Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwema Ndugu zangu, Naomba kufahamu jambo hili muhimu tunalo linalofanya sote kila siku na linalofahamika pakubwa na Jamii duniani pote. Kiafya, nguo za ndani za kike na kiume, mathalani chupi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwanza nipende kumshukuru sana Lavan Island yeye ndio chachu ya mada hii...nilikuwa sina ufahamu wa kutosha kuhusu kitunguu saumu japo nilikuwa najua kuwa ni kinga nzuri kwa mtoto anayetaka usiku...
53 Reactions
538 Replies
227K Views
Habari ndugu nimekuwa na tatizo la kusumbuliwa upande wa kushoto yaani kama moyo unavuta vile mwezi sasa, tatizo nini??
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Hey members habari za mchana Naomba kufahamu hospital nzuri ya macho ya serikali maana nahitaji kupima macho (color blindness), na uoni na gharama zake itapendeza zaidi Mchana mwema Kwa. Dar
1 Reactions
0 Replies
384 Views
Habari Mimi ni mwanaume naombeni msaada Kuna mwanamke nilikutana nae nikafanya nae mapenzi kwa Sasa ninapata maumivu wakati wa kukojoa pia maumivu chini ya kitovu na pia wakati wa kukojoa, pia...
4 Reactions
67 Replies
3K Views
Kuna mtu alinieleza Ili dawa ya tayphoid ifanye kazi viziri Kuna kidonge kimoja unatumia kwanza ndipo uanze dose ndiyo dawa ifanye kazi sawa,naombeni kujuzwa kuhusu hili
2 Reactions
9 Replies
926 Views
Wana jf kwa yoyote anayefahamu dawa ya kiasili ya kushusha shinikizo la Damu anijuze, iwe matunda au vyakula vyote sawa tu. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Ngiri inaweza kutibika kwa dawa za asili au lazima upasuaji hospitali na kama dawa za asili ni zipi hizo?, vipimo gani naweza kwenda pima hospitali.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye ufahamu na kuweza kunisaidia upatikanaji wa tiba kuhusiana na hayo matatizo anisaidie hata iwe tiba ya asili
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Wakuu, habari za Muda huu, Naomba kusaidiwa mada tajwa hapo juu, Kwamba ni hospital gani yenye maspecialists wazuri na wana vifaa vizuri Kwa hapa bongo?
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Wakuu natumaini hamjambo naombeni msaada kwa hili Jambo wiki mbili na siku kadhaa nilichomwa na msumari ila uliingia Kidogo Sana nikafuta kwa sababu ilikuwa Kidogo nikaendelea na maisha ila sasa...
0 Reactions
5 Replies
391 Views
Wakuu habari Naombeni mnifahamishe hili ni tatizo gani na linatibiwa aje? Asanteni.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nitawasalimia nikimaliza matatizo yangu. Ni hivi hapo majuzi nilipata mwamamke mkubwa kiumri kanizidi kama miaka 11, mimi nina 32. Nimechakatana nae vizuri na kweli mmama kaelewa show...
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Kuvunjika kwa uume ni tatizo la kawaida miongoni mwa wanaume, licha ya kwamba tatizo hili halizungumzwi sana. Kuvunjika kwa uume kuna uwezekano mkubwa wa kutokea pale unapogonga mguu au sehemu ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara...
1 Reactions
147 Replies
47K Views
Wadau naombeni msaada hospitali yenye ma specialist ya macho na tatizo la macho linanisumbua mwaka wa 10 sasa.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini, Ninaomba Kuuliza kwa wazoefu , Endapo Mama anachangamoto ya Maziwa kutoka toka Mtoto ana mwezi Mmoja Je ni sahihi kwa mtoto kuendelea kupewa maziwa ya kopo hasa Lactogen kwa zaidi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina sumbuliwa na tatizo la kukosa usingizi miaka 6 sasa sipati usingizi nimechoka na utegemezi wa dawa ambao haunisaidii.Naombeni msaada na mm niwe kama binadamu wengine
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Maafisa wa afya nchini Marekani wameidhinisha kwa mara ya kwanza ulimwenguni chanjo dhidi ya homa ya Chikungunya. Kulingana na mamlaka inayosimamia chakula na dawa (FDA) ya marekani, chanjo hiyo...
3 Reactions
17 Replies
925 Views
Nitangulize salam kwanza kwa ndugu wote wana jamii forum, kama kichwa cha Habari hapo juu kinavoeleza, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo huu mwaka wa 6 naomba kwa yoyote anayefaham dawa au...
2 Reactions
59 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…