Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Tatizo limeanza kidogo kidogo toka 2009 akiwa 4m 3. Jicho kuwa jekundu. Alipofika 4m6 kukawa kama kuna kaweupe kidogo karibu ya mboni. Baada ya kwenda hospitali akaambiwa hiyo ni INFLAMMATION...
0 Reactions
4 Replies
15K Views
Wakuu natumai humu akishindikani kitu ninatatizo naombeni ushauri na kujua tatizo na tiba. Ninasumbuliwa na muwasho katika shingo ya uume yani napenda kujikuna sana naisi raha tu ila ninapukua...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari za Leo, Kiukweli kuna tatizo linanisumbua ambalo halijawai kunisumbua kabisa. Nahitaji kujua kwenu ni athari zipi za kiafya anaweza kuzipata mtu anayekula denda.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Siku moja jioni mke wangu mjamzito alikuwa na kivimbe kama kigololi au kitenesi hivi kstikato mwa uke wake, hapo alikuwa na ujauzito wa miezi Saba. Nikampeleka hospitality docta akasema ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 22. Ni kama wiki ya pili sasa nakutakana na hili tatizo, Yaani nikimaliza kufanya mapenzi (?) ngono na mwanamke baada ya masaa kadhaa yaani kama ni usiku basi...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wana JF, Naomba kuelekezwa home remedy kwa ajili ya tatizo la kuhisi kama kuna mchanga kwenye macho, macho kuuma na kupoteza uwezo wa kuona vizuri mazingira yenye mwanga na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana bodi salaam, Naombeni ushaur wenu hapa. Mtoto wang mdogo mwenye umri wa miezi 10 amekuwa na tabia ya kulia sana sana,asipo muona mama yake tuu ni kilio. Nilidhani pengine ana umwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mwezi uliopita tulienda kijijini kumsalimia Mzee mmoja ambaye ni babu yetu Baada ya siku 2 tukiwa shambani tuliona mti wa madodoki, ndipo mwenzangu akamuulza babu. Je, ni...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa vyovyote vile faida za kutumia sanitizers kunawa mikono kujikinga na COVID-19 ni nyingi kuliko hasara za kuacha kutumia. Hata ni vema pia mtumiaji akafahamu madhara ya sanitizers. Kwanza...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Dalili hatari kipindi cha ujauzito ambazo si za kupuuzia Hata kama umesoma sana na kuongea na wazazi mbalimbali kuhusu dalili mbali mbali kipindi cha ujauzito, bado itatokea baadhi ya wakati...
7 Reactions
6 Replies
13K Views
Habari, Nimekuwa katika weight loss journey kwa muda kidogo... Mwaka 2018 nlikua na kilo 64 lakini Kuna Dawa nilitumia nikaongezka mpaka kilo 95. Sasa nimejaribu kupungua nasaivi nakilo 79...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Nilitumia ujanjaunja nikampima HIV bila yeye kujua, majibu yakawa positive baada ya vipimo nikaingia mitini, tumekuja kuonana baada ya mwaka mmoja kupita katika stori za hapa na pale nikamwambia...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari ndugu, Nina mtoto wa kiume umri mwaka mmoja na miezi minne amekuwa analia anapotaka kukojoa ila akishakojoa anakuwa vizuri tu, nimeona hili tangu juzi ila nilifikiri ni kidonda cha...
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Remedy for watering sperm and weak erections Ingredients Milk Original honey Native egg preparatolion Crack 3 native eggs inside cup add equal proportion of raw honey and milk to it stear it...
2 Reactions
5 Replies
767 Views
Mbegu za Flax (Flax seeds): Wanaume wanapaswa kufahamu aina ya vyakula ambavyo si rafiki kwao katika kuongeza kiwango cha homoni ya kiume iitwayo testosterone inayochochea sifa ya mwanaume...
7 Reactions
45 Replies
29K Views
Naitwa naila naishi kibaha. Mimi ni mama wa mtoto mmoja nimemzaa tarehe 20/05/2020 mpaka sasa mtoto wangu anakama siku 49 kama sikosei. Lakini mpaka sasa haonyesh kama anaona maana nikimuangalia...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
BAADHI YA MWASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Nina miezi kadhaa nasumbuliwa na maumivu ya miguu sehemu ya makanyagio (kwenye nyayo eneo la nyuma). Nimejaribu kufuatilia kwa madaktari...
0 Reactions
40 Replies
62K Views
Habari Tanzania! Wataalamu wa afya, uchumi na fedha, watafiti na wapenda biashara na maendeleo wote kwa pamoja naomba muwasaidie watanzania wamechoka na magonjwa sugu na kuwa walemavu pasipo...
4 Reactions
50 Replies
29K Views
Wadau habari, Nimekuwa ni mpenzi sana wa kutumia sukari, chumvi na pilipili nyingi siku za nyuma, nina miaka 27 na siku ambazo nilitumia sukari kidogo ni zile tu ambazo nilikuwa shuleni boarding...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wataalamu mnalizungumziaje hili?! Mwili wangu umejiwekea kawaida moja ya ajabu sana, hata sielewi ni kwanini. Mara kadhaa nikiwa nimelala na mwanamke baada ya mapenzi, najikuta mpaka inafika...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom