Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

By Brenda Goodman, MA WebMD Health News Reviewed by Laura J. Martin, MD March 26, 2012 -- People who are trying to lose weightmay not need to bar chocolate from their diets.A new...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nilianza mazoezi ya viungo mwaka jana mwezi wa sita nahitaji mahali yaani eneo ambalo wanauza vifaa kama vya kuongeza nguvu,nikiwa na maana ya VYUMA VIZITO.Mimi nipo bagamoyo,naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu!!! Ninaomba kama unamjua mtu yoyote ambaye unamfahamu anaumwa/aliwai kuugua Chronic Myeloid Leukemia (CML) anitafute kwa email:shekywasheky@hotmail.com au uni PM humu kwenye JF Dhumuni ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
146 Reasons Why Sugar Is Ruining Your Health 1. Sugar can suppress the immune system. 2. Sugar upsets the mineral relationships in the body. 3. Sugar can cause hyperactivity, anxiety...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimetumiwa maelezo yaliyopo chini ambayo ningependa kugawana nanyi kwa wale wenye kuamini tiba ya mitishamba. Huu mmea unaitwa Aloe saponaria (Soap aloe), ambao licha ya kuwa unafanyakazi zile...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
I know I’m not alone in often forgetting names of close friends, or recalling the name of the book that I recently read, or heck, that I’mcurrently reading. Occasional memory lapses are a normal...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
hello jf i am wondering if any doctors on the forum know if it is possible for foreigners to enrol in tz universities to study medicine. how much does it cost?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Huwa napata maumivu kwenye vidole mikononi na miguuni na wakati mwingine vinakuwa na joto kali sana, Na hii huwa inatokea nikikaribia bleed. Naomba ushauri wenu au ni matibabu gani nipate
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CDC: Imported Fish, Peppers Most Common Culprits March 14, 2012 -- Foodborne disease from imported foods is on the rise, with more foods from more countries causing more outbreaks, the CDC...
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Zamani ilikuwa ni kawaida kuona wanawake wanatoboa masikio, pua, ili kuvaa aina mbalimbali za herini na shemeri. Siku hizi si ajabu kuona wanaume na wanawake wakijitoboa au kuchorwa alama...
0 Reactions
1 Replies
10K Views
kuna uwezekano wa binti kutokuziona siku zake(bleed) na asiwe anamimba? na sababu yaweza ikawa ni nini? wenye utalaam na mambo haya mnisaidie.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wana JF. Kuna hili tatizo la red eyes ambao kwa hapa dsm almost palipo saba mmoja au wawili wanasumbuli.wa na red eyes ila mimi sijajua unatokeaje na unasambaa vipi natumai...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni kawaida kwa watoto kulia. Hata watoto wanaozaliwa na afya njema kabisa wanaweza kulia kwa jumla ya wastani wa kati ya saa moja mpaka matatu kwa siku. Kwa vile watoto hawawezi kujifanyia...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
jirani yangu ana mtoto wa miaka miwili wakati anamuogesha mtoto alilia kwa maumivu na alipomcheki aligundua kuna kauwazi ktk sehemu zake za siri haelewi nini kimetokea kwa mwanawe.yaweza kuwa ni...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Kwa kitaalamu fistula hujulikana kama njia isiyo ya kawaida inayounganisha mfuko wa mkojo na uke, ambayo huruhusu mkojo na/au haja kubwa kutoka bila kujizuia kwenye kuta za uke. Nini hutokea...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Tatizo la kiakili la kujihisi mnene na kupoteza hamu ya kula au Anorexia nervosa ni tatizo linawaathiri watu wengi na kuwafanya kupoteza uzito zaidi ya ule unaokubalika kulingana na umri na urefu...
5 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna kijana ameniomba ushauri lakini nimekwama kwani sio mjuzi sana, ana miaka23 lakini cha kupendeza hajawahi kuingiliana na mwanamke! Siku za karibuni uume wake umekuwa ukisimama kwa muda mrefu...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Watafiti wa magonjwa wanadai kuwa msongo mkali wa mawazo wakati wa ujauzito unaweza kusababisha hitilafu katika uumbaji wa mtoto na hatimaye mtoto kuzaliwa akiwa mlemavu. Ripoti ya watafiti hao...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
What could be the side effects of drinking coffee?
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Heshima kwenu vyote wana JF. Naomba madokta na wote wenye kufahamu juu ya ugonjwa tajwa hapo juu,pia dalili zake. Maana nimeona kwenye tv ama kwahakika watoto...
0 Reactions
4 Replies
21K Views
Back
Top Bottom