Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

kuna jamaa yangu anatokewa sana na vijipu usoni,ameenda sana hospitali,kapima damu,wakamwambia hana shida. Je kuna dawa atakazomeza ili kumwondole tatizo ilo linaromrudia mara kwa mara? Nawasilisha!
0 Reactions
3 Replies
934 Views
Mostly people take soda as a soft drink. One of the most famous drinks among people of various age groups. People are just addicted towards soda; they don't give any attention about its side...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Kila ninapoamka na hangover nikinywa maziwa fresh naarisha sana! nilishaambiwa kuwa maziwa huwa yanatoa sumu mwilini na vilevile naelewa ya kuwa pombe (alcohol) ni sumu! je ni kweli kuwa kuarisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
heshima yenu wakuu! nna swali la ufahamu juu ya maambukizo ya ukimwi ambalo ni: Je vifaa vya kunyolea saruni vinaambukiza ukimwi? nimekuwa, nimeona vinyozi wanaosha machine za kunyolea na vitana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hi JF-MMU. hivi binti/mwanamke anaweza akaduu kwa siku ya kwanza(bikiriwa) na asitoe damu?..........nisaidieni maana kna binti mmoja aliniambia ni bikira ila tulivyo duu nae hata sikuona damu.
0 Reactions
32 Replies
16K Views
Ninavyofahamu kigugumizi hurithiwa,je inaweza kutokea mtu akakipata nje ya kurithi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba kujuzwa juu ya hili. Mim nikijana nina mda kama 5yrs cjawahi kufanya mapenzi kbs na sababu kubwa iliyosabisha yote hayo ni ufanyaji wa mazoez ya karet niliyokuwa nayafanya.Mwalim...
0 Reactions
26 Replies
20K Views
Ayurveda, the traditional Indian medical system uses different ways of administering drug into the human body. Nasya is one of the important therapies in Ayurveda and in this method the drug is...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku moja kuna rafiki yangu na mkewe walimpeleka mtoto wao kumuona Specialist wakaambiwa walipie 22,000.00 ili kupata huduma na kwa kuwa shida yao ilikuwa ni kumuona Specialist basi wakalipa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Israeli medical researchers say they have developed a new technique for blasting cancer tumours from the inside out which reduces the risk of the disease returning after treatment. Tel Aviv...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
nasumbuliwa kweli na gego lililotoboka sehem ndogo tu ila linamwaga maumivu balaa. Sitaki kuling'oa bali nataka nipate dawa ya kulitibu jinsi lilivyo. Msaada plz
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Jaman Great Thinkers naomben kufahamishwa faida za SEXUAL REPRODUCTION coz mm naona kama hazipo.! Kwa anaejua zipo atutajie hapa jamvin.? Thanks.
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Ovulation Calendar - Free to Use
1 Reactions
9 Replies
6K Views
kadiri siku zinavyo enda mbele ndivyo magonjwa yanavyo ongezeka. Mtaani kwenu kuna kijana mmoja amepofuka macho, eti alikumbwa na presha ya macho. Ndugu waungwana naomba mnijulishe, presha ya...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hope all is well with you brodaas & sisteeeeeeeezz. Jamani nisaidien Jf's doctors mtu anayejua diet ya kufanya ili niweze kupunguza almost 6kg anisaidie..au ushauri nifanyeje hizi excess kg...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Salam wandugu naomba msaada plz rafiki yangu yamemkuta mkewe anatumia uzazi wa mpango{njiti} sasa anadai mkewe hana hisia tena yani hata azame chumvun hapati hisia vp mwamshauri nn?kwamba ukitumia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa na matatizo ya miguu kuuma, hali hii hunituokea pale ninapokuwa nimekaa kwa muda mrefu ama asubuhi ninapoamka. Ninapokuwa nimekaa muda mrefu, basi itauma pale ninaponyanyuka hadi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Salam wandugu naomba msaada plz rafiki yangu yamemkuta mkewe anatumia uzazi wa mpango{njiti} sasa anadai mkewe hana hisia tena yani hata azame chumvun hapati hisia vp mwamshauri nn?kwamba ukitumia...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Ningependa kujua dozi kamili ya pepopunda(tetenasi) na inakaa mda gani hadi kuchoma nyingine/
0 Reactions
2 Replies
10K Views
mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom