Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

This incident happened recently in Belgium. We need to be even more careful everywhere. A woman went boating one Sunday, taking with her some cans of coke which she put in the...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini wapendwa. Ningependwa kujuzwa ktk hili. Inafahamika kwa akinadada, msitari mweusi unaotokea maeneo ya ktovu kuelekea chini mitaa ya K, hujitokeza kama dalili za awali za ujauzito (naomba...
0 Reactions
41 Replies
42K Views
Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? Please be advised there are two sections on this topic, one by Dr. Stanley Ducharme, a sex therapist, and one by Dr. Ricardo Munarriz, a...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
An Iranian Merchant with his Pistachios Pistachio zina uwezo wa kupambana na seli zinazosababisha kensa na zinaweza kuzuia seli zisiharibiwe na radikali huru na kusababisha saratani. Hayo...
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Mwanga wa jua unasaidia kuimarisha kinga ya mwili Huku kwa muda mrefu ikiwa inaaminiwa kwamba Vitamini D inayotokana na mwanga wa jua inaimarisha mifupa, uchunguzi mpya umeonyesha kwamba...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
siku za karibuni watoto wenye umri chini ya miaka 15 wana matatizo ya macho na kuwa lazimu kuvaa miwani,nini chanzo chake hasa wanafunzi kwa primary na secondary,inatisha!wataalamu saidieni hii shida.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa akina dada wanaohitaji dawa ya kurefusha nywele na kuzifanya ziwe nzito wanaweza wakapiga namba hzi,(0716574636/0787638521) wakazipata. Ni kwa sh. 10,000/=. Ni dawa iliyotengenezwa kwa mmea wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mwanzoni mwa wiki hii nilisikiliza kipindi cha pb cha cloudsfm, kuhusu matangazo ya kuahamasisha maisha na vvu. Nikamsikia “uwezo mmoja” anasema yeye ni mwalimu anaishi na vvu takriban miaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni kuuliza wataalamu hivi kama msichana kamaliza kubleed jana je nikisex nae leo atapata ujauzito? je kuna madhara mengine yatokanayo?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina mwaka mmoja ninatumia masterbation{punyeto} kwa maana nilikuwa mbali kidogo na mpenzi wangu na sikutaka kumsaliti, iila nimejifikilia sio jambo jema hata kidogo. Ingawa kitaalamu wanatuambia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa jamvini napaamini sana ndipo pa kupata miongozo yote, ndipo pa kuponea. Nina ndugu yangu wa karibu sana, mjamzito ana upungufu wa damu (8.3) na yuko mwezi wa nane sasa, hivyo bado wiki nne...
0 Reactions
21 Replies
18K Views
Naandika uzi huu nikizingatia kuwa kuna matukio mengi ya ubakaji yanayotokea katika jamii yetu na mengi kati yake hayaripotiwi popote. Kuna sababu nyingi zinazopelekea hali hii kubwa ikiwa ni...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wana jf! Nina mdogo wangu yaani zikifika zile tarehe zao huwa anatusumbuasana, yaani sindano za pain killer , hadi drip za pain killler na sometime kulazwa,ila zikipita anapona kabsaa. Je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni hivi karibuni nimegundua nina tabia sugu ya kutafuna kucha za mikoni kiasi kwamba sikumbuki ni lini nilikata kucha kwa kutumia wembe au nail cutter, je hali hii inatokana na nini na ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari yako mwana jf. unataka kujua kilo zako? fanya hivi; pima ulefu wako kwa sentimeta halafu utoe 100.jibu utakalo pata ndo kilo zako.kama zitapungua kula ziongezeke ,kama zinazidi...
22 Reactions
67 Replies
11K Views
JAMANI WANA JF, Mimi ni baba wa watoto wawili, na huyo wa pili sasa ana miezi 11. Tatizo langu kubwa ni kuwa huyo mdogo ana tatizo ambalo wataalam wanasema ni Henia. Kwenye sehemu zake za siri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hivi kama una demu wako meno ya dhahabu, namaanisha wale wa kanda ya kaskazini. Inawezekana kuweza safisha yakawa meupe?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huu ni ugonjwa wa zinaa ulio hatari zaidi kwa binadamu. Unasababishwa na kirusi kinacho sambazwa kwa urahisi wakati unapofanya mapenzi. Pia huambukiza watoto ambao hawajazaliwa wakati wa kuzaliwa...
2 Reactions
10 Replies
16K Views
Dalili za mwanzo za ujauzito ni zipi na huwa zinatokea mimba ikiwa na umri gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom