Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
SOLUTION FOR MISCARRIAGES. This plant really works wonders for women who frequently have miscarriages. It is called Amaranthus cruentus in scientific name, Amaranth in...
2 Reactions
3 Replies
757 Views
wadau, Ninaomba ushauri wa dawa nzuri za mafua au kikohozi kwa mama mjamzito wa mimba ya week 37-38. Dalili ni; kikohozi kikavu kubanwa na kifua pua kuziba natanguliza shukrani zangu. regards.
0 Reactions
9 Replies
33K Views
Habari zenu waungwana? Mimi ni mschana wa miaka 23. huwa napata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja yaani ni hivi mwezi huu wa kwanza nilipata hedhi tarehe 4 ikaisha Siku 5. Sasa hivi tena huu...
5 Reactions
48 Replies
55K Views
Habari dr? Mwanangu anasumbuliwa na vipele vina miezi mitano (5) sasa mahosptal tumeenda bila mafanikio mpaka kwa specialist wa ngozi akasema vinasabibishwa na vrusi na pia dawa ni kuchoma au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natumai hamjambo wanabodi, Wakuu mimi baadhi ya nyakati hukumbana na hii hali ya kujihisi mpweke hata niwapo mbele za watu, yaani unajikuta bored then hujielewi tu, je ni ipi suluhu ya tatizo...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu kuna ndugu yangu anasumbuliwa na vipele vidogo vinamuwasha sana vipo kichwani kwenye nywele akikuna unatoka unga mweupe, vipo kifuani mgongoni makwapani. Alienda hospital mara 3 akaambiwa...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Kisayansi imekaaje mtu anapata ajali au anagonga kichwa na kupoteza kumbukumbu karibia zote ikiwepo na jina lake lakini lugha aliykua anatumia kabla ya janga Hilo hasahau. Jambo hili lina...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Naombeni ushauri kuhusu course ya pharmaceutical science na pia kwenye ajira ikoje natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Assalam wanajamvi! poleni na majukumu ya kila siku! Nawezaje kupata msaada wa matibabu/uchunguzi wa magonjwa ya akili!? Natanguliza shukrani
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu habari za weekend, Shida yangu kubwa ni meno yangu mawili ya mbele, meno ya tabasamu. Meno haya yameinuka kidogo kiasi ambacho yamezidi ule usawa wa meno ya chini. Yametengeza kitu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Samahani wakuu ninashida ya sikio nilikua nina fungus nimejaribu kutumia antibiotic sujaona nafuu samahani ambae ana fahamu dactari bingwa wa ENT. Naomba msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
2K Views
A new study revealed that a certain type of specialized white blood cells are capable of finding hidden infected cells in tissue and destroy them, providing new insights into finding a possible...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari jf doctor, Nimepatwa na tatizo la kuhara maji tangu jana usiku nineenda chooni zaidi ya mara saba, juzi kuna dawa za minyoo zentel nimekuwa nikitumia inabidi nimalize leo je naomba...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu poleni na majukum, Naomba msaada wapi naweza pata hii dawa (dapson tab) nlienda na mgonjwa wangu kwa dermatologist alikuwa na kidonda mguuni akaandika hiyo dawa nimezunguka maduka yote hapa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna tatizo ambalo huwa sijui kitalaam linaitwa vipi ila lipo kama hivi. Korodan moja inakua ndogo tofauti na nyingine Inavuta kama inataka kuzama kurudi juu Je, tatizo hili kitalam linaitwa...
0 Reactions
14 Replies
38K Views
Wanabodi habari za asubuhi. Kwa anayefahamu naomba ushauri au ufafanuzi wa nini kitakuwa kinanisumbua kulingana na maumivu nitakayoyaeleza hapa. Huwa napatwa na maumivu makali upande wa kulia wa...
1 Reactions
42 Replies
49K Views
Wadau, Ni jambo la kusikitisha kuona baadhi ya member/ wadau wakipotosha wenzentu (wanaoshi na VVU) kuhusiana na matumizi ya ARV au kwa jina lingine dawa za kufubaisha makali ya virusi vya Ukimwi...
15 Reactions
48 Replies
11K Views
Ni mara chache sana inatokea katika wanandoa kuwa mmoja ana VVU na mwingine hana. Ila kama ikitokea, Mara nyingi ni kuwa mwanamke anao na Mwanamme hana. (Ila mara nyingi kama Mwanamme ana VVU...
1 Reactions
25 Replies
9K Views
Maumivu ya korodani hutokana na ninu na tiba yakee ikoje
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Salaam wana jf wote Nimekuwa nasumbuliwa na tatizo la uvimbe sehemu za kwenye korodani ambapo shida mwanzo ilianza muasho sehemu za mapajan,korodani,nikaenda duka la dawa nikapewa dawa ya kupaka...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom