Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Utafiti wa Madaktari wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebainisha kuwa mitindo mbalimbali ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu...
7 Reactions
54 Replies
7K Views
Samahani wadau. Kwenye vigezo vya chuo kinachoangaliwa cutt off point ziwe 4 au principal pass mbili. Kwamba ukiwa na CEF unaenda? Au lazima uanzie DDF? CE=4 and D+D=4. Je mtu huyu wa CEF anaenda?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
If you’re bothered by how much you sweat, you’ve likely tried many different brands of deodorant with no success. Excessive underarm sweating can be uncomfortable, but it doesn’t have to be...
1 Reactions
5 Replies
914 Views
Nina tatizo sijui litakuwa tatizo gani: Kuna kitu Chini ya kifua changu karibu titi la upande wa kushoto kinacheza cheza mara nahisi kama kinavimba nikiwa na tembea sisikii chochote nikiwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Spinach ni mboga yenye faida nyingi kwa afya ya binadamu. Baadhi ya virutubusho vinavyopatikana kwenye mboga hii husaidia mwili kusafirisha vizuri hewa ya Oxygen, kutoa kinga dhidi ya magonjwa...
3 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari wakuu. Nisiwapotezee muda ngoja niende moja kwa moja kwenye mada. Awali ya yote niseme tu wazi Mimi sio mtu wa Afya nikimaanisha Mimi sio daktari wala sio nesi. Namaanisha Mimi si mtu...
2 Reactions
2 Replies
951 Views
Habari.. Wakuu mimi kijana wenu nahisi uchovu mkali sana na kuishiwa sana nguvu kimwili na kiakili.. Yani akili na mwili wangu vimechoka sana ndugu zangu. Nimejitahidi kunywa maji mengi si chini...
9 Reactions
94 Replies
5K Views
Hello guys!! Naomba kujuzwa gharama zakufanya Dialysis kwa Tanzania zikoje!
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada mwenzenu yamenifika. Nakosa usingizi kabisa. Nikinywa pombe ndo napata usingizi. Pombe za kila siku ukweli sizitaki. Naombeni msaada maana nateseka sana
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Natamani kupata mjadala wenye kuweza kuleta majibu yaliyoshiba mawazo huru yenye mitazamo tofauti, kwani siku hizi kuna wimbi kubwa la watu kugeukia dawa za kienyeji zaidi kuliko zile zinazotolewa...
1 Reactions
33 Replies
28K Views
Wakuu habari, this is urgent naomba msaada. Niende moja kwa moja kwenye mada mambo yasiwe mengi. Nimelala saa nne usiku huu saivi ni saa 7, nilichokurupukia ni ghafla tu nmegundua siko salama...
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Naanza kwa Kutanguliza Shukran Kwenu Wataalam ila msio Madaktari na Madaktari Wenyewe na hata Watu Wengine wenye Uelewa na Uzoefu juu ya Matatizo haya ya Migongo ( hasa Kusagika au Pingili kuhama...
1 Reactions
3 Replies
564 Views
Wasalaam wana jamii forums, Ni muda tena natokea hapa jukwaani jioni ya leo nikiwa na shauku la kupata mwanga kuhusu upatikanaji wa dawa hizi za kuongeza ukakamavu kama mwanaume, kwani bila dawa...
12 Reactions
147 Replies
10K Views
Habari Wana JF, Nina swali hapa ,hivi Kuna kifo kinawezatokea(binadamu kuaga dunia), bila sababu maalum kama vile za ugonjwa au ajali?
1 Reactions
8 Replies
998 Views
Naomba kuuliza ni kiwango gani cha madini kinachotakiwa kuwekwa kwenye maji ya kunywa? MFANO: Hill>> Chloride 16 Magnesium 1.8 Nitrate 0.43 Potassium 0.1 PH 7.0 TDS 40 Uhai>> Chloride 9.4...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani habari za jioni, Mimi ninasumbuliwa na tatizo la mapigo ya moyo kwenda mbio, ambapo tatizo hili lilinianza ghafra na lipo kwa muda wa miaka miwili mpaka Sasa. Mapigo ya moyo haya mwanzoni...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Jambo Jambo? Kwa wanaume kama wewe ni mfuatiliaji au ulishawahi kumpeleka mke/mchumba hospital wakati ni mjamzito na anakaribia kujifungua nadhani mmekwisha kushuhudia hii,Kama hujawahi...
30 Reactions
70 Replies
7K Views
dizi ni mojawapo ya tunda linalopendwa zaidi duniani, likiwa limesheheni vitamini na madini. Ziko faida kadhaa za kiafya za ndizi ambazo ni muhimu kwa mlaji kula tunda hili. Faida hizi ni pamoja...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi kuzingatia ushauri wa afya unaotolewa na wataalamu ikiwemo kula kadri inavyoshauriwa na wataalamu ili kujiepusha na magonjwa...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Back
Top Bottom