Nini Chanzo Cha Pneumonia
Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:
Bacterial Pneumonia
Wagonjwa wengi wa...
UDAKU SPECIAL BLOG
Menu
Kulala na Feni Kunaweza Kusababisha Kifo?
April 27, 2017 Afya No comments
Watu wengi hasa wanaoishi katika maeneo yenye joto, mara nyingi hulala wakiwa...
Habarini wakuu,
Cancer stage ya kwanza na ambayo haijaenea wala kuathiri chochote mwilini kuna uwezekano wa mgonjwa kupona?
Mama yangu alipatwa na jipu likapelekea kidonda kikubwa sana na sasa...
UJUE UGONJWA HATARI WA EBOLA
EBOLA:
Ebola ni ugonjwa wa hatari unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kwa lugha ya kitaalamu EbolaVirus.Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa yajulikanayo kwa...
Mke anaumwa tumbo ni mjamzito ameenda kituo cha afya na kuambiwa kuwa damu imeganda katika mirija ya uzazi. Je kuna dawa ya kuyeyusha hiyo damu?
Na pia je akitumia hiyo dawa mimba haiwezi kutoka?
Ukeketaji unakwamisha utendaji kazi wa asili wa mwili wa mwanamke na una madhara makubwa kwa afya ya wanawake na wasichana, ikiwa ni pamoja na afya yao kisaikolojia, kimahusiano na afya ya uzazi...
Habari.
Kuna hili jambo ambalo limenishangaza kidogo baada ya kukutana na watu wa namna hii.
Mtu kupenda maji kupita kiasi nikiwa na maana ya kuyashika/kugusa mwili wake muda mwingi.
Madaktari...
Wakuu hivi majuzi nikienda kufanya checkup baada ya kusikia maumivu kwenye goti walipopima nikaambiwa uric acid imezidi nikatumia dawa walizonipa basi baada kama wiki pakatulia sasa nikapiga...
Hivi tatizo nini wanaume kuzaliwa Na uhanisi acha huu wakujitakia ule wakuzaliwa tatizo nini je wanakujaga kupona kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Saratani ya utumbo mpana ni aina mojawapo ya saratani ambayo inaathiri utumbo mpana na eneo la mwisho la utumbo mpana linaloitwa rectum.
Mwanzo wa saratani ya utumbo mpana ni vimbe ndogondogo...
Habari wakuu,
Nimekuja gundua wadau wengi wa JF wanashuhuda za uhakika wa 100% za Tiba fulani za Asili kwa kuwa binafsi au ndugu zao wa karibu walizitumia kutatua Maradhi, Ulemavu au matatizo...
Nina kichocho dalili nimeanza kuziona leo. Je, dawa gani ya kutibu ugonjwa huu?
----- Maoni kutoka kwa wadau-----
MziziMkavu anasema,
Ndugu pole sana kwa kutokwa na damu wakati unakojoa ni...
1: MAANA YA PID.
PID ni kifupisho cha neno Pelvic Imflammatory Disease.
Huu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria, bakteria hawa huenda na kushambulia via vya uzazi vya Mwanamke na kumletea mdhara...
Ndugu zangu habari zenu, ninapata shida ambayo sijui ndo macho au kichwa...
Nikitembea ruti ndefu au nikifanya mazoezi ya kucheza mpira vile kukimbia kimbia, mazoezi yakichanganya napata shida ya...
Ndugu zangu natanguliza salam zangu kwenu!
Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia...
Wakubwa hongera kwa shughuri za Ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania.
Wakubwa naomba kupata ufafanuzi wa jambo hili.
Je, nikwel uvaaji wa miwani ya macho kwa muda mrefu hupelekea macho kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.