Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Za Usiku Viongozi? Leo nilienda Kituo cha Afya jirani na Getoni kwangu kumpeleka Mtu wangu wa karibu, lakini baada ya kufanyiwa vipimo akagundulika ana ujauzito wa Wiki nane. Hatimae amepewa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
KUKOSA CHOO WAKATI WA UJAUZITO. Kukosa choo ni moja ya matatizo ambayo yamekuwa yakiwasumbua wajawazito wengi hususani katika miezi ya awali ya ujauzito na miezi ya mwisho ya ujauzito ,kukosa...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Wadau naomba msaada nina mtoto wangu wa kike wa miaka 7, alipofikisha umri wa miaka 5 alianza tatizo a kutoka vipele mwili hasa miguuni na kiasi kwenye vidole vya mikono. Nilimpeleka TMJ hospitala...
0 Reactions
61 Replies
29K Views
Habari wanajamvi Nimekwenda hosipitali ya CCBRT leo hii kwa ajili ya kupima miwani mala baada ya miwani yangu kuvunjika nikiwa nashuka kwenye darada Nilichokikuta pale ni huduma ziko well...
0 Reactions
51 Replies
26K Views
Wadau habari za leo? Naamini muu wazima, na wale wenye changamoto ya Afya nawaombea kwa mwenyezi Mungu AENDELEE kutupigania. Naandika uzi huu kuomba msaada kwa wataalamu mlio humu. Juzi usiku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu Nina changamoto ya miguu yangu kuuma sana Pale nnapokua nimeining'iniza muda mrefu bila kugusa chini. Au nikivaa viatu vyepesi nikapita eneo lenye mawe hiyo hali itajitokeza. Je...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman wakuu naomba kufahamu ni Tatzo gani ambalo linaandama mwili wangu, Mda mfupi uliopita nilikuwa sjui maana ya njaa yaani nilikuwa sihisi njaa kirahisi nilikuwa nina uwezo wa kushinda siku...
1 Reactions
7 Replies
10K Views
Nimefanya mapenz leo mpira ukapasuka nina hofu asije pata ujauzito bado hatujajipanga naomba kujua nifanyeje kuzuia hiki kitu
1 Reactions
36 Replies
69K Views
Habari za wakati wakuu, ~ Tatizo la uhanithi ni moja ya mambo mabaya kabisa miongoni mwa maradhi yanayomkabili mwanadamu. ~Tatizo hili humpelekea mtoto/mwanaume kutokupata hisia ya kujamiina au...
3 Reactions
48 Replies
8K Views
Habari madaktari wa JF? Naomba msaada wenu, nina mtoto wa kiume ana miezi 7 sasa, tatizo tangu amezaliwa anashtuka sana na mara kwa mara, yaani mshtuko wa mtu anayeogopa kitu ukidondosha hata...
0 Reactions
15 Replies
61K Views
Habari, Juzi nilienda gym na nikapiga chuma Sana kwa kiasi fulani, lakin Jana na Leo nimeshindwa kwenda kutokana na maumivu ya mikono sehemu ya gimbi na Kwenye viungio,Na mkono wa kushoto ni kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania imeendelea kuboresha huduma zake katika sekta ya afya nchini baada ya Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo jijini Dar es Salaam jana kuzindua huduma ya kusafi sha fi go ambayo itakuwa inalipiwa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa akili hataki kunywa dawa ila chakula anakula naweza kumwekea dawa gani kwenye chakula ya usingizi maana usiku anasumbua sana na hospital waliwapa vidonge na yeye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za majukumu wana JF mimi nina mtoto wa kiume mwenye mwaka na miezi minne sasa lakini siku za hivi karibuni nimegundua kuwa katika korodani zake iliyoshuka ni moja yaani namaanisha ukimshika...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natumai hamjambo wakuu, Wakuu naombeni usaidizi wenu katika hili, je kumzaa mtoto akiwa mlemavu wa ngozi, macho, kiziwi, bubu, kilema or hata sura mbaya inatokana na sababu za kibailojia or...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni mnywaji mzuri sana wa soda ya pepsi, wasi wasi wangu ni kwamba unapoiweka kweny fridge huwa inashika kutu kwenye vifuniko. je hii kutu haina madhara kiafya? if yes mamlaka husika zipo wp?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tafadhali naomba mnisaidie, Visigino vyangu vinauma na nikinyanyua unyayo kwenye kisigino pana vuta kwenda chini kama pamefungwa kajiwe kadogo. Naomba msaada wenu wa kitabibu.
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Mara nyingi mtu anapokuwa au anapopatwa na hasira lazima chanzo kitakuwa mtu mwingine au jambo Fulani au tukio Fulani. Sababu za hasira hazipo nje ya hapo na kama kuna hasira nje ya hapa basi hizo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
How does crying work? You are so much emotional, yet you feel so much better right after crying!! It’s amazing how emotions (sadness, happiness, anger, joy, relief, and confusion) are...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom