Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Sijui kama watu wengi wanajua hii imeingia fashen ya 'kuosha matunda na sabuni ya unga Dar... matunda kama machungwa,maembe,matikiti....kwa wauza matunda hasa wa barabarani... ukiona matunda...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Naombeni msaada wenu hata wa mawazo wana jf, ni wiki ya tatu sasa mwenzenu kiuno na mgongo vinaniuma sana hasa ninapokuwa nimelala au kukaa, nimeshaenda hospitali na nimetumia dawa nilizoandikiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina rafik yang ambae hayumo umu. Na mm ndie mtu ambae huwa tunashare siri na kushauriana. Jamaa ni mtu safi na smart kila wakati, hivi karibun amepata tatizo ambalo halielewi. Ananiambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninatatizo la kuganda kwa choo nifanye nini kuondokana na tatizo hili?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman za hasubuhi?mim mzunguko wangu wa siku ni siku 34.sasa juzi umefka muda wa kuona siku zangu nashangaa niliona vidamu vidogo nikipangusa,alafu baada ya siku kama 2 vikakatika.naomba msaada...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
JF Dr. Nimepatwa na tatizo. Jino langu limekatika na kipande kilichobaki kimefunikwa na ufizi je nikiliacha ni taizo? heeeeelp!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
kuna dogo wangu nimemcheki analalamika Tests yake moja imeingia kwa ndani luliko nyingine halafu tumbo linamuuma hii imekaaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo wana JF wenzangu? Ninakuja tena jamvini nikiwa nimeelemewa na tatizo ambalo kiukweli linaninyima usingizi maana sijui kabisa namna ya kulitatua. Iko hivi: Mke wangu ana umri wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kuna dada mmoja anasema yeye siku zote ujauzito wake unachukua mwaka badala ya miezi9 je hii inawezekana?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi, nilikua nauliza je magonjwa ya kisonono na kaswende na magonjwa mengine ya zinaa yanaweza kuambukizwa kwa kushea choo na bafu? Mana nina mschana wangu msaidizi wa kazi za...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
ee bwana jf doctorz me naomba kuhabarishwa mbinu mbadala au dawa kwa hususana wa2 wenye matatizo ya chunusi *thanx in advance*
0 Reactions
0 Replies
987 Views
wana jf na docta.hivi hizi mimba kila mwanamke anaweza kupandikiziwa?au kunamazingira yanaweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na mwanamke aliepandikizwa mwili wake utatengeneza maziwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanajf anayejua complication of postoperative anaweza kulist
0 Reactions
1 Replies
883 Views
nauliza swali jamani kwanini mtoto akizaliwa akiwa na miezi saba anapona lakini akizaliwa mwezi wa nane anafariki?naomba kujibiwa kisayansi zaidi.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Maelekezo yake yanasomeka "........designed for the legs, arms, underarms and bikini line, not suitable for any other body parts......" sasa hii bikini line ina maanisha rukhsa kutumia kuondoa...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari dr na wana jamvi,nataka kujua umri wa mimba,mara ya mwisho kuona ile rangi kwa "akinamama"ilkuwa tarehe 6.9.2011 je mimba hii inaumri gani?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Usiogope kupima UKIMWI.pia usiogope KUCHUKUA MAJIBU YAKO.WATANZANIA WENGI NI WAGONJWA KWA SASA.USIJE UKASEMA UPO PEKE YAKO MWENYE MARADHI.KAZA MOYO WAKO NA WALA USIJUTIE MAJIBU YAKO YA HIV...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Siku zinavyokwenda,mabinti wanaongeza kasi ya kutoa mimba kwa visingizio mbalimbali! Mwenye detailed maelezo juu ya madhara ya hii kitu aweke hapa.
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Nina hisi nina Makata mavi mengi sana so nahitaji ushauri kama ni vyema Kunyoa au ni bora Kuacha. Tafadhari nahitaji ushauri jamani
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Wadau nina rafiki yangu anasumbuliwa na vipele matakoni, vipele hivi huwa vinavimba viwili au kimoja juu ya ****,huwa kinauma ingawa huwa hakitungi usaha. huwa vinadum kwa mda mfupi kisha...
0 Reactions
13 Replies
18K Views
Back
Top Bottom