Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habarini... Naomba kuuliza ni dawa gani ya kiasili ya kuchua kwa mtu aliyepata mpasuko (fracture)kwenye mbavu. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Virusi vya homa ya ini vipo vya aina 5 (A, B, C, D,E). Aina mbili za virusi (B Na C) zimetajwa kuwa ndio sababu kuu za ugonjwa wa homa ya ini ambayo husambaa kupitia damu na majimaji ya mwili...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
MATATIZO YA AFYA YA AKILI. -Shirika la Afya Duniani (WHO) linataja kuwa kabla ya janga la COVID19, takriban mtu 1 Kati ya 8 Duniani kote walikumbwa na matatizo ya kiakili, hata hivyo Msaada...
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Habari ya leo ndugu zangu, ninatatizo hilo kipindi cha mwaka sasa ilitokea kama viupele vinawasha nikakuna ikawa hivyo nini chanzo au dalili ya nini. Asanten sana.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama ambavyo mtu utaanza kugundua umekuwa mkubwa pale unapoanza kusalimiwa na vijana wadogo basi ndivyo utavyojigundua kwa mabadiliko ya uwezo wako kwenye shoo. Hali sio tena kama niliyoizoea...
13 Reactions
117 Replies
5K Views
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni...
1 Reactions
1K Replies
193K Views
Hello Mwezi ulopita nimetoka kupokea majibu ya kipimo cha HIV kwa njia ya ELISA! Aisee hatari Kuna vipimo viwili vya HIV Rapid test DNA test Rapid test ndio hivi wanavyopima kwene hospitali...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Jinsi ya kuavoid thinking about negativity all the time!! Jamani nina ndugu yangu yupo insecured muda wote na most of the times anawaza vitus negative sasa naombeni msaada nifanyaje??
3 Reactions
7 Replies
512 Views
Habari wadau hope mko salama, Nina kidonda kichwani nilikipata kwenye barbershop nimejaribu kutumia dawa haviishi kinakauka leo kesho tena maji maji naweza Pata msaada wowote. Ahsante sana
1 Reactions
1 Replies
319 Views
Anayejua dawa asili au tiba asili ya tatizo hili natanguliza shukrani zangu.
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari za muda huu wanabodi. Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia ni dalili za awali za ulcers, walinipatia dawa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Magonjwa ya akili ni matatizo ya ubongo ambayo humfanya mtu kuwa na hisia, fikira na matendo tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii na kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha. Magonjwa ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii ni dawa ya Asili(dawa ya kienyeji) Mtoto mchanga kama ana mafua au amevuta maji wakati wa kujifungua hivyo akashindwa kupumua. Fanya kitu kimoja: Tafuta kondoo, mshikilie huyo kisha...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari Wana Jamii Health. Siku Ya Jana Nimejikata Na Wembe Wakati Nikijaribu Kuutupa Ili Usije Dhuru Mtu. Hapa Karibu Kuna Watu Wameathirika, nimejawa na Uwoga Napataje PEP? Masaa Yanayoyoma...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Watalamu wa hizi kazi msaada tafadhali. Nimekuwa nikijiuliza swali hili muda mwingi sana ila sipati jibu. Imekuwa ni kawaida mtu kukatazwa kunywa maziwa pale tu pindi amezapo dawa kwakuwa...
0 Reactions
17 Replies
727 Views
Duniani Kuna magonjwa uku ya hatari. Ambayo mengine hayana majina Najisikia hali fulani hivi Ambayo na shindwa kuhelewa kama ni ugonjwa au ni maumivu Yaani kichwani mwangu sijui kama kuna tatizo...
1 Reactions
12 Replies
941 Views
Nimeoa toka 2020,Mimi na mke wangu tumefanya juhudi mbali mbali za kupata mtoto, lakini mpaka sasa imeshindikana. Mke wangu anaingia period kama kawaida japo sio kwa mzunguko ulio rasmi...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau nimekutana na hiki kitu kwamba ni hatari kwa Binadamu yeyote kula vyakula kama Kababu, Suya, vinywaji vya Coca, Nyama ya Kukaanga kwa Mafuta na Mikate yenye Ngano kabla ya kwenda kulala. Je...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
  • Closed
Usafi wa uke ni jambo muhimu sana kwa afya ya wanawake. Mambo usiyostahili na unayostahili kufanya ili kutunza afya ya uke Usiingize kidole ndani ya uke kwa lengo la kujisafisha hiyo huondoa...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Kinyesi cha kawaida huwa na rangi ya hudhurungi (brownish) kutokana na kuwepo kwa kemikali ya 'stercobilinogen' kwenye utumbo. Kinyesi cha watoto wachanga huonekana kahawia-njano au kijani-njano...
1 Reactions
0 Replies
409 Views
Back
Top Bottom