Jambo watanzania wenzangu!!
Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.
NB: Maswali hayo yasihusishe ramli...
Men and women generally agree, garlic on the breath isn't pleasant. But according to a new study, men who eat garlic actually smell more pleasant and attractive to the opposite sex—not their...
Naomba msaada wanajf wenzangu,
Nina tatizo la tumbo kujaa gesi pamoja na kuunguruma, maumivu ya tumbo kuzunguka kiuno, shingo kuuma na hata maumivu ya mgongo, kuna nyakati hata kichwa huwa...
Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
Cancer is a condition/disease characterized by abnormal uncontrolled cell growth in the body. Most cancer related deaths are due to metastasis, malignant cells penetrates through circulatory...
MBEGU ZA MBONO AU MNYONYO
Mara nyingi katika mada zangu nimekuwa nikizungumzia namna ya kutibu maradhi mbalimbali yanayomkwamisha mwanadamu kushiriki ipasavyo kazi za ujenzi wa taifa.
Tiba...
Ndugu zangu salaam
Kama kichwa cha habari kinavyosema ni kweli mke wangu anasumbuliwa na tatizo la uke mkavu hata akiwa kwenye siku za hatari, pia anakosa ute wa mimba.
Kuna kipindi ukimuaandaa...
Habarini za masiku mengi wapendwa natumaini mko vizuri...
Madaktari na wadau wa hili jukwaa naombeni msaada wenj katika hili.....
Mwanangu anasumbuliwa na kitovu.. tatizo ni kwamba kinatoa...
Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa
Umri: 25
Uzito...
Nina swali hapa, kuna manzi nilichapa bao moko but nilipiga kavu nikawa simwamini. Siku ya pili nikaenda chukua PEP nimetumia siku 6 na kuacha kwa siku 2 kisha kuendelea nazo, nina wasiwasi...
Habari zenu, mke wangu amekuwa akifanyiwa vipimo wanapo mchoma sindano kupata damu KWENYE mshipa damu I nachukua masaa mwili kukata, je itakuwa ni tatizo gani na je nini tiba yake kama ni tatizo?
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza...
Wakuu karibuni,
Yaani hapa ninapoandika amekutwa tena ya Uti baada ya kumaliza dawa wiki iliyopita ya kutibu uti hio hio.
Pia soma: Je, UTI ni ugonjwa wa ngono?
wakuu nilitaka kujua sababu ya Tumbo la uzazi au Chango la uzazi chanzo chake nini na nini Tiba yake kwa mama aliejifungua? Kuna jirani yangu hapa kajifungua jana ila analia sana tumbo hadi...
Habari wakuu,
Nina mdogo wangu wa kiume Umri miaka 32 juzi gafla alizidiwa akawa hana nguvu kabisa jasho jingi, tukachukua jukumu la mpeleka hospitali ndogo ya mtaani akapewa drip ila...
Habari za muda Wana jf
Poleni na hongereni kwa pilika za kutafuta mkate
Nina kuja kwenu nikiwa na changamoto ya mtoto
Nina mtoto WA kike ana miezi 9
Tangu azaliwe analia muda wote hata...
Ndugu wa JF, Nawasalimu wote.
Bila kupoteza wakati nianze kwa kutoa maelezo mafupi ya kile kinachomsibu ndugu yangu wa karibu sana jambo ambalo linaniathiri na mimi pia.
Nina huyo mamdogo...
Habari wadau mimi nikijana ( 26 ) nasumbuliwa na ganzi mkononi na miguuni pia sometime miguu uwaka moto na mikono pia nikienda hospital naambiwa sina tatizo nimepima kisukari , presha, vidonda vya...
Kwema Jf Doctors?
Mpenzi wangu analalamika kuwa Kila akikutana na Mimi , baadaye hupata maumivu makali ya mgongo. Na anasema huwa inatokea kwangu Tu kabla ya hapo hakuwahi kupata shida hiyo...
Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.
Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.