Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari wakuu. Unataka kuzaa ? Hospital wamekwambia unashida ya mayai ? Au Mirija imeziba . Au kila ukishika mimba inatoka ? Au hedhi yako imekuwa ya shida sana? Chukua mizizi ya mbaazi +...
11 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari watu wa jukwaa hili, Kama swali langu linavojieleza naomba msaada , Mimi ni kijana na sijaowa, imekua kawaida kwangu ninapokua karibu na mwanamke ambae ni mpenzi wangu na nikawa na hisia...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Food poisoning ni hali ya kuchafuka kwa chakula kunakotokana na uwepo wa vimelea mbalimbali kama vile bacteria, virusi, au parasites au sumu zao ndani yake. Hali hii hutokea wakati unapokula...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hi jf members, naombeni msaada wa dawa itakayonisaidia kutibu tumbo linalouma. Nimeenda kupima kwa daktari nikaambiwa enzymes zangu ni weak/dhaifu kwahiyo tumbo linakuwa na wakati mgumu sana...
0 Reactions
5 Replies
33K Views
Ndugu yangu anasumbuliwa sana na vidonda kooni kwa muda mrefu kiasi hata kumeza hata maji tu inamletea maumivu, ametumia Pen V mpaka basi lakini hakuna kitu, Mwenye ufahamu wa dawa atiririke hapa.
0 Reactions
12 Replies
15K Views
Kuna msemo usemao kila jambo lina muda wake, Hivi ni umri gani kwa mwanaume au mwanamke hautakiwi uwee umeshauvuka tiyari unatakiwa uwe na mtoto kwa maana ukivuka huo umri mtoto wako akizaliwa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu. Kama mnavyojua kila mwanadamu ni muhimu awe anapata muda wa kupumzika na kupata usingizi wa kutosha. Sasa kuna ule wakati una amka ambapo una kuwa na kama mawenge fulani...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jino langu gego upande wa kulia siku kama mwaka uliopita nikitafuna kitu upande wa kulia nasikia lina ganzi. Baada ya muda nikagundia lina kishimo. Juzi nilikuwa najaribu kufungua kinywaji kwa...
3 Reactions
44 Replies
16K Views
Habari, waswahili wanasema dawa ya jino ni kulitoa tu Ila hapa naomba kupata mawazo tofauti na hilo juu ni kwa muda jino limekua likinisumbua nimeshatoa kadhaa na likitolewa hili jingine hufuata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Katika pita pita zangu humu JF nimekutana na taarifa ya kuwa hospitali ya Hindu Mandal wanatoa meno kwa kutumia dawa na sio vyuma. Kwa yeyote anayejua kuhusu hili, naomba...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habarini wakuu Nakumbuka pale Babu wa Loliondo alipo tangaza tiba kwa ajili ya magonjwa sugu kama vile ukimwi n.k Umati wa watanzania walikusanyika kuweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nna majirani wawili ..wadada wajawazito walikuwa..umri around 25. Mmoja mtoto kafia tumboni kisa ni irregular heartbeat wakati hana historia ya ugonjwa huo..mimba ilikuwa miezi minne..na mwingine...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Umejiuliza hadi sasa umeweka chanjo ngapi za magonjwa katika mwili wako? Kwangu nadhani mara ya mwisho kupokea chanjo ilikuwa ni utotoni tangu hapo sitaki kuufanya mwili wangu uwe majaribio ya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Closed
Kwa miaka ya hivi karibuni, tatizo la mimba kwa wanafunzi katika shule nyingi za sekondari za kata, na hasa zile zilizopo maeneno hya vijijini, limekuwa moja ya maadui wakubwa wa elimu na...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Ndugu zangu wa JF, Heri ya mwaka mpya wadau, Jamani naombeni hata ushauri katika tatizo hili. Nina ndugu yangu anasumbuliwa na tatizo la mapaja kuwaka moto kisha pia mishipa ya damu ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kuna mambo mengi sana ambayo binadamu huwa tunayapuuzia ambayo ki msingi ni msaadaa mkubwa sana kwa afya zetu na badala yake tunakimbilia madawa ya pesa nyingi sana mahospitalini. Mimi ni mmoja wa...
9 Reactions
69 Replies
27K Views
Naomba kufahamishwa kwamba ni kweli mgonjwa akisha anza kutumia ARV hawezi kuambukiza ugonjwa?? Kuna jamaa hapa mtaani kaathirika ila anatumia ARV kwa muda na ukimuona afya yake iko imara. Shida...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
MAJI Sumu hurundikana mwilini tunapokuwa hatuna maji ya kutosha mwilini. Kitoto kichanga kilichozaliwa leo, asilimia 80 ya mwili wake ni maji. Kiwango cha maji kwenye tishu hupungua kadri mwili...
5 Reactions
276 Replies
117K Views
Heshima kwenu wakuu. Nimechomwa na mwiba mguuni kwenye unyayo. Nimejitahidi kuutafuta ili niutoe nimeshindwa kuubani. Maumivu makali sana. Leo ni siku ya 3. Ni wapi nitapata wataalam waubaini...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
T
1 Reactions
1 Replies
692 Views
Back
Top Bottom