Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani wana jf doctor nisaidieni nisijekuwa kibogoyo. ninatatiza la fizi kutoka damu hasahasa ninapopiga au nikiyanyonya mate kwanguvu mswaki. pia meno yangu yoote ya sebuleni (ya mbele)...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Source: TanzMED Saratani ni aina ya ugonjwa unaosababisha ukuaji wa seli za mwili kubadilika na kukua bila mpangilio maalum. Saratani ya matiti hutokea kwenye titi ambalo kwa kawaida lina...
1 Reactions
0 Replies
26K Views
Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ujumbe wangu,lakini hili ni tatizo ambalo nimekuwa nalo maisha yangu yote tokea nianze kufanya mapenzi yapata miaka 20 sasa. Tatizo langu ni kuchelewa sana kufikia...
0 Reactions
117 Replies
9K Views
Faida ya Mafuta ya Mzeituni Olive oil's health benefits The greatest exponent of monounsaturated fat is olive oil, and it is a prime component of the Mediterranean Diet. Olive oil is a natural...
1 Reactions
7 Replies
13K Views
It's a common thing to suffer from a runny nose especially when it is the cold and flu season. However, if you are one of those people who are easily prone to allergies, chances are that you...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani kuna jambo kwangu linanitatiza sana ! jambo lenyewe ni kuhusu magonjwa ya zinaa! kuna mshikaji wangu alikumbana na balaa hilo sasa akomba msaada nimsindikize hospital, tulipofika hospital...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Katika pita pita zangu nimekutana na kijana wa takribani miaka 20. Na katika kujenga nae mazoea akaniambia kuwa, amekuwa akiumwa kichwa kila mwezi unapoandama. Na kabla ya kichwa kuanza kuuma...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wataalam naombeni ushauri wenu. Rafiki yangu kameza kwa bahati mbaya 'kisoda' cha bia na kimepita ghafla kooni na kuelekea tumboni. Je kuna madhara yoyote au kitatoka kwa haja asubiri...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Wanajamii,Tafadhalini ndugu naomba mnijurishe dawa bora ya maralia kwa mtoto chini ya mwaka mmoja, ambaye ni mara yake ya kwanza kuugua maralia,ipatikanayo hapa nchini Tanzania...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Advice needed Please: For a woman who is at her early 40ties, and has experienced some irregularities in menses (without good reason behind) though not very serious. No other symptoms such as...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Poleni na majukumu wakuu. Nina ndg yangu ana mtoto mdogo wa miezi 10, bahati mbaya amegundu ni mjamzito, yuko ndani ya ndoa na hana mpango wa kutoa mimba kwani ni dhambi kwa Mungu. Swali lake, je...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Strokes are rising fast among young, middle-aged Strokes are rising dramatically among young and middle-aged Americans while dropping in older people, a sign that the obesity epidemic may be...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Jamani naombeni msaada ,.najua kuna wataalamu hapa watanisaidia .mke wangu ni mjamzito ila ana tatizo la presha ya kushuka ..je nini suluhisho la tatizo hili .je msaada wa kwanza ilikmtokea...
0 Reactions
6 Replies
28K Views
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi. Naomba ushauri
0 Reactions
24 Replies
33K Views
Jamani wakuu mi nna tatizo kubwa la fungus, ni la siku nyingi sana, nakumbuka nimeli note kwa mara ya kwanza wakati niko darasa la tano, back in 1998. Nimekuwa wakati fulani zikizidi nikienda...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hivi kuna madhara yoyote ya chumvi mwilini? Wengine tunapenda kuongeza chumvi kila tunapokula, ila hatujui madhara yake!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Now that you've planned and made up your mind to get pregnant, you wish it happens as soon as possible! However, don't get impatient if it takes time. There are a couple of things you should do...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampala The risk of people developing breast and colon cancers can be significantly reduced if people exercise more and change their diet, the World Health Organisation has recommended in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Helo jf memberz.. I biliv in grit thnkerz in the forum.. I knw we have profesional doktaz and traditional healerz here.. Pliz help me, my tooth aches so much, it has decayd.. Its the upper jaw...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Nimekuwa nikila pilipili kwa mazoea muda mrefu umepita bila kufahamu mbali na hiyo ladha kali iliyonayo, ina kazi nyingine mwilini kitaalamu? Naomba wadau wenye upeo na hili wanijuze...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom