Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimeshauriwa muda mzuri wa kutahiri watoto ni wakati wa baridi na sio wakati wa joto. Je ni kweli? Kwa hapa Dar es salaam ni mwezi gani mzuri wa kutahiri mtoto( mwezi wenye baridi). Asante sana
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Chunusi ni tatizo la ngozi linalosababisha vipele na madoa, na mara nyingi huwa na maumivu. Changamoto hii inaweza kuathiri watu wa umri wowote na huwa inasababishwa na mambo kadhaa. Sasa, hebu...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Kuna miaka ilikuwa mtoto akionekana mbishi wa kula, amezubaa zubaa au goigoi sana wazazi wanaambiana inawezekana ana minyoo na mara moja atapewa dawa za minyoo bila hata kumuona daktari, ila...
1 Reactions
2 Replies
238 Views
Naitwa Dr. Elizabeth Kilili, a.k.a. Mama ZOAZOA, ni mkurugenzi wa Grace Products Limited. Leo nina somo fupi ambalo nataka tuangazie afya ya mama pamoja na mtoto, nikizungumzia kitu kinachoitwa...
0 Reactions
1 Replies
371 Views
Course gani inahusika na mambo ya chanjo ( vaccine) ? , but nina diploma ya nursing nahitaji kusoma level ya bachelor ila nimeajiliwa halmashauri nahitaji kujiendeleza. Kama utakuwa na uelewa...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Wakuu nauliza hivo na sababu!! Homa ya uti wa mgongo au meningitis
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwanini pindi mtoto wa kiume anavyozaliwa huwa anaangalia chini? ila mtoto wa kike anakuwa anaangalia juu?
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Nyakati za usiku, wengine ni uvivu kuinuka kwenda chooni kujisaidia haja ndogo, baadala yake wanatumia kopo, ndoo au chupa kujisaidia haja ndogo. Swali langu lipo kwenye hawa wanaotumia chupa...
2 Reactions
49 Replies
10K Views
Habari, Yapata mwezi sasa nimekuwa nikikumbwa na tatizo la kuwashwa mwili kama nimemwagiwa upupu, hasa mida ya saa tatu usiku ambapo mambo yanakuwa mabaya zaidi na najikuna vibaya mno. Mwanzo...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Habari ndg zangu naomba ushauri wa dawa ya matangotango/mbaa maana zimejaa mwili mzima hadi zinawasha hatari...
2 Reactions
10 Replies
491 Views
Hivi unapopima kwenye mshipa mkubwa wa damu mkononi unacheki magonjwa gani? Nimeenda na mtoto kumpima eti kila kipimo kina bei yake, maana nimeenda kumpima U.T.I, Typhoid na Malaria Je kila...
3 Reactions
8 Replies
378 Views
Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya?? Uzi tayari
11 Reactions
52 Replies
1K Views
Habari za Leo wanajamii forum, naombeni nisaidiwe kwa hili. Nina kazi ya kukaa muda mrefu kwenye kompyuta (Coding Developer), na katika kipindi kifupi kilichopita, nimeanza kusumbuka na maumivu...
1 Reactions
13 Replies
537 Views
Habari wakuu, Kama kichwa habari kinavyo eleza ya kuwa waafrika na waasia hawawezi kunufaika kiafya kwa kunywa maziwa. Kwa utafiti uliofanywa na chuo kikuu Cha Cornell kimegundua ya kuwa watu...
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa. Umri miaka 29 CHANZO CHA TATIZO: Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo...
2 Reactions
17 Replies
612 Views
Ivi nikweli ukitembwa na mwanamke mwingine huruhusiwi kusika mwanao kwamba Atadhuruka.. na kuathiri ukuaji wake?
0 Reactions
4 Replies
338 Views
Kwa ninavyokuelewa ni kwamba jambo hili husababishwa na maumivu makali kama ya tumbo au kichwa lakini pia maumivu ya mgongo ambayo hupelekea kupanda kwa dopamine
1 Reactions
0 Replies
172 Views
Habari wanajamvi, Kumekua na malalamiko katika familia nyingi sana kuhusiana na jinsi₍ jinsia₎ ya watoto.Waweza kukuta mzazi anazaa watoto wa kike tu au kinyume chake hii inapunguza furaha na...
11 Reactions
91 Replies
28K Views
7 Reactions
125 Replies
2K Views
Back
Top Bottom