Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
  • Closed
Habari za leo! Mimi ni Mwanaume. (angalizo!) Katika kipindi cha wiki tatu za karibuni nimekuwa nikisikia maumivu usawa wa kitovu upande wa kulia. Maumivu hayo yanaongezeka zaidi nikitembea au...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
  • Closed
Habari. Katika wiki tatu zilizopita nimekuwa nikihisi sauti ya "kaaa" sauti mfano wa mvunjiko wa mfupa shingoni upande wa kulia. Hulia kila ninapotoa pumzi nje hususani kwa nguvu ingawaje hata...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwanaume hutakiwi kucheza mbali na hizi mbogamboga kama unahitaji kuwa na risasi za kutosha kwa ajili ya bunduki yako. Je, nini kifanyike kuwa na sperms za kutosha? Fanya mazoezi mara kwa mara...
10 Reactions
15 Replies
29K Views
  • Closed
Hello Guys, My mother is dying of Cancer. We tried everything we possibly could, but today we have been told by the Doctors that she will likely die within two/three days. It feels like a...
45 Reactions
415 Replies
41K Views
Kama nilivotangulia kuuliza, mtoto akiwa anazaliwa na akanywa maji ya uzazi atapatwa na madhara gani? Nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
8K Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu, Mimi ni mama kijacho miezi mitatu na nusu. Jioni hi nimepatwa na shida ya mafua. Pua zimeziba kabisa napumulia mdomoni. Je, naweza kunywa dawa ipi ya mafua?
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Habarini sana jamvi!! Nilikua naomba ushauri kuhusu afya yangu week kama moja ilo pita nimeugua malaria,typhoid,minyoo,brucella na nilikua nimemaliza dozi ya ghono. Nimetumia Madawa nikaribu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Unapozungumza na madaktari wa chumba cha wagonjwa mahututi nchini Uingereza na mataifa mengine duniani ambao wamekuwa wakikabiliana na athari mbaya za Covid-19 kwa wiki kadhaa, maneno...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salam wapendwa, nina hii tabia ya kuwa na hasira za karibu (short tempered), na nikichukia huwa sipati subra ya kukaa kimya yaani naropoka maneno makali mno, mpaka kuna muda siamini kama ni mimi...
11 Reactions
147 Replies
9K Views
  • Closed
Wakati dunia ikiendelea kupambana kudhibiti mlipuko wa CoronaVirus, Tanzania imetangaza kuendelea kwa shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii. Hii inapelekea Watanzania kulazimika kutafta namna...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu. Niende moja kwa moja kwenye mada Mimi ni kijana Wa miaka 29 nina tatizo LA kuwashwa kwa ndani ya uume hasa ninapokojoa huku uume ukiwa umesimama baada ya kumaliza kukojoa Mara...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba msaada wa matibabu kwa mtoto anayesumbuliwa na kifua ambacho inasemekana kimesababishwa na kunywa maji machafu wakati anazaliwa, kwa sasa anaumri wa mwaka mmoja na miez 6 ameanza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mmadokta, huo mmea unaitwaje?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nipeni msaada, nini tatizo langu nikinywa maji vuguvugu ndo tatizo Hilo linaanza ila nikinywa maji ya kawaida Mambo yanaenda sawa tu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
COLD WATER - CAUTION Please be a true friend and send this article to all your friends you care about. For those who like to drink cold water, this article is applicable to you. It is nice to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi Huu ni ugonjwa wa muda mfupi lakini ni hatari mno! Usiombe ukukute upo mbali na nyumbani au uwe safarini ndani ya public transport aisee utaomba ardhi ipasuke utumbukie humo! Ni...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu zangu naombeni msaada nasumbuliwa na jino la kuota ambalo ni la 34 yapata week ya 2 nakosa kila inapofika usiku nakosa pozi la kulala.
0 Reactions
5 Replies
13K Views
wakuu, hapa JF Dr kunana uzi huu: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/210330-tonses.html Dr Nguruvi3 alikuwa amemjinu mtoa mada kama nilivyoquote hapo chini: Ni uvimbe katika Tonsils za...
0 Reactions
7 Replies
24K Views
Kuna Rafiki yangu amegombana hadi kafikia kumpa talaka mkewe kisa tu ana maambukizi ya VVU. Ilivokuwa: Rafiki yangu ananisimulia kuwa mke wake wakati ana Mimba aligundulika ana VVU mimba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kinga ya mwili ni ile hali ya mwili kuwa na uwezo wa kujikinga wenyewe dhidi ya maradhi mbalimbali. Mtu anapokuwa na kinga imara za mwili, huepuka kuugua mara kwa mara na kwa kifupi unaweza...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom