Habari za leo ndugu zangu wapendwa? Ni matumaini kuwa mpo safi kabisa. nimekuja hapa kwenye hili jukwaa nikiwa nina shida moja inayonitatiza.
Jana nilikuwa nampa chakula mwanangu (ana miezi 7...
Hello wanaJF.
Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...
1. Sperm/Semen Analysis:
2. Testosterone:
3...
Wakuu poleni na majukumu, naomba kwa mwenye kujua chanzo au tiba ya kuvimba kwa miguu wakati wa Safari. Mke wangu anasumbuliwa na tatizo hilo kila anaposafiri, akikaa kwenye gari zaidi ya masaa 6...
Habari za muda huu wakubwa...
Ni jambo la kawaida kabisa kwa wanawake wajawazito kujisikia haja ya kujisaidia choo mara kwa mara. Hii ni kutokana na mabadiliko kadhaa yanayotokea mwilini wakati wa...
Nywele kukatika ni tatizo linalowakumba wanawake wengi, na linaweza kuathiri kujiamini na muonekano wa jumla. Tatizo hili linaweza kusababishwa na mambo mengi, ikiwemo matumizi yasiyo sahihi ya...
Wapendwa naombeni mnisaidie katika hili, huyu mtoto ashanichosha ana miezi minne tu ila hataki kabisa kunyonya, alianza kama miezi miwili hivi ikabidi wa tatu nianze kumpa maziwa ya fomula ila...
"Habari viongozi, polen na majukumu, samahani naomba msaadq wadau mwenye kujua dawa......nasumbuliwa sana na tatizo la tumbo kujaa gas kwa muda sasa, dawa za hospitali zimeshindikana na nimepima...
Dhana kwamba "wanaume hawalii" ni mtindo wa kijamii ambao unaweza kuwa na athari mbaya kwa afya ya kihisia na ustawi wa wanaume. Wazo hili linadumisha dhana kwamba wanaume lazima wazuie hisia zao...
salamu,
Naomba kuwashirikisha tukio moja nililolishuhudia nikiwa safarini (kwenye bas) Wote tunafahamu kuna watu wakipanda gari huaptwa na hali ya kutapika sana! Hii huwalazimu wengine kutokula...
SARATANI NI NINI
Miili yetu ina chembechembe hai nyingi ambazo huzaliana, hukua, na kufa kwa mpangalio maalum. Chembechembe hizi zinapobadilika na kuanza kuzaliana na kukua katika utaratibu ambao...
Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/...
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi.
Naomba niende kwenye Maada yangu direct. Kwa kitambo Sasa nmekuwa muhanga wa Ugonjwa huu ninao uona ni wa Ajabu kwangu..,
Mwanzo wa mwaka huu nilipata...
Naomba kuuliza wananzengo je, ni kweli kumvalisha diapers/pampers mtoto wa kiume kwa muda mrefu kunaweza kumletea shida ya nguvu za kiume hapo baadaye.
Wadau nahitaji mrejesho ili nione kama kuna uhakika wa kupona nikainunue maana nimetumia dawa nyingi bila kupona, nimetapeliwa sana bila mafanikio.
Msaada jamani.
FAIDA ZIPATIKANAZO KWA KULA MAGANDA YA NDIZI MBIVU
Watu Hula Maganda ya Ndizi.
Wewe Unazijua Faida Zake?
How healthy are bananas? Bananas are rich in Vitamin B6 and a good source of fiber...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU BAKTERIA HUYU
Habari wanajamvi!!!
Naomba kujua tiba ya Helicobacter pylori( H-pylori) ni ipi? Na je huu ugonjwa unatibika ? Je wapo watu walioumwa...
Habari za wakati huu ndugu zangu.
Nimekuja kwenu nikiomba ushauri juu ya kadhia hii inayonikumba mimi mdogo wenu;
Takriban miaka 2 sasa nimekuwa nikitaabika sana na harufu mbaya ya mdomo mithili...
AINA ZA NGOZI.
Kuna aina nne za ngozi ya binadamu:
1.Ngozi ya kawaida (normal skin)
Hii ni ngozi ambayo ina mafuta na unyevu wa kawaida kwa ajili ya ustawi mzuri wa ngozi,hivyo huwa ni ngozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.