Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Jamani naomba ushauri wenu pua yangu kama imeziba hivi inatoa pumzi kwa kupishana muda huu inatoa tundu hili na muda huu inatoka tundu hili nimeenda hosptali sina vinyama nimepewa nasal spray...
0 Reactions
4 Replies
876 Views
Lengo haswa ningependa kushare kama kuna ambaye ana ufahamu au baadhi ya vitu ambavyo hunitokea katika mwili wangu tangu utotoni mpaka sasa na pia kama kuna mtu naye humtokea basi ningependa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mkaratusi ni mti wenye harufu nzuri na unapatikana kila sehemu duniani. Mafuta hukamuliwa kutoka kwenye majani yake na kuweza kutumika kama tiba Hutuliza kikohozi. Hii ni kwa kujichua kwa mafuta...
4 Reactions
0 Replies
13K Views
Heshima wakuu, naomba kupata uzoefu kuhusu matibabu ya wakorea hapa nchini. Nilikwenda kutibiwa nikaambiwa nina tezi dume (of course dalili wanazozisema zote ninazo). Wakasema nianze matibabu ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu habari za mida hii? Naomba kujua mdudu wa jino anatolewaje maana me mimi naona ndio ameanza. Ninapata maumivu sana.
1 Reactions
30 Replies
11K Views
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbalimbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maambukizi ya UKIMWI. wengi tunajua ni...
28 Reactions
121 Replies
34K Views
Msaada tutani, Hivi inawezekana kweli mtu atoe mbegu za kiume na zisionyeshe chochote kile? I mean Zero sperms! If is true why?
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Drs habarini, ninaomba kufahamishwa Hali halisi ya dada mlemavu anaeandika script kwa ulimi, Je Ile ni stroke ya aina gani, maana inasemekana kila kitu hakifanyi kazi chini ya Shingo, ni kichwa...
1 Reactions
74 Replies
11K Views
Habari wanajakwaa, naamini Mungu wetu yuko pamoja nasi jumapili inaenda vyema. Nijikite kwa kile kilichonisukumua kuandika hapa, Mimi ni kijana chini ya miaka 27 tatizo nililonalo kwa sasa sijui...
6 Reactions
56 Replies
7K Views
Hospital gani inatoa matibabu ya mtoto wa jicho kwa kutumia LASER Cataract Surgery ndani ya Tanzania. Msaada wenu wana jamii
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau tangu mwaka huu umeanza nimeanza kuexiperience hali hii ya kukata moto mara tu ninapofika kileleni wakati wa tendo. Hali hii imenishtua sana kiasi kwamba ninaogopa na ninaona aibu hata...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Na Festo Donald Ngadaya Twitter, Instagram and Facebook @FestoNgadaya Mwezi wa kwanza mwaka huu shirika la afya la dunia (WHO) lilitanganza covid-19 kama janga la kidunia (global pandemic). Toka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu doctors, naomba kuelimishwa juu ya hili tafadhali:- Binafsi Nina mzunguko wa siku 27 wa hedhi, ninautumia kujua siku zangu za hatari na salama. Lakini mwezi huu ilitokea nikafanya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
wakuu habari zenu. Mimi ni mhanga wa watu walioteseka mda mrefu sana na tatizo la tumbo kuuma, kujaa gesi, kukosa choo na the like, kwa ujumla na ufupi wake constipation. Nimeteseka sana kwa...
2 Reactions
16 Replies
29K Views
Mimi ni kijana mdogo tu 20s naishi mpanda nimepata tatizo. la fungus sugu mdomoni zinazo sababisha ngozi ya lips kukauka na kubanduka kwa takribani miaka 5 sasa nikienda kwa madaktari wanasema...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu poleni na mihangaiko. Me niliumwaga ulcers yaani Niko kwenye dozi za hospitali Ila hali haijatengamaa. Naomba kuuliza kwa mtu mwenye ulcers anaruhusiwa kula nyama na samaki? Vipi kuusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani ndugu watalaam mke wangu anasumbuliwa na mishipa ya mwili inapelekea mwili unavimba bila sababu, miguu inamuuma, vidole vinavimba. Naombeni kujua namna ya kutibu huu ugonjwa ameshatumia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada kwa anayejua dawa ya kupunguza uzalishwaji wa kiasi kikubwa cha nyingi na kupelekea mdomo kuwa na radha ya uchungu muda wote na viungo vya mwili kuuma. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Awali ya yote Leo nimekuja kuwaletea mrejesho kuhusu afya yangu Wiki iliyopita niliwaeleza wadau kuhusu tatizo langu la kiafya linalohusu mim kuwa na tatizo la kuamka asubuh mdomo unakuwa mchungu...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom