Wakuu naomba kujuzwa kuhusu hii ishu ya kukuza mtarimbo mana pengine kuna iwezekano kama kuna mtu anakuza naomba nijue je kuna shida?
Au kuna uwezekano wa kukuza uume na unene pia mke akaogopa na...
Huyu Mama mjamzito alianza clinic wiki ya 13 akapimwa vipimo mbalimbali alikuwa Salama,imefika wiki ya 30( round ya tatu ) ya kwenda clinic Mambo yakabadilika.
Amepatwa ana kisukari lakini awali...
Habari za mchana wandugu,
Mwanangu ana tatizo la macho, akiwa anaangalia anafanya kama haoni vizuri, yaani macho anafumbua kwa mbali. Hii hali hutokea zaidi kwenye jicho moja, pia akiwa ameshika...
Neno food poisoning ni ugonjwa unaosababishwa na ulaji na unywaji wa chakula kilichochafuliwa au kuguswa na aidha sumu za bacteria au vimelea vya maradhi na kumsababishia mtu maumivu ya tumbo...
Side Effects of Long Term Paracetamol or Panadol Use
Paracetamol side effects
Use with caution in
* Decreased kidney function.
* Decreased liver function.
Paracetamol side effects...
Mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na pia ni mkufunzi wa kitaifa wa magonjwa ya mlipuko ikiwapo COVID. Na nimekuwa nikitibu wagonjwa wengi wa COVID toka huu ugonjwa uje nchini kwetu na...
Habari zenu Waungwana,
kuna mtoto mmoja wa kiume anamiaka 9 ni mtoto mwenye Utindio wa Ubongo, Huyo mtoto amekuwa hapati usingizi kabisa,Je mwenye kutoa ushauri juu ya dawa za kumpatia ili kuweza...
Tangawizi ina faida nyingi sana kwa mwili wa mwanadamu. Baadhi ya faida hizo ni kama ifuatavyo :
1. Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni,.
2. Kutibu tatizo la gesi tumboni
3...
Serikali ya Uingereza imesema kuwa dawa ya Dexamethasone itakayoanza kutumika mara moja kwa wagonjwa wa COVID 19 nchini humo ina uwezo wa kuokoa maisha ya waliopata maambukizi ya virusi hivyo...
Wasalaam,
Awali ya yote ni vizuri tukafahamu kuwa baadhi ya maneno yametumika kwa lugha ya kigeni ili kutoathiri muktadha .
“procedure” hii ambayo kitaalamu inaitwa GASTRIC BYPASS SURGERY hii...
Habri zenu wana JF,
Ningependa kwa yeyote mwenye ujuzi wa hili anipe ushauri... miaka 6 iliyopita nilikuwa nacheza mchezo wa karate, katika hali ya kurusha ngumi nikasikia mshutuko katika mfupa...
Anga la Tanzania limefunguliwa takribani wiki 2 zilizopita na nchi kuruhusu Watalii kuingia nchini.
Utaratibu wa watalii kuingia nchini utahusisha upimaji wa joto wakiwa Uwanja wa Ndege na kisha...
Wakuu
Wiki mbili zilizopita nilikuwa na homa, kikohozi kikavu pamoja na mafua mfululizo. Nilitumia dawa za chenga na panadol ikiwa ni pamoja na kujifukiza huku nikinywa maji yenye tangawizi...
Inashauriwa kulala masaa 6-8 kwa siku. Lakini itakuaje kama ukiacha kusinzia kabisa?
Kwa kawaida binadamu hutumia theluthi moja (⅓) ya maisha yake akisinzia. Hii ina maana mtu aliyeishia miaka...
Habarini wanajamvi,
naombeni niende kwenye Mada kama inavyoeleza hapo juu. Nimekuwa nawaza nianzishe duka la dawa ila naombeni mwongozo wa namna ya kuanza kwa kuona makisio ya mtaji, na...
Habari wana jamiiforum wiki kama mbili zilizopita kuna mwanamke nilifanya nae mapenzi bila kinga baada ya kufanya nae mapenzi after one week kuna mabadiliko kadhaa yamejitokeza na ninahisi...
Ugonjwa wa COVID-19 ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na Virusi vya Corona vilivyogunduliwa Mwaka 2019. Virusi vinavyosababisha COVID19 husambazwa haswa kupitia vitone vinavyotokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.