Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wana jamii naombeni msaada wenu nina tatizo la kukojoa mkojo wa njano sana kwa muda wa miaka mitatu sasa nimekwenda hospitali lakini inaonekana sina tatizo, naomba kujua dawa yake nn wana jamvi...
0 Reactions
24 Replies
24K Views
Wadau naomba kujuzwa juu ya chanzo cha mkojo kutoa harufu kali sana aka kunuka wa wakati wa tendo la kukokoa? Aidha naomba kufahamishwa endapo kuna athari zozote kiafya kutokana na hali hiyo yaani...
1 Reactions
10 Replies
11K Views
Wakuu habari za muda huu? wakuu naamini kuna wataalamu na watu wenye ufahamu juu ya tatizo langu naomba msaada wa ushauri. Hivi karibuni nilisumbuliwa na homa kali asubuhi na jioni kwa mda...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habarini za wakati huu. Nimeenda Muhimbili wameniandikia kipimo cha OGD. Kwa ninavyosikia hiki kipimo maumivu yake ni hatari. Naombeni msaada kama huwa kuna mbadala wake. Shida yangu kubwa...
0 Reactions
2 Replies
36K Views
"Nikifanya kazi moyo unaendaaa mbio nikiinamaa sana nikisimama sana pia nikitembeaa sana au nikipata mshtukoo tu basi unaanza kwenda mbio pia nikiwa na mawazo." Ushauri wa kitaalam unahitajika...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Tunapoumwa ni vema kwenda Hospitali au zahanati ili kupima vipimo kwa lengo la kubaini ugonjwa unaosumbua. Hili ni jambo jema kwani haishauriwi kukimbilia kwenye maduka ya madawa kununua dawa...
13 Reactions
558 Replies
106K Views
Zijue dalili hizi zinazoonyeshwa na kucha..... Kucha zikiwa na vidoti vyeupe inaonyesha mtu ana upungufu wa vitamins au reaction ya allergy Kucha ikiwa na mstari/mistari mweusi inaweza ikawa...
1 Reactions
9 Replies
18K Views
Mimi ninashda moja,nikitaka kupiga miayo Napata shida sana, na uwo ugojwa wanaita chembe,mwenye kujua dawa, anisaidie,asante.
0 Reactions
3 Replies
618 Views
Habari JF members Naomba nifahamishwe hospitali nzuri ya mifupa hapa Dar es Salaam either private au govt. Natanguliza shukran.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu Wiki mbili baada ya kupata dozi ya kwanza ya chanjo nlianza kupata vipele vidogo kama vijipu ambavyo vimeiva na vinatokea maeneo ya mapaja na miguu pia nimeanza kuhisi tatizo la...
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Inasemekana watu wenye damu ya group O immunity yao ni kali kiasi cha kwamba inasababisha uwezekano wa kupata mtoto uwe mdogo. Hata magonjwa madogo madogo huwa ya malizwa kiaina. Hii ni kweli?
1 Reactions
99 Replies
51K Views
Ni vyakula gani au kitu gan nifanye ili kuimarisha Kinga ya mwili iliyodhofika?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama unamfahamu mzee yoyote mwenye tatizo la kushindwa kukojoa mkojo (urine) au mkojo hautoki kwa usahihi naomba niunganishe naye tiba yeetu ni bure.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana Jf habari za kazi na mihangaiko ya hapa na pale, Nilikuwa napenda kufahamu sababu zinazopelekea baadhi ya watoto wakachelewa kutambaa au wakawahi kutambaa katika kipindi cha ndani ya mwaka...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
JF Dictors naomba mnisaidie, mwanangu ana miaka mitatu anasumbuliwa sana na mafua na kikohozi. Nampa dawa anapona baada ya wiki mbili au tatu ugonjwa uNarudi. Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali.
0 Reactions
12 Replies
14K Views
Nawasalimu wana jukwaa! Kihisia, akili na saikolojia nimefika pabaya. Nahitaji mtu mwenye uwezo wakunielewa husuani wa kisaikolojia. Mtu anayeweza kunipa msaada nivuke salama. Sipo WhatsApp ila...
3 Reactions
60 Replies
2K Views
Je wanandugu i hope ni wazima wa afya. Je kuna madhala yeyote kwa mwanaume kupiga punyeto mala nne kwa mwezi i mean kila jumapili akawa anapiga bao moja je kuna madhala yeyote hapo??
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimeikuta hii habari kwenye ukurasa wa Millard Ayo. Kirusi hicho ni hatari zaidi ya kile cha mwanzo. Kinashambulia kinga za mwili mara mbili zaidi ya kile cha awali. Mpaka sasa hakuna dawa wala...
5 Reactions
93 Replies
8K Views
Hii habari imesambaa jana na kuleta hari. Ya hofu isiyohitaji Kitu Cha kwanza unafaa ufahamu sio kirusi kipya kama ilivyo andikwa kwenye vyombo vya habari ila ni variant mpya ya kirusi kile kile...
7 Reactions
10 Replies
837 Views
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda...
4 Reactions
70 Replies
10K Views
Back
Top Bottom