PAIN This article is not for ladies alone..Guys, if u love your lady, then my guess is sometimes when she is having her Periods, you are also stressed as she goes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Daktari Njelekela katoa tangazo hili leo kwa madaktari waliogoma Muhimbili: TANGAZO KWA MADAKTARI WOTE WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili unawatangazia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamii forum! Mimi ni binti wa miaka 27.Tatizo langu ni siku zangu za hedhi.Mwanzo sikuwa na tatizo la kupata siku zangu lakini mwezi uliopita sijaelewa nimepatwa na tatizo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lotion ipi inayoweza kuondoa farcial wrinkles inapatikana nchini kwetu(Tanzania)?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WAGONJWA wa Ukimwi huenda wakanufaika na dawa mpya ambayo itawawezesha kutumia tembe moja kwa siku. Hii ni kwa mujibu wa utafiti mpya nchini Marekani. Kwa mujibu wa Jarida la Afya Lancet...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tatizo hili linanisumbua nikila chakula chochote kile au kusafisha meno
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu zangu habari ya leo, nimeamka asubuhi kijana wangu amdpatwa na ugonjwa wa RED EYES yani haoni na pia ana allergy amevimba uso kama ametembelewa na washawasha, wale wenye kujua dawa please...
0 Reactions
5 Replies
14K Views
nina tatizo la kuchelewa kumaliza tendo la ndoa natumia zaidi ya dk 30 kumaliza na nina uwezo wa kufanya tendo ucku kucha bila kuchoka.nahisi hii ni tatizo kwan na mbore girl friend...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
What can the health service offer? Africa Live takes a trip to the barber shop to discuss the health service On Thursday 7 July, Africa Live is in Milton Keynes and Dar es Salaam, with BBC...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu, Nina vijana wangu huku porini wanaugua majipu. mmoja anasema ni miaka mitatu sasa yanamsumbua, likisha moja linakuja lingine. Msaada please wa dozi ili yaishe.
0 Reactions
13 Replies
43K Views
Wadau wa jukwaa hili, ngozi yangu ya uso imeathirika na mionzi ya jua. Nimetumia mafuta ya walemavu wa ngozi.Sijapona.
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Nini suluhu ya kutanguliza placenta wakati wa kujifungua na hivyo kusababisha kufanyiwa upasuaji
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom