Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda...
11 Reactions
92 Replies
3K Views
Habarini wanajukwaa hili, Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa. Nilimpeleka...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Magonjwa ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula gastritis yamekua gumzo kwenye maisha ya kileo,katika watu kumi Saba wanatatizo la mmeng'enyo was chakula,kuwepo kwa matangazo ya dawa za kutibu...
4 Reactions
9 Replies
549 Views
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo. Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Kuna hili tatizo la mdomo kusogea pembeni ambalo humpata mtu akiwa na umri mkubwa kubisa. Kuna watu wawili ambao nawafahamu vizuri tu wamewahi kukutwa na hiya hali, kimtaa hakuna jibu nimeweza...
3 Reactions
32 Replies
567 Views
Video inayoonyesha mtiririko wa damu unaobeba oksijeni na kusambaza katika tishu mbalimbali za mwili, kazi kubwa ya damu ni kusambaza hewa ya oksejeni mwilini. Hewa ya oksejeni huingia mwilini kwa...
1 Reactions
1 Replies
190 Views
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo Sasa kuna tatizo limenikuta aisee...
12 Reactions
22 Replies
1K Views
Katika dunia ya leo, matumizi ya vipodozi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku. Hata hivyo, wazazi wengi hawafahamu hatari zinazoweza kusababishwa na viambato sumu vilivyomo kwenye vipodozi hivi...
0 Reactions
1 Replies
318 Views
Habari Naomba kujua wapi naweza kupata/kusoma kozi ya kuuza duka la dawa muhimu (addo) kwa dar es salaam, gharama za kozi na inachukua mda gani?
0 Reactions
2 Replies
561 Views
Hello ,happy new year. Ukiwa unaumwa jino , unashauriwa kwenda hospital Kwa ajili ya matibabu zaidi . Ila pia ikiwa upo mbali na hospatli Ila maumivu yamekuzidia Sana . Chukua maji ya moto...
4 Reactions
9 Replies
560 Views
Health Je, wewe ni mganga wa jadi? Mfamasia? Au labda mtafiti unayetafuta tiba kubwa inayofuata kwa ugonjwa wa kisukari, unene uliopitiliza, au magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanayohusiana na...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe...
3 Reactions
15 Replies
402 Views
Jamani nina maumivu makali sana tena sana kwenye uti wa mgongo na leo ndio siku y 6 tu tangu nianze dozi za TB Naombeni ushauri hii ndio TB tu au kuna tatizo jingne maana Daktari amenijibu...
3 Reactions
83 Replies
12K Views
Habarini wakuu! Natumaini pasaka ilikuwa vyema kabisa kwetu sote,tujikite kwenye topic Binafsi kwa miaka ya karibuni nimeanza kuona matokeo ya stress zisizokwisha,binafsi huniwia ugumu mno...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakuu, Nimeona mimba nyingi ila hii ni aina yake. Huyu mwanamke ndo mimba yake ya kwanza lakini sasa Anatapika kila anachokulaaa anatapika chakula kinaisha had anatapika maji hamna kinachotoka...
5 Reactions
35 Replies
610 Views
Je, ni Afya Kula Manii? Ndio, kula manii ni afya kabisa kwani ni maji ya mwili. Kwa vile shahawa ni sehemu ya mwili, hukua katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. Kama vile chakula cha kawaida...
1 Reactions
19 Replies
8K Views
Salaam Wa JF Wote Nmekutana Na Mtu Mmoja Akiwa Anasumbuliwa Na Ugonjwa Wa UTI, Malaria, Kukosa Hamu Ya Chakula,Kwenye Maongezi Yetu Baada Ya Kumjulia Hali Akaniambia Ana Miaka 10 Hajawahi Kuugua...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
MPANGO WA KUNYWA MAJI YA KUTOSHA MWAKA 2025 Heri ya Mwaka Mpya 2025 Wana Jf! Tukianza mwaka mpya wa 2025, kipaumbele nambari moja, kipindi chote cha mwaka kiwe afya zetu. Tufanye hivyo kwa...
5 Reactions
10 Replies
458 Views
Habari Wadau, Wazo tu lilinijia majuzi kuanzisha hii thread. Unajua Waafrika hatuongelei hii issue sana kuhusu Afya ya Akili yaani Mental health issues. Na ikitokea kwenye familia basi...
28 Reactions
132 Replies
13K Views
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis...
17 Reactions
138 Replies
4K Views
Back
Top Bottom