Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hivi ukishatuma cheti kwa ajili ya kuhakiki Rita kinakaa siku ngap majibu yanarudi?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, nina dada angu hapa anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa kwa ngozi alijaribu kutumia dawa aina ya Dexamethasone tabs 1X2, hydrocortisone...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nna changamoto inayohitaji daktari wa ngozi, sasa nahitaji wenye uzoefu wanisaidie mawasiliano ya daktari mzoefu. Mahali: Mwanza
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Kwenye #SupaBreakfast ya @EastAfricaRadio Baada ya Waziri wa Afya @ummymwalimu kutaja mambo matatu yatakayo maliza ukimwi, Babu @david.gumbo.5 ametoa maoni yake yanayochangia ugonjwa huo kuenea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello, Mtu mzima umri miaka 50+ anasumbuliwa na kutoka damu puani inatokea mara mbili hata zaidi kila wiki. Nini kifanyike kutoweka kwa hari hii, msaada tafadhali!
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanaungwana, Mwanangu ana umri wa miaka sita sasa,lakini ameng'oa meno mawili ya mbele ya chini lakini kwa sasa ni zaidi ya miezi miwili hayajaota,tatizo ni nini au nifanye nini ili yaote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari Wana JF Binafsi Kuna changamoto ya kiafya nimeipata nashindwa kuelewa shida ni nini .Nimesafiri kutoka dar es salaam mbaka nyanda za juu kusini kwa ajili ya mishe mishe akini katika kukaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uzi muhimu Sana huu. Wengi Wanachukulia poa suala hili. 1. Ukisikia imepasuka acha Mara Moja tendo, Kuwa mtulivu na Uitafuta kondomu hiyo Iliopasuka. Mara nyengine vipande vya mpira huo wa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanajamii naomba msaada wenu wife anasumbuliwa na mafua ya mara kwa mara; yakimpata anatumia dawa anapona baada ya muda mfupi (siku 7 hadi 10) yanarudia tena. Tiba yake ni nini?
0 Reactions
10 Replies
18K Views
Back pain is a common problem. Back pain is one of the most common ailments in the World. How is the back made up? The major feature is the spine. This is a highly complex and delicate structure...
2 Reactions
555 Replies
339K Views
HABARINI WAKUU, Leo nimewiwa na kuona ni vyema kutoa elimu japokua kidogo kuhusu upimaji wa mbegu za kiume na elimu juu ya uwezo wa kizalisha Kwa mwanaume(Fertility). MANII (SEMINAL FLUID) ni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua maana ya majibu hayo kwenye hiyo attachment.Yaani ukimwi upo au haupo??!
0 Reactions
3 Replies
464 Views
Kama nilivyosema kwenye huo uzi wangu na kupewa ushauri mbali mbali, niliufanyia kazi, siku 30 bila chakula cha wanga nashindia matunda na maji tu usiku kipande cha gimbi na mboga mboga nimeweza...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi Na madokta wa Jf. Mimi nna tatizo la kutoka utando mweupe baada tuu ya kupiga mswaki.. Na inaonekana kuzunguka kwenye lips za chini. Kwa sasa ni miaka 6 nna hili tatizo...
0 Reactions
54 Replies
29K Views
Ndugu zangu siku zote hizi nilikuwa nimekariri kuwa bangi ina madhara Sasa kuna rafiki yangu mmoja hivi mzungu anavuta bangi saana lakini jamaa ni mtu poa kabisa wala hana matatizo na watu Sasa...
4 Reactions
29 Replies
5K Views
HABARI WAKUU. Wakubwa kwa Wadogo salamu kwenu Mimi ni kijana mwenye 28 years..! Tatzo langu ni uwembamba uliopitiliza natamani walau na mimi niwe na vinyama kidogo. Nakumbuka mwaka jana niliwahi...
4 Reactions
193 Replies
25K Views
Naomba wenye uelewa wa hili suala waje, ni takriban mwaka mmoja na nusu tokea hizi lengelenge zinitoke. Nikinyoa msitu vinatabia kama vinapotea ila msitu ukiongezeka vina ongezeka ukubwa. Leo...
7 Reactions
123 Replies
5K Views
Nasumbuliwa na uvimbe wa nyama mdomoni kwenye mashavu kwa ndani ninapo tafuna chakula unakuta naumia sana kwani najing'ata ,naombeni msaada tafadhali kwani napata shida wakati wa kula sijui hata...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Msaada aisee, Nahisi nina sumu nyingi mwilini. Kuna bro hapa alisema kuna dawa inaitwa SAFI. HIyo dawa Inauzwa elfu 6 had elfu 12. Anyone who knows? Mwili unawashwa, nilimezaga SP mara 4 mfululizo!
1 Reactions
7 Replies
53K Views
JF ningependa kujua, Hivi umri sahihi kwa mwanamke kushika ujauzito na kupata mtoto wa kwanza ni upi? Hebu tuambiane.
0 Reactions
104 Replies
6K Views
Back
Top Bottom