Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mke wa rafiki yangu anasumbuliwa na ziwa linamuuma upande wa kushoto,maumivu yanakuja nakupotea,alijua inaweza kuwa ni Cancer lakini amefanya vipimo ikaonekana hana tatizo lolote ila wamehisi ana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salamu Wakuu! Naomba kujuzwa kuhusu huu uchunguzi wa kitabibu unaofanywa na vituo hivyi vya tiba mbadala (SNS)vinavyosimamiwa na Askofu Gamanywa, je ni salama kwa afya za watumiaji? Na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naruhusiwa kunywa kilevi cha aina yoyote ile nikiwa under antibiotics dose??
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Za mchana.et zile ped za angels ile self test card inapima hiv status au km una infection yyt kwny uke
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tumewahi umesikia au kusema 'nina homa'' au dalili za ugonjwa fulani ni pamoja na 'kupata homa'. Watu wengi (ikiwemo mimi) hatujui maana au dalili hasa za homa. Naomba msaada wa ufafanuzi juu ya...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Hi JF Doctor ! hoping ur doing fine! sijui ni ugonjwa au mabadiliko ya mwili kiumri nimejigundua nimekuwa na ukosefu wa kumbukumbu vizuri naweza nikaweka kitu mahali within a short time...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua kuhusu hili - Nimeona cheti za Death Certificate kimeandikwa (Course Of Death is CCF) Naomba kwa wale wataalamu wa udokta nini maana ya CCF! Asante.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello Wana JF. Naombeni kuelekezwa spitali nzuri ambayo inatoa huduma nzuri za clinic kwa wajawazito pamoja na huduma ya kujifungua. Hapa Hubert Kairuki Mikocheni huduma zao ni mbovu. They are not...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnisaidie dawa ya kuzuia kutapika wakati wa kusafiri kwani huwa inanitokea mara kwa mara hata nisipokula kitu chochote lazima itokee,msaada tafadhali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu!!! Mimi ni mwenyeji wa moshi ila sasa hivi nipo dodoma kikazi kama mwaka pili hivi,tatizo langu ni kuwa siku za hivi karibuni nimeanza kuwashwa sana mwilini nikitembea kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JAMANI, ni ajabu nimewakuta wakenya hapa nzega Tabora, wanafanya kampeni ya kutahiri wanaume, hata watu wazima wanapanga foleni wanaenda kutahiriwa ati kwa kufanya hivyo kunapunguza uwezekano wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jamani ee ikulu panawasha mpaka aibu nimenyoa mavumbi ya kokoto jana mpaka najuta kuyanyoa kwa muwasho. Naombeni msaada
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Medical Dark Ages *Quotes from Dr. Dean Burk, co-founder of the National Institute:* "The more people making a living off cancer, the more impossible it is to get rid of it." "If enough money can...
1 Reactions
0 Replies
970 Views
From Yahoofriends A little boy died in Brazil after eating MENTOS and drinkingCoca-Cola / PEPSI together. One year before the same accident happened with another boy in Brazil . Please check the...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nachukua nafasi kuwapongeza ma Dr. wote wanaofanya kazi Tanzania kwa sababu nyingi lakini kati ya hizo ni 1.Kufanya kazi kwenye mazingira magumu bila vifaa vya kutosha,mishahara isiyo...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika kipindi cha ujauzito athari hutokea nyingi ila kitu cha msingi mama mjamzito anatakiwa aanze kliniki mara moja pale anapokuwa tu mjauzito. Wakati wa ujauzito mabadiliko mbalimbali...
1 Reactions
1 Replies
86K Views
Mara baada ya kujifungua mama anaanza ukurasa mpya wa maisha ya malezi. Anaanza wajibu mpya wa kulea, akili yake na mwili wake unakuwa tayari umejijenga kulea mtoto. Mama ana kazi ya...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
>Kutokwa na ute rangi ya kahawia/chocolate ukeni. >Periodic headache. >Periodic fever. Naomba msaada wanaJF na tiba yake ni nini? Asante sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Healthy Life .... ‎'Some unknown Health Benefits of Mangoes' Prevents Cancer and Heart diseases High amount of antioxidants are present in mangoes. So mango when consumed regularly fights...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa umuhimu wa asali ya nyuki wakubwa,nimesikia ukichanganya na maji ya moto inasaidia kuyeusha mafuta mwilini ila sijajua ni asali ya nyuki gani wakubwa au wadogo! Mimi natumia ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom