Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari dearest jf doctorz! Shost angu kipenz kajifungua jana mtoto wa kiume ila ilikuwa shughuli,mtoto mkubwa na njia ndogo! Na ujauzito wake ulikuwa miez kumi na kama wiki naa,iv! Na ad sasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Can lidocaine used topically other than intramuscularly and still be effective to cause numbness
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nina kidole cha mkono wa kushoto kimevimba na kinauma sana...nakumbuka sijakigonga sehem yeyote..inawezakua ni nini?au ni bacterial infection?naomba mchango wenu madokta nitumie dawa gani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Margarine was originally manufactured to fatten turkeys. When it killed the turkeys, the people who had put all the money into the research wanted a payback so they put their heads together to...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
HABARI WAKUU. HUWA NAFANYA MAPENZI KAVU KAVU NA MPENZI WANGU (tumepima). KINACHOTOKEA NI KWAMBA HUWA NAENDA UMBALI MREFU NA SPEED KUBWA MPAKA HUWA NAPATA MCHUBUKO SEHEMU YA PEMBENI YA SHINA LA...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
With the profile of HIV-AIDS undergoing transformation from a life-threatening emergency to a manageable chronic infection, the World Health Organisation (WHO) urged South-East Asian countries to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna ugonjwa flani wa macho nimeupata.Sijui unaitwaje lakin ni kwamba macho yanauma sana na yamekuwa mekundu pia yamevimba.Cha ajabu baada ya siku 2 na rafik yangu nae kaupata.Tulipowauliza watu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hapa chuoni kwa takriban wiki mbili sasa wanachuo wengi wanasumbuliwa na macho, ukienda kituo cha afya hapa udsm kila mwanachuo anasumbuliwa na macho!lakini Niimani yangu Hapa Jamii forum ndo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajf wenzangu poleni na majukumu ya hapa na pale..............Ni hivi kwa yeyote anayefahamu faida za matango(pori na ya kisasa) na malimao katika miili yetu sisi wanadamu..Msaada tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman wanajamv naomba kuulza et mwanaume asipofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna madhara yoyote anayoweza kuyapata maana kuna watu wanadai et anaweza kupoteza nguvu za kiume au zikapungua?
0 Reactions
0 Replies
841 Views
ni muda mfupi tu tuko kwenye ndoa na huwa tunashirikiana tendo effectivelly! juzi mke wangu aliona matone machache ya damu mithiri ya hedhi lakini muda wa hedhi ulishapita na alipata hedhi. Pia...
0 Reactions
4 Replies
12K Views
.........
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Najamani naomba kujuzwa kama kuna madhara yoyote mwilini kwa kutumia body spray perfumes na deodorant. Kuna nyingine ukijipulizia mwilini unahisi kama mwili unawaka moto.
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujuzwa kama kutumia body spray perfumes na deodorant kuna madhara mwilini. Maana kuna nyingine ukijipulizia mwilini, unajisi kama mwili unawaka moto.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni habari njema kwa watu wanaoishi na VVU na jamii kwa ujumla: Matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanyika Afrika na sehemu zingine duniani zimethibitisha kuwa kuna uwezekano wa zaidi ya...
1 Reactions
25 Replies
20K Views
Habari.naomben ushaur wenu.dada yangu anasumbuliwa na matiti yaan yamekuwa na makubwa na yanatoka maziwa kabisa ila sio mengi sana.tatizo ni kwamba amepiwa ujauzito mara 4 ktk hospital tofauti lkn...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Dadangu ana matatizo ya meno pamoja na mafizi yake,swali ni hili hapa;Meno yanauma na mafizi yanatoa damu ni nini sababu yake na nini matibabu yake?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wandugu kupitia jukwaa hili naomba kuuliza kama hii hali inayojitokeza kwangu ni tatizo au la.. Mm ni mwanamme umr miaka 31 ni kwamba nimekua na takriban miez miwil na zaid bila kua na hamu hata...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
hodi JF doc,nimetegua shingo baada ya kuilalia vby,msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
More than one billion are at risk of contracting the debilitating and disfiguring ailment, elephantiasis. Infection is rampant in parts of Africa and Asia, but as Rachel Smalley reports for VOA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom