Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimekuwa nikiona mara kadhaa inabidi mtu anywe lita 1 ya maji au zaidi kwa siku ili kulinda afya, kwangu hali ni tofauti. Kwa muda mrefu nimekuwa nakunywa mai pungufu ya robo lita kazi yangu ni...
2 Reactions
17 Replies
476 Views
Habari wakuu! Nina mtoto wangu wa kiume kwa sasa yuko na umri wa mwezi mmoja na wiki moja. Dogo huwa analia sana wakati wa usiku hasa kuanzia mida ya saa nne usiku hivi. Siku kadhaa ilikua kulia...
1 Reactions
32 Replies
22K Views
Habari wadau,Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kutibu ugonjwa wa vipele mwilini hadi sehemu za siri maana imekuwa ngumu mwanangu wa kiume kupona tatizo hilo,ametumia dawa nyingi sana za hospitali...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba kujua dawa gani nzuri kutibu hili tatizo Korodani zinapukutika na kuwasha. Pia kutoa harufu mbaya ambayo siipendi Nimejaribu kuoga na kujisafisha vizur lakini wap
1 Reactions
59 Replies
1K Views
Kuna vipele vimetokea sehemu ya tumbo kwa pembeni kila nikijikuna vinaongezeka.
2 Reactions
14 Replies
348 Views
Salamu kwenu wakubwa zangu.🙏 Wakuu nina changamoto ya kifamilia, kiafya zaidi na ninaomba msaada kutoka kwenu. Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee (baba), wadogo...
9 Reactions
86 Replies
2K Views
Kamba ya kitovu kumzunguka mtoto shingoni kabla ya kuzaliwa (nuchal cord), matatizo yanaweza kujumuisha shida ya kupumua, na kuzaa mtoto aliyekufa. Kamba ya kitovu inaweza kumzunguka mtoto kwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wa kuu! Samahani nina jambo huwa linanipa Shaka kwenye mwili wangu je ni kinga kuwa nyingi au kuna kitu kinaendele. Mwilini mwangu sina chanjo yoyote na sijawahi kuchomwa sindano ya dawa...
2 Reactions
5 Replies
289 Views
Leo nimemsikia Mkuu wa kitengo cha damu salama wa hospitali moja ya serikali Dar es Salaam akisema ikiwa mwanaume ana damu +ve na mwanamke ana damu -ve (au vinginevyo) hawawezi kupata mtoto na...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari zenu Naombeni msaada ndugu zangu Nina tatizo la miguu kuuma kwenye visigino Nikikaa muda mfupi bila kutembea nikiinuka tuu nianze kutembea miguu inauma sana nashindwa kukanyaga chini pia...
1 Reactions
30 Replies
613 Views
Habari wan JF, Leo nimetafakari na kuamua kuandika uzi wa kuhusu maswala muhimu kidogo kwa wanandoa/ wanao tegemea kupata mtoto. Jambo moja wapo ambao linatia furaha katika maisha ya...
28 Reactions
68 Replies
223K Views
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri. Je, ni dawa gani inaweza...
2 Reactions
81 Replies
8K Views
Salam. Dunia ikiwa imetoka kushuhudia gonjwa hatari ya homa ya COVID -19 sasa hivi kumezuka tena ugonjwa hatari wa wa homa ya nyani (Monkey Pox)! Ombi langu kwa serikali kupitia wizara ya Afya...
1 Reactions
1 Replies
217 Views
Awali ya yote, ningependa kuelezea maana ya neno “homa” kitaalamu, maana naelewa kuwa, kuna maana nyingi sana za neno hili ki-mtaani mtaani. Kitaalamu, maana ya homa ni hali ya mwili kuwa na joto...
7 Reactions
5 Replies
46K Views
Wanajamvi i hope mpo poa, kuna njia ya uzazi wa mpango inaitwa withdrawal, unapokaribia kufika kileleni unauchomoa uume na kumwaga manii nje ya uke, sasa kwangu hii njia imekua complete failure...
7 Reactions
151 Replies
54K Views
Bila shaka umewahi kuwasikia wataalamu wa afya wakisisitiza umuhimu wa wenza kufanya vipimo mbalimbali kabla ya kuamua kuwa pamoja kwa ajili ya kutengeneza familia (kuzaa). Moja ya vipimo...
20 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari wakuu Nina kidonda kwenye kidole kina siku 12, nilikipata baada ya kwenda kutibiwa Bawasiri clinic za Wakorea. Unakiwekea dawa ya kuchoma moto ktk kidole mara Saba nichome kwa siku tano...
7 Reactions
101 Replies
3K Views
Habari zenu, Naomba kuuliza kama kuna kuna anayejua shida hii ya miwani Nimemnunulia mtoto MIWANI lakini kavaa wiki tu leo hii Anavaa umekuwa kubwa yaani inamvuka has wa akiinama., nitumie...
1 Reactions
13 Replies
339 Views
Nyie wataalam ni waongo mlionishauri mazoezi ati nitapunguza kilo kumbe ni uongo tu, badala ya kupunguza naongeza KGS Najituma sana mazoezini, namwaga jasho ili nikate weight ila naona KGS...
5 Reactions
46 Replies
966 Views
FAIDA YA TUNDA LA FENESI KWA AFYA YA MWILI WAKO NA NGOZI. Najua unalijua fenesi, pengine unakula bila kujua faida zake au hujawahi kula kabisa. Fenesi linaweza kuwa tunda ambalo halina washabiki...
5 Reactions
21 Replies
990 Views
Back
Top Bottom