Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

kuna simu 2 za zote used kwa miezi miwili iphone 4 na 4s sokon Iphone 4 kwa lak 7 na iphone 4s laki 8.5. Kwa aliye tayari ani pm.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani wana JF habari za hapa ndani, mimi nina demu wangu amepata tatizo tunashindwa kulielewa, Alichoma sindano za powersafe. soon after changes zikaanza, menstrual ikabadilika na maziwa yakaanza...
0 Reactions
16 Replies
17K Views
heshima kwenu nyote madoctor na wataalamu wetu..... Nina mdogo wangu ametokea kuwa na upungu wa nywele kichwani(kipala) katika umri mdogo anapata shida sana kwani inambidi kunyoa nyele zote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
It is so surprised to know that there are no male physiotherapist and masseurs are available in Arusha. And many of the masseuses do not know the actual massage and no chance to Deep Tissue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman hawa nao wamezidi sasa!! kila kukicha afadhali ya jana!! waungwana nina demu wangu kiukweli ananipenda sana! hivi juzi kati ameanza kuumwa na tumbo sana! nkawa nawaambia machizi wangu kuhusu...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Watafiti wamegundua namna mpya ya kuvunja kanuni nne za afya ambazo liliwekwa zamani na bado ukawa na afya njema. Kanuni za zamani na mpya ni hizi hapo: 4 Health Rules You Can Break Today Old...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu tha great thinkers! Hivi kuna tiba yoyote ya kuufanya uume usimame imara?(hardness of the erection)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
it's morning again, ngoja nikaoge, we mwanaume usioge maji ya moto, wanaume wakioga maji ya moto sio vizuri, inaua mbegu za kiume, utashindwa pata mtoto ....naenda kazi bila kuoga nisije kosa...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wapendwa! Nimekua nikisumbuliwa sana na usingizi badae nimekuja kugundua inawezekana nikawa nimerithi kutoka kwa mama maana nimegundua ana usingizi sana akitulia tu kidogo analala sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Daniel Mjema, Moshi UGONJWA wa kimeta (anthrax) umeua mtu mmoja na wengine 84 wakiendelea na matibabu huku 10 kati yao wakiwa katika hali mbaya. Habari zilizopatikana jana zimeeleza kuwa ugonjwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
naombeni msaada nikila chakula tu ulimi unakatika hospijal wanasema ni ukosefu wa madini ya nyama
0 Reactions
3 Replies
1K Views
From now onwards East African nationals who pass across Tanzanian borders will not have to show a yellow fever vaccination certificate. Likewise, non-East Africans, when travelling within the...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Hii habari inawezea isiwe ya Siasa 100% lakini kwa kuwa siku za karibuni hapa bongo kumekuwa na mijadala ambayo imezua issue kadhaa baadhi yake ni matibabu ya nje Aina ya magonjwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
jaman naomba msaada wa ushauri kwan niko kwenye wakat mgumu mm n kijana wa miaka 33 nina shida kwenye njia ya haja kubwa napata choo kwa shida yaan naumia sana na mwisho choo kinaambatana na damu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina tatizo hilo kila shori mkali anaekatiza mbele yangu basi namtamani....kimapenzi....najiulizaga peke yangu huu utakuwa ugonjwa..despite nina shori mkali nyumbani lakini bado haka ka tatizo...
4 Reactions
42 Replies
6K Views
Wakuu wapi naweza kupata chanyo ya hii DTP na Meningitis kwa hapa dar?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ndugu wa JF, mimi ni mtoaji maarufu sana wa damu, nimeshatoa damu mara tano. Hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuumwa na paji la uso hali maarufu kama kipanda uso, nilipima damu mwezi uliopita...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani naomba mnisaidie. Hivi kwenda haja ndogo Mara kwa Mara ni ugonjwa? Msaada tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwana Mama kuumwa tumbo kila anaponyonyesha au wakati mtoto akinyonya inasababishwa na nini? Nini dawa yake? au mama mtoto afanye nini ili tumbo lisiume?. Asanteni sana.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
nisaidien elimu ya kufanya mapenzi katika siku salama, unazihesabu vipi madaktar wangu? mfano mtu ameanza kublid tarehe 23 alafu kamaliza tarehe 27 mwez wa pili, lini anaweza fanya mapenz na...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…