Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu habari zenu. Nilikua quora website, kuna mtu aliuliza swali anataka kujua kama hiv ina dalili zototw za kupata tiba kamili. Aliuliza kua amesikia fununu kwa ndugu yake yuko kitengo maalum...
1 Reactions
19 Replies
709 Views
“Ushauri wangu hauna gharama lakini kuna kupunguziwa gharama, wangapi mmekunywa chai , chai sio lazima na msije mkasema Janabi amekataza kunywa chai. Breakfast maana yake kukatiza mlo sio unakula...
6 Reactions
63 Replies
2K Views
Je, unajua kwamba vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia moja kwa moja katika muonekano wa ngozi zetu? Vyakula vya asili vina virutubisho muhimu vinavyosaidia mwili kupambana na magonjwa na pia...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Wife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada. Status: Hajawai kuzaa Hajawahi shika mimba Hanyonyeshi Hajawai kua na hilo...
8 Reactions
61 Replies
2K Views
Wakuu habari za majukumu nina ombwa kujuzwa kama kuna mafuta au dawa yoyote inayoweza kujaza nywele kichwani. Mimi ni kajana wa miaka 24+ ila naona kuanzia mwezi uliopita kama nywele za mbele...
9 Reactions
98 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza Korosho ipo katika kundi gani ni Wanga au Protein?
2 Reactions
17 Replies
861 Views
Wakuu habari zenu. Najua kuna madr humu, nahitaji ushauri wenu, cas sijui ethics au pricedures za wataalamu wa afya nisije shauri vibaya. kuna kijana tunafahamiana ni HIV+, japo tofauti na ndugu...
0 Reactions
13 Replies
635 Views
Amani iwe nanyi... Nimetamani kuuliza jambo hili kwa muda kidogo, ni kuhusu hizi dawa ambazo wansema zinasaidia katika masuala mazima ya uzazi ikiwemo kutibu magonjwa kama vile PID, FUNGUS,. UTI...
1 Reactions
11 Replies
510 Views
Naomba kuzijua dalili na tiba za ugonjwa wa gauti. Habari zenu wana jamvi, Nina mgonjwa anayesumbuliwa na miguu, sehemu za magoti zinavimba na kupelekea miguu kuuma sana. Nadhani ni Gout...
4 Reactions
241 Replies
128K Views
Napata wakati mgumu kuelewa kwa nini baadhi ya watu na vyombo vya habari vinasema TOTO AFYA KADI imeboreshwa au kurudishwa. Inaonekana wengi hawajui nini kimetokea, labda acha niwakumbushe kidogo...
4 Reactions
6 Replies
509 Views
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha baba yangu anasumbuliwa na huo uvimbe, umekua ukimdhoofisha afya yake, tumejaribu mara kadhaa kumpeleka hospital lakini matibabu anayopewa yameshindwa...
1 Reactions
5 Replies
584 Views
Habari Wana jukwaa! Kuna Binti anapitia changamoto ya mwili wote kuhisi maumivu ya kuwaka moto muda wote, miguu kuuma, mikono kushika ganzi na mabega kuumia lakini pia na meno yanamuuma ivyo vyote...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Kwanini ugonjwa wa Hernia kwa kiswahili au kwa maana nyingine watu wana uita ugonjwa wa NGIRI?? Utasikia jamaa Ngiri imempanda🙊
1 Reactions
0 Replies
156 Views
Wakuu, naomba kuuliza: Je, kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea unapokula mfululizo karanga mbichi, mbegu za maboga, muhogo mbichi, na vyakula vinavyosadikika kuimarisha mfumo wa uzazi wa...
2 Reactions
1 Replies
263 Views
Wadau, yupo ndugu yangu ambaye anasumbuka kwa muda sasa na amejaribu vipimo sehemu nyingi. Ilianza kidogo kidogo sasa inamsababishia shida, hawezi kulala vizuri. Kichwani anasema anahisi kama kuna...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa tafsiri isiyo rasmi toka kwangu. Faida wanazopata wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Benefits enjoyed by males who are intact (not circumcised) 1. Full penis length and circumference. The...
3 Reactions
68 Replies
46K Views
Habari za asubuh nimejaribu kutengeneza juice ya kabichi kwa ajili ya vidonda vya tumbo,sasa baada ya kusaga naona ni nzito niongeze maji au nakunywa ivyo ivyo,msaada tafadhali
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Matumizi ya Dawa za kuongeza uchungu Kanda ya Ziwa ni janga kwa Wajawazito wengi Baada ya kusikia hizi stori kwa muda, nikaamua kuingia mitaani kufuatilia kinachoendelea hasa maeneo mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Aliyekwisha tumia dawa za kichina au hizo za kiarabu kutibu matatizo ya tumbo ,maumivu ya miguu nakadhalika ninaomba anishauri! Zipi zinafanya kazi vizuri na kwa uhakika,za kichina au za kiarabu...
0 Reactions
4 Replies
365 Views
Nchi 20 zenye idadi ndogo ya vifo vya kina mama wakati wakujifungua Africa (2020), pia inaitwa maternal mortality rate (MMR) ni njia nyingine ya kupima maendeleo ya nchi. Namba baada ya jina la...
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Back
Top Bottom