Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jf dotors naombani msaada dada yangu alipata ijauzito lakini mimba ilipokua na wiki mbili ghafle alianza kupata period then alipoenda hospitali akaambiwa mimba imeharibika akasafishwa. baada ya...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jaman,mwenzenu nimeanza mwaka vibaya,malaria imenishka hadi najihc kufa..niombeen kwa mungu nipone haraka.
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Ugojwa wa sikosel unasababishwa na nini? Na kunaukweli wowote kuwa watu wenye uhu ugojwa miaka yao ya kuishi inahesabika.asanteni wana jf
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hi,
Mtoto wangu alizaliwa akachelewa kulia, hadi sasa shingo haijakaza na bado hajaweza kukaa vizr! Ana miez 9. Hv kuna uwezekano wa kukua vzr kama watoto wengine? Naomba msaada
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana Jf naomba ushauri,mi tatizo langu ni kutumia chumvi nyingi kuliko kawaida yaani msosi ukifika mezani naongezea kabla ya kuonja...!?.Bila shaka ingekuwepo tuzo ya watumiaji chumvi ningechukua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau hapa mtaani kwetu kuna mganga wa kienyeji kutoka simbawanga anadai anarudisha bikra wa madada wote walio poteza et kweli wadau inawezekana??????/ au anataka kuwatapeli pesa zao
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Nimekuwa nikisumbuliwa na tumbo kujaa gas na kuunguruma kwa muda mrefu sasa karibu miaka 10. Nimechoka na hii hali naombeni msaada wenu wadau.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Bandugu, siku chache zilizopita - nilikwenda hospitali ya mikocheni kwa ajili ya matibabu. Kutokana na dalili nilizokuwa nazo daktari alishauri nipime vipimo mbalimbali ikiwemo kipimo cha sukari...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf. Dada yangu amesumbuliwa sana na vidonda vya tumbo ki ukweli vina umri wa miaka miwili sasa imèfika hatua vinachachamaa hadi anagalagala chini katumia dawa nyingi sana bila...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Ndugu zangu wanafamilia wa JF nayotoa yangu matatizo kwenu ni hivi. Kwa kipindi cha karibu miaka kumi sasa nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo ya ya tumbo, mwanzo nilikuwa sijui ni tatizo gani...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
I often go to sleep thinking about the cup of coffee I'm going to have the next morning. I adore it! Whether your morning coffee is an estate-grown brew or just the best supermarket blend you can...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wataalam naombeni msaada ni wapi nitapata kufanya vipimo vya DNA na gharama yake ni nini?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hivi wale wahitimu wa vyuo vya afya na internship wameshapata ajira? Nimetafuta tangazo kwenye website ya wizara nimekosa. Mwenye update anisaidie. (natumia phone ukiweka pdf ntashindwa kusoma)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamii, mimi na mke wangu tuna kama miaka mitano tuko pamoja, ila kitu kinacho nitatiza nikuwa wakati tukitaka kufanya majambo...hasa kwenye foreplay huwa lubricant haitoki...what might...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau kuna mshikaji wangu amekosa raha siku hizi, kwani anatokwa na vipele vidogo vidogo vyenye usaha kwapani. Mwanzo vilikua ni kwapa lake la kushoto tu lakini sasahivi anasema mpaka la kulia...
0 Reactions
11 Replies
14K Views
Temelea hapa utapata: Yohana's Blogspot
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya wadau wote! Nikiwa nakimbia huwa naishiwa pumz inanibidi nipumulie na mdomo je kuna ubaya hapo?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu wa kike ana miaka kama 20, april 2011, ghafra siku moja usiku akiwa amelala usingizi alikuwa kama anaota akawa amekaza mikono na miguu na amengata meno kama mtu mwenye kifafa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Heshima kwenu ndugu wana jf, meno yangu hutoboka kisha yanaanza kuuma na baadaye yanaanza ku katika, naombeni msaada wenu wajuzi.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
mwanangu wa kike ana miezi nane na nusu, tatizo lake kubwa ni kuwa hataki kula kabisa, inaweza kupita hata siku 2 kila tukimpa uji au chakula kingine analia sana kiasi tunaamua kumwacha lakini...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Back
Top Bottom