Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Niliwekewa drip takriban wiki sasa.Cha ajabu kuanzia nyuma ya mkono mpaka juu ya mkono mshipa wote umekuwa mgumu sanaaa,pia unauma.MSAADA Please!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nasikia maumivu wakati wa kukoja nimeenda kupima majibu ndo hayo: numerous pus cell urine :seem no ova no parasite. Je? Hilo gonjwa gani? Na nini dawa yake.
0 Reactions
29 Replies
15K Views
Wadau, nimeona si vibaya ku - share na nyinyi kuhusu umuhimu wa samaki kwa afya zetu........7 Life-Enhancing Reasons to Eat Fish - Diet and Nutrition Center - Everyday Health
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Bila shaka WanaJF! Humu ndani tuna kila aina mtu humu. Naombe ni tofauti hii ktk hosptal zetu,tofauti kati ya Daktari na Mganga!
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Naomba mnisaidie kunielewesha,kuna baadhi ya walevi unakuta amevimbiwa mashavu yaani unaona kama kuna dalili flani ambayo siyo ya kawaida,je hiyo inatokana na nini ??
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wataalamu/wazoefu naombeni msaada wenu. Kijana wangu wa miaka mitano aliugua Malaria akiwa na mwezi mmoja, na kwa bahati mbaya hatukuicontrol vizuri (Wazazi & madaktari) hivyo ikawa severe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamang mim naumwa na mafua mpaka nimeyazoea nin tiba
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Doc! Please what ı want to revıal to you ıs a true story! Dont even hesıtate replyıng me because ı am ın a monent that have no return! I have a gırl whom...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Jamani naomba mnieleweshe kuna rafiki yangu ameniadisia kuwa yeye anaposex huwa hatoi yale majimaji ambayo mwanamke anatakiwa kutoka wakati wa kufanya mapenzi kwahiyo yeye mpz wake huwa antumia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dawa za mitishamba ya kichina zinafanya kazi kubwa katika utaratibu mpya wa matibabu ya ushirikiano vijijini Hivi karibuni naibu waziri wa afya Bw. She Jing kwenye mkutano wa utekelezaji wa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, Naomba kuuliza. Je, dawa za kuongeza uwezo wa kufanya mapenzi, maarufu kama Viagra, zina madhara? Maana inasemekana (not confirmed), the late General Sanni Abacha zilimtoa roho! Zipo za...
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Baada ya kufanya resechi wiki 2 mfululizo mimi na ex wangu bila waifu kujua, tumegundua kumbe hata maharage pia yana faida (hii ni habari njema kwa walalahoi), nitazitaja faida kwa kiswahili...
10 Reactions
56 Replies
18K Views
wanawake wenye uwezo mkubwa wa ku do , ndo huwa wananyonyoka nywele kisogoni ,napia sio wavivu uwanjani na hawapendi kumiss kipindi
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Rafiki yangu kapata problem ya kuziba kwa mirija ya uzazi yaani Fallopia Tubes, ni kwamba kajifungua mara mbili na uzazi wa pili mtoto alifariki akiwa na wiki moja, tatizo lililopo ni kuwa huu ni...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Kuhusu ugonjwa wa kuhara Majira ya joto ni kipindi ambacho vijidudu mbalimbali vya tumboni vinapozaliwa, kwa hiyo majira hayo pia ni kipindi ambacho watu wengi wanapata ugonjwa wa kuhara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau ni tkribani miezi miwili sasa nackia maumivu katikati ya kifua changu yaanu sehemu ambapo mbavu za pande mbili zinapokutana cjui ni nini hasa nahitajj ufafanuzi please?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Jinsi Ya Kujichunguza Dhidi Ya Saratani Ya Matiti Na Korodani Video hizi hazijapachikwa hapa kwa kuwa zina zuio la umri. Kila atakayetaka kuziona hana budi kujisajili na umri wake kuonesha kuwa...
3 Reactions
1 Replies
9K Views
Habari, Naomba mnisaidie Ultra Sound huwa inacost kiasi gani? Nipo Dar.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajf naomba kujulishwa khs haja kubwa hv kuna umuhimu wa mtu kukamilisha ratiba hii kila siku na je kuna tatizo lolote endapo kutokana na mtu kula mlo kidogo na kutoenda haja hata siku mbili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Utaratibu uliozoeleka na watu wengi, hata kwenye hoteli za kitalii, ni kuanza kula chakula cha kawaida na mwisho kula matunda (desert). Huo siyo utaratibu sahihi, leo nitakukumbusha na kukujuza...
6 Reactions
21 Replies
31K Views
Back
Top Bottom