Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu habari Kuna binti wa miaka 23 anasumbuliwa na tatzo la magoti kuvimba na visigino vya chini je hili linaweza kuwa tatzo gani?? Na achukue hatua gani kukabiliana na hili tatzo
0 Reactions
1 Replies
111 Views
I am writing this with so much worry in my heart. I am going through changes that I cannot explain. And I need help. I am liking sex too much. I am becoming wild and being the Leo that I am being...
33 Reactions
333 Replies
21K Views
Hello Wadau wa Jamii Forum, Natumai mko poa, ningependa kufahamu kwa yeyote anayefahamu ni sehemu ambayo naweza shiriki YOGA. So far nimepata moja amabayo iko Haile Selassie. Nahitaji machaguo...
2 Reactions
40 Replies
634 Views
Nimekuwa nikiteseka na Tatizo la kukosa choo wiki mbili Hadi tatu mfululizo na ndiyo maana mchana Huwa napiga pasi ndefu na watu wengi Huwa wananishangaa kwanini sili mchana naishia kuwadanganya...
1 Reactions
7 Replies
313 Views
Hello, Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Wajuzi wa mawani za macho mnisaidie nisije kupofuka. Kipindi cha nyuma nilikuwa nina UONI hafifu sana. Nilikuwa siwezi kuona mbali. Baada ya muda nikapima nikapatiwa miwani yenye 1.5 lens...
2 Reactions
54 Replies
10K Views
Tayari nina vipimo vya daktari vya macho yangu. Hivi kwanini miwani ya macho inauzwa bei ghali? Nimetembelea maduka kadhaa ya miwani bei sio chini ya 600,000. Wapi wanauza bei iliyopoa?
2 Reactions
24 Replies
8K Views
Malaria, Typhoid na UTI ni magonjwa ambayo yanaongoza kwa kuwa ‘diagnosed’ kwa maana nyepesi ni magonjwa ambayo utaambiwa unayo mara nyingi kama si mara zote unapokwenda kupima katika hospitali au...
1 Reactions
0 Replies
214 Views
Down Syndrome ni tatizo la kijenetiki linalotokana na uwepo wa kromosomu za ziada katika vinasaba vya urithi (DNA) vya Binadamu. Tatizo hili husababisha mwonekano tofauti wa uso, ulemavu wa...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Bawasiri ni moja ya Matatizo sugu yanayowasumbua wagonjwa wengi hapa tanzania na kwengineko. Ugonjwa huu umeshika kasi kubwa sana kutokana na sababu za mitindo ya vyakula bila utaratibu. Na...
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Wadau wa JF, eti feni sio nzuri kwa mtoto mchanga? Nazungumzia zile (pangaboi) za juu and not stand fans! Pls naomba mnisaidie kutambua kama zina madhara,n its side effects! Jamani hata kama...
0 Reactions
17 Replies
22K Views
Duniani sasa hasa nchi za Ulaya na Marekani kuna mjadala mkubwa unaendelea ila unazimwa na matukio mbalimbali kama siasa, moto, Gaza etc. Baada ya watu kuanza kutumia dawa aina ya Ivermectin...
6 Reactions
9 Replies
467 Views
Wanaume je mpo tayari kufanyiwa vasectomy kuwasaidia wake zenu kutopata mimba na kuzaa tena au kuitoa km mna watoto tayari katika mipango yenu?
0 Reactions
49 Replies
823 Views
Kuwa mzazi ni jambo jema, ila kulea mtoto si kitu rahisi, haswa akiwa ndio mtoto wa kwanza. Wengi wetu tunalea watoto kutokana na maelekezo ya watu wenye uzoefu na malezi kwa muda mrefu. Tatizo...
5 Reactions
17 Replies
33K Views
Habari, nimeona nireje MAELEZO niliyowahi kuyatoa kwenye Moja ya Uzi niliyowahi kuchangia bàada yakupata PM na calls kutokana kwa wanaJF wengi wakihitaji ufafanuzi na msaada wakimatibabu juu ya...
1 Reactions
3 Replies
372 Views
Poleni na majukumu wana JF, naombeni ushauri nifanye nini, imetokea kwa mtoto wangu wa miezi 8 na kidogo ukimsimamisha hakazi miguu na ukimlazimisha hulia sana. Inavyoonekana mama yake alikua...
0 Reactions
23 Replies
16K Views
Habari wana Jamvi,,, naomba kujua mkono kutetemeka na kuna wakati kushindwa hata kushindwa kuandika ni dalili za ugonjwa gani au ni ugonjwa gani? Na tiba yake ni nini?? Naomba msaada wenu wataalam.
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Dakika kumi zilizopita nilikuwa nimekaa chini ya mti nakula upepo, mara ghafla kamjusi kadogo kakaanguka kutoka mtini na kutua shingoni. Kamening'ata na sasaivi shingo imeanza kuwasha na kuvimba...
6 Reactions
64 Replies
3K Views
Wanajf ninaomba anayekifahamu kipimo hiki anieleweshe!Ni kipimo nimeambiwa unalipia sh.30000,wewe ni kukaa na kusubiria majibu ndani ya dakika chache!Utaambiwa shida zako zote!Kwa kuwa ni suala la...
0 Reactions
3 Replies
300 Views
Back
Top Bottom