Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari za mida Wana jamii, Mimi ni kijana Nina umri wa miaka 29 miezi mitatu iliopita nilijigundua kua Nina uvimbe kwenye korodani kutokana na maumivu ya hapa na pale ndo kujichunguza nikagundua...
0 Reactions
3 Replies
353 Views
SHUKRANI NI MBEGU YA FURAHA Tunaishi kwenye dunia yenye wingi wa vitu vizuri ambapo kwa wingi huo hutufanya tuendelee kutamani zaidi na zaidi kitu ambacho ni rahisi kusahau vile tunavyomiliki...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Salamu Wana jukwaa... Nimekuwa nikisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa vidonda vya tumbo... Kwa hakika vinanitesa sana. Kuna raia mmoja ameniambia niende kwa WAKOREA, Wana dawa za uhakika japo...
1 Reactions
2 Replies
283 Views
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya...
9 Reactions
112 Replies
7K Views
16 Signs That May Indicate HIV Within a month or two of HIV entering the body, 40% to 90% of people experience flulike symptoms known as acute retroviral syndrome (ARS). Here are 16 signs...
1 Reactions
58 Replies
193K Views
Kumekuwa na maneno kuwa mtu aliyevunjika labda mbavu, mguu au nyonga akipelekwa hospitali labda akaongezewa kiungo cha chuma kumsaidia kundelea kutembea kama alivyokuwa, ni kweli akifariki dunia...
5 Reactions
64 Replies
2K Views
Hivi kuna uwezekano wa kupata VVU kutokana na kunyonywa uume msaada please
6 Reactions
162 Replies
72K Views
Neno Crown sio geni Sana , nahisi umelisikia. Ni aina ya meno bandia ambayo hutengezezwa maabara ili kuzibia jino / mapengo kwenye meno halisi yaliyotoboka au kutoka/ kuvunjika ili imusaidie mtu...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano. Kuna kitu nilifanya ijumaa
22 Reactions
138 Replies
4K Views
Habari zenu waungwana, Jamani eh! Nina tatizo naomba someni uzi wangu mpaka mwisho na mnisaidie naomba mnisaidie tafadhali. Nilikuja hapa kuomba ushauri miezi kadhaa nyuma kwa tatizo langu la...
1 Reactions
51 Replies
9K Views
Habari wakuu, Nina changamoto yapata mwezi sasa ulimi wangu umechubuka ulianza upande mmoja na umeenea kiasi mpk kwa mbele kabisa, nilienda hospital nikapewa cipro ya kumeza na Quadrajel ya...
0 Reactions
7 Replies
362 Views
Wataalam Nimekuwa nikijiuliza hivi imeshindikana kweli kufanya surgery ya kuondoa mafuta toka kwenye tumbo? Mi naona jinsi yalivyojirundika sehemu moja tumboni kama mnavyotuaminisha kupitia...
4 Reactions
65 Replies
15K Views
Siku tano baada ya dawa ya Uriphytol inayoelezwa kukinga na kutibu tatizo la kutanuka kwa tezi dume kuanza kuuzwa rasmi, dawa hiyo imeadimika katika maduka ya dawa mkoani Dodoma ilikoanza kuuzwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Miezi kadhaa iliyopita nilikubwa na misukosuko mingi sana kimaisha na magonjwa mbalimbali makubwa kuninyemelea ikiwamo high blood presha. Nikiwa kijana kabisa mwenye ndoto za maisha yangu...
29 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari wakuu, Leo tena nawaletea ujuzi mwingine ni mdogo sana,lakini kwa vile inawasumbua sana watu Ugonjwa wa bawasiri maarufu ndonda kwa sasa naona imekuwa changamoto sana kwa watu wengi sana...
12 Reactions
83 Replies
23K Views
Habari ya majukumu! Nisiwe mchoyo wa fadhila Kwani Mungu ametupa Bure, kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo, na una uhakika ndio vyenyewe kweli, kwa maana si kila ugonjwa tumbo ni vidonda vya...
4 Reactions
31 Replies
6K Views
Nilikuwa naongea na watoto (wanafunzi) kama 100 hivi. Basi katikati ya maongezi ikanijia chafya, nikaziba mdomo tu nilijua kuwa sina tatizo lolote na ni chafya ya kawaida tu kama zile zingine...
4 Reactions
11 Replies
561 Views
Toka juzi naumwa yaani kuna saa nasikia bariidii Kuna saa nasweat Sana hasa usiku Halafu sina nguvu wala appetite Na mdomo mchungu Pia sina nguvu Sitaki kwenda hosptal Naombeni mniambie dawa ya...
19 Reactions
115 Replies
2K Views
Naomba kufahamu mwenye uzoefu na jambo hili maana kuna mtoto wa sister wangu mtoto wake wa kike ana miaka 8 ameanza kutoka damu ukeni mama yake ananiambia sijamuelewa tunahisi ni hedhi hapa...
3 Reactions
23 Replies
784 Views
Mdogo wangu alindondoka (kwa bahati mbaya) kwenye mti,ikaonekana ameumia bega, tukaenda hospital kubwa hapa mkoani,madaktari wakasema lazma wafanye x rays na leo tunatazamia afanyiwe,je kuna...
1 Reactions
3 Replies
230 Views
Back
Top Bottom