Makundi gani ya watu yako katika hali hatarishi ya kudhuriwa vibaya na changamoto za upumuaji?
Wachukue hatua gani za ziada kujikinga kuingia katika janga hilo?
Watafahamu vipi kwa haraka...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Wakuu naomba nifikishe kilio cha rafiki yangu mmoja mwenye tatizo la kupata kizunguzungu kila alalapo, hasa anapolala chali kitandani. Huyu jamaa ana umri...
Haijawani tokea;
Nilikuwa nasikia Kwa watu tu hii kadhia.
Leo nimeingia chooni, kwakweli choo nilikuwa nayo, lakini ilikwama kutoka ilikuwa ngumu sana, nimekaa chooni karibia lisaa, choo...
Hili swali nimewahi kuuliza humu ndani na sikupata jibu. Kuna sehemu kohozi linatokea ghafla na ni mazingira ambayo huwezi kusema uteme. Sasa ukiwa mmezaji mkubwa, kuna madhara?
Wakuu hope mko poa.
Me ni kijana wa kiume, Kuna situation naipitia hadi nakosa raha.
Nilikuwa na wapenzi tofauti performance yangu kwa bed ilikuwa nzuri Sana, nilikuwa vizuri had katikati ya...
Habari JF Doctors na wadau mbalimbali,
Nina kijana wa kiume miaka 19 anasumbuliwa na maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa sehemu za uzazi, Tatizo hili limemuanza wiki moja nyuma ambapo palianza...
Epuka moshi kutoka kwenye moto wa kupika kwasababu una vitu vidogo ndani yake ambayo vinaweza kuingia kwenye mapafu na kusababisha ugonjwa
Epuka moshi huo kwa kupikia nje au mahali penye hewa...
Habari wakuu,
Nina miaka sita nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nipo kwenye clinic ya matibabu mpaka sasa.
Naomba kujua kama asali haina shida kwa matumizi kwa mimi mwenye shida ya madonda ama...
Habari zenu wana JF,
Mimi ni mgeni humu nimekuja kwenu kuomba ushauri na mawazo yenu maana humu kuna wataalamu mbalimbali.
Mama watoto wangu ni mjamzito wa takribani miezi 8 na point na amekuwa...
Husika 'na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni kijana mwenye umri 30 'niliekua na malengo na mipango mbalimbali 'katika maisha moja katika ayo ' ni kuwa na mjengo ili nimefanikisha kwa 70%...
Wasalam ndugu zangu wa JF natumai mko na afya njema kabisa , na wale ambao hawako vizuri Mwenyezi Mungu awatie Nguvu na awafanyie wepesi mrudi kwenye Afya Imara.
Kama kichwa cha habari...
Habarini wakuu! kabla sijaenda kwenye hoja yangu kama kichwa kinavyojieleza nitoe shukrani zangu za pekee kwa Mwenyezi Mungu anipae uhai, Wakuu ni wiki ya pili sasa tangu nilipoanza kupata tatizo...
Vijana wenzangu, wazee na watoto ambao mmewahi kuota ndevu za KWAPANI, CHINI, NDEVU & KICHWANI napenda kuwasilisha jambo hili kwenu kama mko na Experience ya ari hii ambayo mimi inanikumba kwa...
habari zenu wakuu..
nimepatwa na mafua makali sana nahisi Kwa mara ya kwanza.
1. sisikii harufu ya kitu chochote ILA napumua nashkur Mungu.
2. mwili kuchoka kiasi japo juzi ilikua Hali tete...
Vijidudu/virusi vya corona vinaweza kuishi kwa muda kadhaa kwenye nguo, ngozi ya mwili, vitasa vya milango na maeneo kadhaa mbalimbali kama vile simu, samani, viti, mikoba, kalamu, madaftari, nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.