Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

huwa nasikia eti mtu akijifungua kisha wazazi wa mtoto yeyote kati yao akiwa na uhusiano nje ya ndoa ili hali mtoto ananyonyeshwa humfanya mtoto alemae,awe kama ana mtindio wa ubongo na hatakua...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
WanaJF nisaidieni kwa hili, nimepita some where nimesikia kuwa ARV's zinaongeza hamu ya kufanya mapenzi je hili linaukweli wowote ndani yake?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi mkijifungua kwanini mkandwe??maji chini??simuache tu!! mnywe antibiotics basi.
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa 8months kujichua....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani nahitaji mtu anisaidie, nikilala usiku nikilalia mkono nakuta kuna sehemu nakuta nimevilia damu kwa ndani, plz help
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Scientists find gene that could help body cure itself of HIV 4th February 2011 Scientists may have found a way for the body to cure itself of HIV. In a series of tantalising...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana-jf juzi nilinunua losheni iitwayo CLAIRMEN FOR MEN. Kabla sijanza kuitumia nilisoma ingredients zake na jinsi ya kuitumia, nikakuta kuwa sitakiwi nikae juani pindi nitakapopakaa hiyo losheni...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nina rafiki yangu wa karibu ameoa hivi karibuni alikuja kuniomba ushauri kwa vile nipo kwenye ndoa yangu kwa zaidi ya miaka 10. Akanieleza kuwa mke wake ana tatizo la kutokwa majimaji yenye harufu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF! Naomba mnisaidie kwa hili mwenzenu napenda kutafuna sana mchele mbichi uwe umelowekwa kwenye maji au hata mkavu.je kuna madhara yoyote?? natamani sana kuacha maana naona dah...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau,nina kaka ambaye ana miaka 31 na bado hajatahiriwa kutokana na sababu nyingi ikiwemo mila na desturi za kwetu. Kwa kuwa tumezoeana sana tumekuwa tukijadili sana suala hili,ili aweze...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada:,mtoto wangu alichomwa chanjo ya ndui mara tu alipozaliwa,baada ya mwezi mmoja sehemu alochanjwa begani imevimba na imejaa usaa,je nikiikamua ina madhara?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
salama wakubwa na wadogo mimi jamani nina tatizo moja...sauti yangu inakua ya kukwaruza sana nikiongoea natumia nguvu sana nakua nachoka.Mpaka sasa nina mwezi mmoja....Naomba msaada wenu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi nina matatizo yanayonisumbua kwa muda mrefu bila ya kujijua, niliona kua ni hali ya kawaida kama ilivyo kwa binadamu wengine lakini kumbe sivyo. 1. Mimi ninakua na uwoga sana kwa kila kitu...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu naomba mnifahamishe kama huyu dr anatibu kweli kisukari. Huwa namsikia mara nyingi kwenye vyomba vya habari akijinadi kuwa anadawa za kutibu kisukari. Ni kweli anatibu??,,make dawa zipo za...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi Nina kaka yangu ambaye amerudi Dar kutoka Ulaya alipokuwa anaishi, sasa sisi hatufahamu kama anatumia madawa ya kulevya, ameanza kuumwa na kutetemeka na anafanya fujo sana...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Naishi na mdogo wangu miaka 16 yupo form one. Ameanza kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa saa nzima na ameanguka kama mara tatu katika kipindi cha mwaka mmoja. Lakini akianguka hatoi mapovu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
:peace::peace::peace::peace:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The effects of smoking on osteoporosis were under-estimated for a long time. Studies show that with an increase in the number of cigarettes smoked by a person his risk of suffering from bone...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
How long does it take a woman who has given birth to resume her monthly period?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niliwahi kutoa maada kuhusu dawa ya KIKOHOZI tatizo lililokuwa linamsumbua ndugu yangu! Rubi alitoa ushuhuda wake mwenyewe na kuanza kuufanyia kazi!! Kwa kweli MUNGU ametenda miujiza sasa hivi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom