Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wakuu, Nauliza ulaji wa mara kwa mara mahindi ya kuchoma. Je nisalama kwa afya juu
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu nawasalimu sana. Bawasiri ni tatizo linalowasumbua watu wengi na wengi wetu tunauchukulia kama ugonjwa wa aibu kutokana na eneo lenyewe linalo athirika. 1. Bawasiri ni matokeo...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona...
6 Reactions
19 Replies
504 Views
Habari Wakuu, Nimeamua kushusha uzi huu hapa baada ya hiki kilichotekea leo. Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mzuri tuu. Katika kipindi hicho...
17 Reactions
159 Replies
5K Views
nawezaje kujikinga na maradhi ya Figo Hapa wenye fani yao wameelezea vizuri sana! https://www.cdc.gov/kidney-disease/prevention/index.html
4 Reactions
0 Replies
41 Views
Habar wakuu nivyakula vipi vyenye potassium kwa wingi
0 Reactions
2 Replies
238 Views
Jamani ivi maumivu ninayopata nyie na nyie yanawafikia ivo? Mimi nina vidonda vya tumbo lakini kifua kinakuwa kinawaka sana moto na mgongo vipi kuhusu shingo inaingilianaje na vidonda vya tumbo...
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Kunywa maziwa mara tu baada ya kumeza sumu kunafunika tumbo na kuzuia madhara? Maziwa si dawa au dawa ya sumu, wala hailindi tumbo kutokana na kemikali au sumu iliyomezwa. Ila yanasaidia tu...
2 Reactions
4 Replies
641 Views
Habari za mida wana jf, Ipo hivi Kuna mwanamke nimekutana nae kwenye siku za hatari, alianza kuona siku zake jumatano tarehe kumi na moja, akamaliza jumanne tarehe kumi na Saba...
3 Reactions
31 Replies
717 Views
Habari wataalam, Ni dawa gani au hatua zipi zichukuliwe kukabiliana na Uric Acid iliyozidi mwilini? Vipimo vya hospital vimeonesha kuwa kuna uric acid nyingi kwenye damu kufikia mpaka 750...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini wakuu! Wakuu naombeni ushauri wenu juu ya hili linalonikuta ndugu yenu. Najua kutakuwa na kejeli na dhihaka lakini yote nitashukuru. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ambae...
7 Reactions
146 Replies
28K Views
Nimeona hii article sehemu nikaona niwashirikishe wenzangu ili kama mna jamaa zenu wenye matatizo haya ili kuyakabili. Kutoka harufu ukeni kunaumiza sana. Kama kuna njia nyingine watu mnajua basi...
6 Reactions
1K Replies
357K Views
Habari ndugu wanajamii forum! Mimi nina mke wangu anasumbuliwa na tatzo la kuishiwa nguvu mara kwa mara,kuna wakati anakosa nguvu na kulegea kabisa hadi mtu unaogopa,tumeshaenda hospital na kupima...
0 Reactions
4 Replies
343 Views
Wakuu nilipata homa nikapima nikakutwa na tyfoid, nilivoanza kupona mara homa ikajirudi tena, je inaweza kuwa na mke wangu ana ugonjwa huo pia? Na kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama...
4 Reactions
17 Replies
542 Views
Anonymous
Nimeenda mara kadhaa kwenye haya matawi mawili ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga & Mloganzila), chanjo ya Tetanus haipo kwa zaidi ya mwaka sasa. Mara ya kwanza nilienda Upanga kama miezi 8...
1 Reactions
4 Replies
244 Views
Ukubwa wa uume unategemea vitu kama kiwango cha mhemuko, muda, hali ya hewa na unashiriki tendo la ndoa mara ngapi. Si wanawake pekee ambao huwa bize kuona wanakuwa na maumbile mazuri na kwamba...
11 Reactions
214 Replies
349K Views
Hàbar marafiki nipatwa na tatizo hapa Lina nikera Sana Yani kwenye Kana kamwimba kamenasa hakaumi Ila kananikera tu naombeni msaada jinsi ya kakatoa maana nishaingiza vidore ili nitapaki bado...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Naombeni mawazo yenu mtoto wangu hakui/haongezeki uzito wala unene toka azaliwe ana miezi minne sasa
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Magonjwa manne mapya ya zinaa yanawatoa jasho wataalamu Chanzo cha picha,iStock 9 Februari 2019 Imeboreshwa 28 Disemba 2020 Magonjwa mapya huibuka kila uchao, na magonjwa yaambukizwayo kwa ngono...
0 Reactions
5 Replies
471 Views
Habari zenu, nimepewa hii kitu ni kaambiwa unatoa mikosi yote, naomba anayejua kweli na matumizi yake, mzizimkavu popots ulipo na mshana Jr please
2 Reactions
16 Replies
613 Views
Back
Top Bottom