Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani nimekuwa naota Fangasi juu ya unyayo,vinaota vipele vidogo vinakuwa kama na maji ndani na baada ya muda zinapasuka na kusambaa kwenye mguu.Nimejaribu kila aina ya dawa ya kupaka hata kuvaa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Cervical cancer is malignant cancer of the cervix uteri or cervical area. It may present with vaginal bleeding but symptoms may be absent until the cancer is in its advanced stages. Treatment...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
nimezaa watoto idadi ninayoihitaji nataka kufunga kizazi lakini kuna watu wananipa hofu kwamba nikifunga kizazi kuna madhara mojawapo ni kuwa baridi au kukosa hamu ya tendo la ndoa.Je ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
sasa yapata wiki mbili sasa kuna vijipele vimenitoka karibu na sehemu za mapumbu,nimeenda hospitali nimepima hawajakuta tatizo lolote,wameeniambia kuwa inawezekana sababu naavaa nguo nyingi sana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hey jf doctors kuna uhusiano gani kati ya kuonesha dalili za vvu na kupima ukaonekana hauna maambukizi! Inakuaje hii doctors
0 Reactions
5 Replies
6K Views
habari nduguz, nna tatizo moja ambalo huwa haliishi kwa mda mrefu sasa mara nyingi ulimi wangu unakua kama unakatika yaani kuonyesha alama kama za mikatiko naomba kujua ni ugonjwa wa aina...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ebahnaee ninapokuwa kwenye maandalizi yasex mapigoyamoyo huenda mbio hadi najishitukia,kuwa ninamatatizo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wana jf wenye ufahamu wa tatizo hili naomba ushauri wenu. Kuna mtoto wa umri wa miaka 10,ana tatizo la ADENOIDS.Amekwisha wahi kufanyiwa upasuaji takribani mara 5 kwa kipindi cha miaka 5...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nina rafiki yangu ambaye alikuwa hajapata hedhi for two months akafanya vipimo vya pregnacy both urine and ultra sound hakuonekana na tatizo sasa ijumaa iiyopita akapata hedhi meanz she start...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanasayansi nchini Marekani wako mbioni kutengeneza korodani bandia (artificial testicle) zitakazokuwa zikitengeneza shahawa ili kusaidia wanaume wenye matatizo ya uzazi. Timu ya wanasayansi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mtoto Saul amekumbwa na ugonjwa wa ajabu wa kusinzia na kutikisa kichwa. Mama yake anasema Saul hupatwa na degedege linaloweza kumchukua muda wa hadi si chini ya saa tatu kupata nafuu na kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Neno syndrome humaanisha mkusanyiko wa dalili au magonjwa kadhaa ili kufanya ugonjwa mmoja. Ugonjwa wa Nephrotic syndrome ni hali ya maradhi inayokumba figo na kusababisha kupoteza kiasi kingi cha...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa namatatizizo yasikikoo kutoa maji sambamba namumivu pls naomben mnisaidie dawa nawakilisha.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
>Usisikilize simu kwa sikio la upande wa kulia.>Usinywe dawa kwa maji ya baridi.>Muda mzuri wa kulala ni baina ya saa nne hadi saa kumi usiku.>Usile mlo mwingi baada ya saa kumi na moja...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Jamani ninaumwa meno si mchezo. Ni hospitali gani ina huduma uhakika ya meno hapa Dar? Siwezi kuvumilia lazima kesho niende. Tafadhalini nisaidieni !!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna mtu amenunua 7 Miracles Lemons Antiseptic Soap. Anataka kutumia naomba kina mama wazoefu kama inasaidia kutoa madoa usoni kama jamaa wanavyoeleza. Imetoka Lusaka, Zambia.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari.. Wanajamvi je kuna mtu yoyote unayemfahamu anatatizo au alikuwa na tatizo la Chronic Myeloid Leukemia? Naomba uwasiliane na mimi kwa email:shekywasheky@hotmail.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua details za tatizo la figo. Matibabu yake yapoje(dawa na fedha)?? Ni kweli figo haitibiki ?matter of replacement??yaani uwe na mtu ambaye damu zenu ni group moja itolewe yake then...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Food of the futureBy Jo Romero | Food Glorious Food – Mon, Mar 19, 2012 16:11 GMT Email Print Food that never goes off, artificial meat grown in a lab and food pills: could this be the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
​Wagonjwa wa Ukimwi huathiriwa sana na ugonjwa wa figo. Ugonjwa wa figo unaohusiana na Ukimwi (HIV-Associated Nephropathy au kwa kifupi HIVAN) unaweza kusababishwa na mashambulizi ya moja...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom