Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani naombeni maujanja yanu.nifanyeje niongeze mauzito?nina 48kg and my height ni 5.6 so th weit is nt proportional to th heit.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wapendwa Ninaomba msaada, figure yangu inaninyima usingizi. BF wangu anaelekea kunibwaga, ati anataka kitu portable unajua tena wenzetu..... Nimeenda Gym lakini bado tu! Ninaomba...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Hi wana Jf wote Namshukulu Munguu Wife Kajifungua salama ka baby Gal Sasa kuna swala mOja nataka kujuzwa jinsi Bora zaidi ya kupunguza lile tumbo la Mimba
1 Reactions
13 Replies
54K Views
wadau ambao ni wakongwe kwenye haya kuna mke wa jamaa yangu anajisikia vibaya kila siku kama kutapika kuumwa tumbo kutokupenda kula nk anaujauzito wa miezi minne na pia nidawa gani anayotakiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndg zangu ninapotaka kuduu kwa ukweli kondomo inanisumbua sana harufu yake nimejaribu sana kuvumilia nashindwa bora harufu ya K************* naweza vumilia kuacha kutumia...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Ndugu zangu wana JF, naomba mnisaidie ni mafuta gani nitumie kujipaka usoni kwa sababu natokwa sana na mafuta usoni hashasa puani. nilishauriwa nisijipake mafuta usoni lakini hali haikubadilika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi nasoma chuo Mtwara lkn home ni Mwanzo,tatizo langu kl ninasafiri lzm nipate period,hata km si trh rasmi.Je hali hii husababishwa na nini?Pia hunichosha sana km kn dawa wadau nishaurini,hata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina rafiki ambae ni bulimic,tokea anaanza kukua,tatizo kwa sasa sio weight loss but akila anaumwa tumbo so she vomits na kwa sasa anapata maumivu upande wa kulia wa mbavu na kwenye left...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kubemenda nasikia ni kitendo cha mtoto kushindwa/kuchelewa kutembea ambako kunasababishwa na wazazi wake kufanya mapenzi mara kwa mara aidha wao wenyewe au kutoka nje ya ndoa. Mtoto wangu ana...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
WANA JF; Kati ya vitu vinavyochangia pia uume kuwa mdogo ni kukosekana/upungufu wa mtiririko mzuri wa damu kwenye UUME. Na hii inachangiwa sana na mavazi tunayovaa sisi wanaume. Hasa chupi zetu...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Wadau..patient is 23 yrs old,Gravida 2 para 1 living 1..presenting with lower abdominal pain for 3hrs,preceeded by vaginal bleeding-fresh blood. her BP 111/80 pulse 123 Fetal heart rates not...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Dr naomba unisaidie mimi ni mvulana....nimekuwa nikiumwa tumbo la kuhara na kukata kwa muda wa siku 1 au 2 pindi tu ninapotoka kufanya ngono na mpenzi wangu ,,nilibadili mpenzi lakina tatizo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
je ni lotion gani nzuri hasa ngozi zenye mafuta mengi,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The benefits from being a NHO Card Member are innumerable. My entire preventive healthcare needs namely: Medical, dental, pharmacy and lab services are now taken care off. It is a one stop shop...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sugaring is a fast, effective and long lasting method of hair removal. As an ancient hair-removal practice, Sugaring is an all natural method of removing unwanted hair. Sugaring is originated in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mke wangu ni mgonjwa wa jicho. Linauma tu halitoi matongotongo ile ni jekundu kwa juu. Ametumia Gentamycine eye drop na prednisolone eye drop lakini hajapata unafuu. Tiba gani inahitajika?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
some researchers have come up with the mechanisim that can help expectant women on delivery.this mechanisim relieves tensions.ni mfumo ambao umeripotiwa kuwasaidia wakina mama wajawazito wakati wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nimekuwa na tatizo la kukojoa mkojo wenye rangi ya njano kuanzia nikiwa na miaka ishirini na nne hadi sasa ambapo nina umri wa miaka thelathini nimejaribu kwenda hospitali nyingi lakini...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
nitapata wapi huo ujasiri mimi?na wametangaza hakuna dawa milele
1 Reactions
39 Replies
8K Views
Back
Top Bottom