Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu natafuta dawa ya asili inayoitwa phylantus Niruri. Ni urgent sana. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
197 Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI: Wanajamii natumaini hamjambo. Naomba mnisaidie ni dawa gani nzuri kwa ajili ya Mba. Nimejaribu kutumia dawa mbali mbali ikiwa ni pamoja...
1 Reactions
319 Replies
212K Views
Mwani (sea moss) ni mojawapo ya mimea inayoota baharini na inalimwa sana zanzibar na mafia. Nimeona kutoka sehemu mbalimbali wauza dawa mbadala wakiusifia mwani kutibu magonjwa mengi na kuwa...
3 Reactions
22 Replies
832 Views
Hii ni alama inayoonesha mtu huyo ameathirika na virus vya ukimw na hutokea kipind virus vina zaid ya miaka miwil kitaalamu tezi hiz huvimba kama ishara ya kukusanya virus na kuwarundika sehwm...
4 Reactions
15 Replies
850 Views
UFUTA au kitaalamu Sesamum indicum, hustawi na hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania ya Lindi, Mtwara na sehemu ya mkoa wa Ruvuma, Tunduru. Hata hivyo, tafiti mbalimbali za ndani na nje ya...
3 Reactions
4 Replies
825 Views
Habari Wana JF, Naomba Ushauri Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu. Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na...
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika...
2 Reactions
40 Replies
1K Views
Nimefika Hospitali ya Mnazi Mmoja Ilala Jijini Dar esa salaam. Baadhi ya wagonjwa wanalalamikia ucheleweshaji wa huduma mbalimbali zitolewazo hospitalini hapo. Tusikilize baadhi ya wagonjwa...
1 Reactions
6 Replies
419 Views
Hii ni changamoto ya afya ya akili watu huita Kichaa (Mental health challenge) Mania ni changamoto ya afya ya akili ambayo mhusika huwa na dalili nyingi zikiwemo kuvaa mavazi ya kumelemeta ...
1 Reactions
0 Replies
155 Views
Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke. Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo. Iko hivi; wakati mwanamke...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wakuu .... Naomba kujua matibabu rahisi kwa mtu ambaye anaumwa ugonjwa wa gono , mtu ambaye tayari ume wake umeshaanza kutoa maji maji ( Usaa ) kabisa, ni dawa gani nzuri na za uhakika...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa, Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho. Hivyo tumeshauriwa tumnunulie...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu, Habarini Naombeni msaada kwenye tuta. Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya macho na kutoona kuona vizuri hususani kwenye mwanga mkali.nimefanya Eye diagnostic na kuwa recommended kuvaa...
2 Reactions
33 Replies
10K Views
Shida ni hiyo imempata binti yangu mkubwa tu gafla hawezi zungumza kabisa hospitali wanasema hawaoni tatizo Je yawezekana kupona hii shida
5 Reactions
62 Replies
1K Views
Kaka vipi hali pole na majukumu. Samahani kuna hii issue inanitesa sana ni wiki ya pili sasa na sijuwi nifanyaje. Iko hivi kuna binti niko naye kwenye mahusiano mwezi wa 7 sasa japo kila mtu...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye...
11 Reactions
70 Replies
2K Views
Kama nilivyoeleza hapo juu. Ni kwanini watu wengi sana wanapoenda hospitali kutibiwa na kisha kuambiwa warudi kuhakiki vipimo iwapo wamepona hua hawarudi? Hupewa muda pengine baada ya wiki moja...
4 Reactions
16 Replies
464 Views
habari zenu wadau nasumbuliwa na tumbo upande wa chini kushoto(kwa kulibonyeza ila kawaida haliumi),pia hata nikibonyeza kwa juu napata maumivu au nikifanya mazoezi ya kukimbia hua napata hii...
1 Reactions
5 Replies
260 Views
Kusafisha Figo lililokuwa ni chafu ili liweze kufanya kazi vizuri. Chukuwa embe moja kubwa kata Vipande vidogo, kisha kata Vipande vidogo Tufaha la kijani aka Apple. Kisha Kata limao vipande...
7 Reactions
9 Replies
495 Views
Katika kipindi hiki Cha msimu wa matunda ya maembe, ninakukumbusha kutumia kikamilifu ili yaendelee kuboresha afya yako. Katakata(chop) Kisha weka kwenye kikombe Cha chai. Halisababishi kupanda...
1 Reactions
7 Replies
458 Views
Back
Top Bottom