NI VITU GANI UTUMIKA KU-CREATE AFYA BORA KWA BINADAMU?
Ukitaka kupika maandazi basi utahitajika uwe na mahitaji(ingredients) kama unga,chumvi,sukari,baking powder,iriki,maji n.k
Sasa turudi...
Nawasalimuni kwa jina la JMT?
Kama kichwa kinavyoeleza je ni kweli mtoto akizaliwa kuna kipindi wazazi wake wanatakiwa kukutana kimwili(kufanya ngono) ili kumzibua masikio?
Kama hawajakutana je...
kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ni jambo muhimu na jukumu la kila mmoja wetu,
Unapopewa dawa sehemu yoyote iwe hospitali au famasi za jamii hakikisha umepewa maelekezo ya kutosha ya namna ya...
Kuzeeka ni hali ya kawaida kwa binadamu ambaye amezaliwa na mwanamke, lakini kuzeeka kabla ya wakati sio kawaida.
sababu kuu za kuzeeka mapema kwa watu wengi ni uvutaji wa sigara na kupigwa na...
Habari
Siku mbili hizi nimejihisi ninapata maumivu chini ya kabla ya kumalizika kwa mbavu upande wa kushoto wakati wa kula tuu maumivu sio makali kawaida tuu.
Kabla ya kwenda kufanya vipimo naomba...
Ninasumbuliwa na hilo tatizo kwa mda mrefu sana japo ni la msimu uja na kupotea.
Vinasababishwa na nini na ipi tiba yake sahihi sijawahi kulipeleka hilo tatizo hospitalini.
Kuna mtu kanishauri...
Naomba kujua gharama kwa mtu aliye na corona, baba yangu amelazwa KCMC yaani kila siku gharama hazieleweki kwa siku ya kwanza tu tuliambiwa ni kama1.9 million bado gharama kwa siku nyingine na...
Rejea kichwa cha habari hapo juu,hili tatizo la kuishiwa damu lilinianza 2017 mwanzon kabisa hilivofika mwez wa sita hali ikawa mbaya sana nikaenda hospital nikapimwa wingi wa damu na vipimo...
Lakini ni dhahiri kwamba soda imekuwa ikihusishwa na magonjwa lukuki; saratani, figo, mifupa, mstuko wa moyo. Pia, unywaji wa vitu vya sukari pia unasababisha kuwa na unene, kitambi na upungufu wa...
Kama mada inavyojieleza
Naomba kujuzwa kinaga ubaga madhara ya kutumia vumbi la Congo
Kwa upande wa Viagra ni rahisi kudead hasa show ikiwa Kali
Je, kwa vumbi yapi madhara yake?
Samahani wakuu,
Naomba kuuliza ni muda upi sahihi wa kunywa maji baada ya kupata mlo? Maana watu Wana mazoea tofauti, mwingine anakula huku anapiga maji kwenye bilauri, mwingine baada ya kumaliza...
Tangu juzi nimetapika mara moja, macho yameishiwa nguvu, kizunguzungu, kichefuchefu, misuli kukaza hasa miguuni, sasa nasikia mate yanasukari.
Muda si mrefu nimetoka kupima wingi wa damu 12...
Wataalamu naombeni majibu,
Kwanini chanjo nyingi hata hii ya Covid 19 zinatolewa kwa kuchomwa begani na sio sehemu nyingine kama makalio au mapajani au kuingizwa kwenye mshipa wa damu moja kwa...
Tooth sensitivity ni ugonjwa ambao hupelekea toothache.
Hali hii hutokea ambapo meno pamoja na fizi hupata uelewe wa kuhisi chochote. Kwa mfano meno yanapo guswa na maji baridi, meno yanapo pigwa...
Corona virus is the disease caused by virus known as SARS-COV-2 which was errupted in Wuhan china on december 2019. Corona Virus is the respiratory disease that attacks the respiratory system and...
Na Fatuma Seif
Sigara ni aina ya kilevi,kibirudisho ambacho hutumiwa na baadhi ya watu wa rika tofauti tofauti ikiwa na maana ya wanaume, wanawake, wazee na hata vijana ambao hupenda kutumia...
Habari wakuu,
Brachymetatarsia ni hali inayo sababisha vidole vya miguu kuwa vifupi (itaitwa brachymetapody kama itakuwa ni zaidi ya kimoja ). Ni hali ambayo hurithiwa kutoka kwa mzazi, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.