Maziwa ya kwanza ya mama si mazuri kwa mtoto yanapaswa kumwagwa
Kunyonyesha humfanya mama anenepe kupindukia
Maziwa ya mama pekee hayawezi kumridhisha mtoto wa umri wa miezi 0 hadi sita.
Baadhi...
Wanajukwaa, naomba msaada ili nijue jinsi ya kuondokana na makohozi kwenye Koo. Ninasikia ni kama kitu kimekaa kwenye koo, nikijaribu kumeza hakishuki na pia hakitoki.
Ni hali ambayo sikuwa nayo...
Habari Wataalamu
Nina mtoto wang mdogo sana ana umri unaokaribia Miezi 2. Amekua na tatizo la mafua sugu tangu akiwa na Wik3 adi leo bado yanamsumbua.
Tumeenda hospital tumepewa dawa km Amoxylin...
Wakuu naomba ni nyoke moja kwa moja kwenye point.
Ni hivi wiki 6 zilizopita nililala na mwanamke flani hivi house girl wa jirani na nilitumia kondomu ila Sasa changamoto nikama nilimyonya maziwa...
KUKOSA usingizi wa kutosha kunaweza kusababisha kufifia kwa nguvu za kiume.
Madaktari wanasema kuwa mwanaume anachukuliwa kuwa amepata usingizi wa kutosha usiku iwapo atalala kwa kati ya saa saba...
Kutokana na vijana wengi kukupendelea mchezo wa punyeto imepelekea janga kwa wanaume wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu
Tiba dhabiti ya nguvu za kiume ni kupunguza punyeto najua...
Habari wakuu,
Juzi nilipima UTI na malaria na kipimo cha Malaria kilionyesha positive(Malaria 2) na UTI nilkuwa sina.
Nipo kwenye dose ya ALU, amoxiccilin Tabs, paracetamol tabs,
Changamoto ni...
Mtoto wangu wa kiume wa miaka minne sijui ana shida gani maana hapendi kula na akila hutapika unapomlazimisha.
Tumempeleka hospital hakuna cha zaidi ya kumpa dawa za vitamin.
Amechangamka...
Habari waungwana , nina tatizo LA miguu kuuma pindi niamkapo asubuhi , hasa huuma kwenye visigino pindi nikianza kutembea na nikitembea tembea inaacha kuuma.
Pia nikikaa muda mrefu , nikianza...
Habari Wana JF kuhusu Afya.
Somo Hapo juu lahusika. Nasikia mwangwi na Cha ajabu nikiwa kwenye midundo mikubwa nasikia ngoma zinalilia sikioni.
Msaada maana hospitalini nitaishia kupewa vidonge...
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Nishaurini tafadhali,
Huwa nawashwa na pua sana (muda mrefu sasa) hasa wakati wa usiku nimezisugua mpaka zinatoka damu, nilidhani ni vumbi lakini...
Kiwi ni tunda lenye afya zaidi. Massa yake yana vitamini vya kikundi B (haswa mengi ya B6), A, B, D, E, asidi ya folic, flavonoids, antioxidants, asidi ya kikaboni, protini ya mboga (actinidin)...
Ni heri kumshukuru Muumba wa nchi anayetukirimia kila iitwayo leo.
Andiko hili linahusu idara mbali mbali za afya,ni wazi kabisa afya ndio kila kitu,uchumi hauwezi kukua endapo afya ya binadamu...
Maalumu kwa wale watu wapenda na watumiaji wa pilipili ambao hutumia bila kufahamu faida zinazotokana na kiungo hiki chenye ladha ya uchachu na ukali lakini ndiyo kiungo chenye kuongeza hamu ya...
Jamani msaada!
Nina ndugu yangu ni mjamzito wa mtoto wake wa pili Kwasasa una muda wa wiki 41 ndio imeanza.
Mimba yake ya kwanza alijifungua kawaida katika wiki ya 37 salama kabisa!sasa ujauzito...
Siku ya tare 19 /09/2017 kama sijakosea hiyo tare nilileta uzi wa kuomba msaada kwa anayefahamu tiba ya maumivu ya kidole yanayokuwa yanatokea ghafla tu pasipo kufahamika chanzo chake.
REJEA...
Habari za muda,
Niende kwenye kuonba msahada mtoto wangu kwa sasa ana umri wa miaka 3 ila kuna hali inayo mtokea nimeshidwa kutambua nini naomba kufahaam mtoto kucha tembea uku akichapia mguu...
Nauliza kwa Hali halisi ya hospital zetu na madaktari wa kitanzania ukiumwa au ukiwa na mgonjwa uende Private hospital au serikalini?
Serikalini wanasifika kwa hufuma mbovu na private kuna...
More than 91 million Africans live with Hepatitis B or C, which are the deadliest strains of the virus, according to a World Health Organisation scorecard.
The Viral Hepatitis Scorecard 2021...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.