Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wapendwa, Napenda leo tuzungumzie hili zao aina ya bangi ambalo kwa kiasi kikubwa limekuwa likioteshwa kwa siri maporini huko. Bangi inakemikali hatari mno inayofahamika kwa jina la THC...
15 Reactions
186 Replies
10K Views
Nilipata muwasho mkali sana mwilini nikapewa tubes za kupaka, cetrizine na predisolone ila bado hali haikubadilika. Nikaenda nika pata vipimo vya full blood picture na uric acid. Bloodpicture...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Mtaakam bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano...
1 Reactions
1 Replies
219 Views
Kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu bila nafuu, Nina tiba ya asili itakuponesha ndani ya mwezi mmoja tu, kama ulikuwa Hulu baadhi ya vyakula utakula Kila kitu na mabadiliko...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Madaktari wa binadamu na watalaamu wote wa afya kwa ujumla mlioko humu ndani,naombeni ushauri wa tatizo langu linalo nisumbua kijana wenu. Miezi ya mwanzoni ya mwaka huu 2024 majipu yalitokea...
0 Reactions
9 Replies
301 Views
Habari zenu wapendwa naombeni msaada nina tatizo kimeo kimerefuka sana mpaka kinagusa ulimi wakati mwingine naskia kinaninyoka kooni sasa sielewi nifanyaje maana wako wanaoniambia nikakate wengine...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Kuna huu ugonjwa sasa hivi unakuwa common hapa Arusha, I know like 4 to 5 friends ambao watoto wao wamesumbuliwa na hizi nyama za pua na ikabidi wafanyiwe operation hapa SELIAN HOSPITAL. Dalili za...
1 Reactions
26 Replies
78K Views
Habari wakuu Narudi kwenu kuwa mrejesho. tuko Hindu Mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikuwa na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa, alikuwa tupewe ruhusa Leo. Usiku alianza...
8 Reactions
60 Replies
2K Views
Waheshimiwa habari zenu. Shoga angu amenipigia simu tena, kijana wao (age 25) bado anawumbuliwa na ganzi kwenye mikono, na sasa ni too much, tusaidieni kwa anaejua dawa au awevanakula nini...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu, nimekuwa tofauti kidogo pengine ni kawaida kwa kila mtu kupata kikohozi kidogo, hii ilianza yapata miaka mitatu iliyopita sasa nikaona nije humu mnisaidie. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
174 Views
Habari njema kwa wapenzi wa kahawa. Utafiti unaonyesha kwamba kunywa vikombe kadhaa vya kahawa yako pendwa kila siku kunaweza punguza hatari ya saratani ya tezi dume. Utafiti wa hivi karibuni...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Assallam walykum, bwana Yesu asifiwe the main point of writting this thread is to seek advice i have many personal inner battles i have been fighting, im 29yrs now ive been masterbating since i...
1 Reactions
12 Replies
751 Views
Ndugu zangu naitwa John Venas nasumbuliwa na maumivu ya muda mrefu ya UPANDE mmoja wa KIFUA na mbavu nilifanya Vipimo vya Exray bila matokeo yoyote lakini Sasa tatizo linasogea na linahamia na...
0 Reactions
7 Replies
867 Views
Mmeng'enyo wa chakula ni mchakato muhimu kwa afya zetu, lakini wengi wanakutana na changamoto kama kuvimbiwa, gesi, na maumivu ya tumbo. Tatizo linaweza kusababishwa na lishe duni, kutokunywa maji...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Habari zenu wakuu, Nina imani kila moja anaendelea na maisha yake vizuri. Nina tatizo la kutosikia hamu ya kula na kukinai vyakula mapema. Sometimes naweza hata kuvukisha siku bila kula na njaa...
1 Reactions
95 Replies
39K Views
Je, hali ya mwili kukosa nguvu inaweza kulinganishwa na namna akili na kompyuta zetu zinavyofanya kazi? Ubongo na kompyuta vyote vimeundwa na mizunguko isiyoelezeka kiurahisi. Vyote viwili...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Ndugu habarini. Kama kichwa cha uzi kilivyo, nimekumbwa na tatizo hili la kuwa na vipele vingi eneo la kifuani na mgongoni kwenye eneo la mabega kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa. Hivi vipele...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
SARATANI ya utumbo mpana ni matokeo ya viotea au uvimbe ambao awali mtu huishi nao kama viotea vya kawaida na hatimaye hubadilika baada ya kukumbana na visababishi hatarishi. Daktari Bingwa wa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
BAADHI YA MASWALIYALIYOULIZWA KUHUSU JAMBO HILI Wadau jamani mimi najiona nimekonda nataka kunenepa kiasi flani hivi embu naombeni ushauri wenu'' --- Habarini JF Doctors! Husika na kichwa cha...
2 Reactions
958 Replies
292K Views
Nasikia hali mbili Moja kama kichwa cha uzi huu kinavyoeleza. Badiri mwilini na viungo kuuma japo ni kama hali ya homa Pili, ngozi ya mwili sehem yamiraba miwili ya mgongo inauma plus ngozi ya...
1 Reactions
22 Replies
572 Views
Back
Top Bottom