Halo JF Doctor.
Hivi karibuni kama juma moja limepita, nimetokewa na kipunye mgongoni na kadri siku zilivyoenda ilivimbisha eneo kubwa mgongoni na niliimwa sana Leo usiku.
Kutokana na maumivu...
Habari ndugu zangu...
Soma hii stori ya kumhusu mke wangu halafu naomba ushauri.
Tarehe 28 April 2020 nilimuoa (tukaingia kwenye fungate). Tarehe 4-5 May akasema tumbo linauma nikamnunulia dawa...
Miaka mingi kidogo nilikutana na dada mmoja kutoka visiwa vya Caribbean, alinieleza umuhimu wa wanaume kula matango. Aliendelea kuwa kwao mtoto wa kiume anahimizwa kula tango walau moja kila siku...
KUONDOA ASIDI INAYOSABABISHA KIUNGULIA KWENYE MAHARAGE-Epukana na kiungulia na tumbo kujaa gesi.
Maharage ni moja ya vyakula ambavyo mimi hukwepa kula nje ya nyumbani ,naweza kula maharage nje ya...
Say no to Angioplasty
Natural therapy for opening the veins of Heart.
Lemon Juice 1 Cup
Ginger Juice 1 Cup
Garlic Juice 1 Cup
Apple Vinegar 1 Cup
Mix all above and Boil on Low Heat...
Nini husababisha hii hali kwani sijaanza Kukutana nayo juzi, jana au leo kutoka kwa Wanawake ambao huwa nakutana nao hasa katika Matukio ambayo muda mwingine huleta Mshtuko kama Ajali au Taarifa...
Wasalam!
Mimi ni mgeni katika jukwaa hili! Naomba mnisamehe kama nitakuwa nimelitumia kinyume na madhumuni yake!
Kwanza kabisa bila kupoteza muda, kama kichwa cha habari kinavyoonesha hapo juu...
Hii ni dawa ya Malaria niliyozoea kuitumia kuponya malaria miaka ya hapo nyuma, sikutumia dawa yoyote ya Malaria toka mwaka 2017 mpaka leo hii nimeugua Malaria.
Kwa sasa naona dawa hii...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI
Jamani naomba wataalam mnisaidie:
Mke wangu anamimba ya mwezi mmoja hivi lakini occassionaly huwa analalamika kwamba anasikia maumivu kwenye eneo...
Naombeni ushauri sina furaha na kichwa changu kwa ndani nimewahi kuwa na overstress za mda mrefu. Nina H parol pia ila ndani ya kichwa kama nimekalishiwa sufuria lenye chai ya moto yani ata...
Mimi ni mwanaume ambaye ninavumilia mambo sana na kuyatafutia utatuzi kwa namna yoyote ile.
Ila kuna wakati mambo yananifika na kuniumiza sana hadi najikuta nakata tamaa au jambo baya linanifika...
Salaam
wa mwezi sasa kimetokea kidonda kwenye njia ya uume pale uwazi, kidonda hiki hakiumi nilienda fanya urine culture na UTI hawajaona tatizo pamoja na blood culture hawanaona tatizo...
Watu wengi wamekua wakihangaika kutafuta dawa ya kuongeza Uume bila mafanikio pia kuna watu ambao wamepata madhara maada ya kutumia dawa za kuongeza Uume na hii inatokana na matumizi ya dawa za...
Habarini za leo wana J .F wenzangu,
bila kupoteza muda niede moja kwa moja kwenye mada husika.
umri wagu miaka 24, uzito 63kg, nina tatizo la kupata maumivu makari katikati ya pingiri ya uti wa...
Faida za limao au ndimu zinajumuisha matumizi kama tiba kwa ajili ya vidonda vya kooni, matatizo katika mmeng’enyo wa chakula, matatizo ya meno, homa, kuvuja damu ndani ya mwili, baridi yabisi...
Nina allage ya ajabu inanisumbua
- Huwa nikikata kachumbali mchuzi wa nyanya usinidondokee kwenye hiki kidole
- Nikisaga kitunguu maji, swaumu ama tangawizi majmaj yake yasiguse hiki kidole
-...
Tatizo la Nguvu za Kiume na Suluhisho lake
Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muogope Mungu uzinzi ni dhambi kubwa sana...
Habari za mda huu wana janvi wenzangu,
Mimi nina mtoto wa mwaka mmoja na miezi mitato, leo ni siku ya nne kila anacho kula anatapika hata akinywa maji tu anatapika hata maziwa ya mama anatapika...
Wakuu ni kweli watu wenye magroup ya damu yanayofanana hawawezi kupata mtoto?
Mfano mke group O na mume group O hata wakizivizia siku hatari hawawezi kupata?
Habari wakuu
Nimepata fununu kuwa kuna tafiti mbalimbali zinazobainisha kuwa watu wenye kundi O la damu huwa WAGUMBA au uzazi kwao ni nadra sana.
Nasikia kuwa hata wakipata watoto huwa hawazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.