Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamani nisaidieni hivi karibuni nimekuwa na tatizo moja ninapo kuwa na njaa ninakuwa nimetamani chakula flani nikianza kula maragafra chakula hunikinai nahapo sitaweza kuendelea kura tena...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
nisaidieni nimshauri rafiki yangu amekuwa akisimamisha bunduki yake vizuri kabla na wakati akiwa na msichana.....lakini akiwa anamuandaa msichana kwa ajili ya ku...do bunduki inakataa kabisa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Naked dining banned in SF San Francisco is known as one of the most liberal and tolerant cities in America, but there is something it won't allow… AP Images Naked people have been...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari members, Jamani mimi nikipata malaria 4 ni balaa nahisi kufa, Hali inakuwa mbaya sana. Zamani sana kuna jirani yangu alikuwa na 100, nilishangaa sana, alikuja kupona kwa shida sana, Sasa...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Casual sex fuelling cervical cancer rise Cervical cancer rates in young women have risen steeply in the last two decades because they are having more unprotected sex at an earlier age...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tatizo la kupata choo kigumu ambalo huwapata watu, tatizo hili husababisha kutoka uvimbe kwenye haja kubwa. Kama tujuavyo choo laini kinapatikana kwa kula matunda kama ndizi,mapapai nk pamoja...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
tumezoea kusikia wanaume wakitafuta dawa ya kuongeza uume......mbona cjawahikusikia wanawake wakitafuda dawa ya kuongeza uke.......au hawapo wenye mdogo.......
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hadji Mponda Nora Damian JUMLA ya watumishi wapya 9,000 wanatarajiwa kuajiriwa mwaka huu katika sekta ya afya kuziba pengo la uhaba wa watumishi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wana jamvi, heshima yenu wakuu. Nina mpenzi wangu ana mimba ya miezi 8 kwa sasa after two weeks ataanza mwezi wa tisa, lakini bado anataka yale mambo matamu ya kupeana raha ndani ya 6 x 6. 1. Je...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Nina mtu ambae ambae mwanae ameshauriwa amuone endocrinologist.... sasa najiuliza endocrinologist ni watu gani hasa? wame specialize na nini??? kwa Daresalaam wapi kuna the best...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Katika miaka 10 iliyopita, serikali ya China ilifanya jitihada kubwa katika kuondoa ugonjwa wa ukosefu wa madini ya joto mwilini. Sasa hali ya ukosefu wa madini ya joto nchini China imeboreshwa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wadau, Kwa mwezi mmoja uliopita nimekuwa natokwa na dizaini fulani ya mabaka kwenye sehemu ya juu ya unyayo . Yaani ile ya rangi brown ya kukanyagia inatokea kama mabaka juu ya unyayo karibu na...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
For more info contact: goddyzabdil@yahoo.com
0 Reactions
1 Replies
952 Views
naombeni mnipe ushauri kuhusu kukosa choo kwa mtoto mdogo aliye na wiki 2, na hanywi maziwa ya kopo, ananyonya maziwa ya mama yake tu, tatizo ni nini? anapata choo mara moja tu kwa siku, na siku...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Source: From: "Prevention News Daily Update digest" prevention-news@lyris.danyaitss.com NEW YORK: "Student Access to Condoms Proposed in City" Rochester Democrat and Chronicle...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Mke wangu amepata tatizo la kataract ya jicho ghafla kama mwezi mmoja hivi uliopita.age yake ni miaka 30,kihistoria kwao hakuna mwenye hilo tatizo.tulienda ccbrt wakatupatia dawa ili tujiandae kwa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Hellow jf dr's mtoto wa dada yangu kapatwa na huu ugonjwa wa kisukari ki-ukweli kabisa sikuwa kusikia kuhusu huu ugonjwa kuwapata watoto wadogo.hapa napata hofu kwa kuwa niliwahi kusikia huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, heshima zenu. Nina tatizo la kuuma mgongo kabla na baada ya kupata HEDHI. nina mwaka wa 2 na hili tatizo na sijawahi kwenda hospitali kwa kujua kwamba ni kawaida. Sasa naona ninakoelekea...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
nini dawa yake
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Whether sipping beer, wine or whiskey, women who drink just three alcoholic beverages a week face slightly higher chances for developing breast cancer compared with teetotalers.The link between...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…