Habari wapendwa,
Napenda leo tuzungumzie hili zao aina ya bangi ambalo kwa kiasi kikubwa limekuwa likioteshwa kwa siri maporini huko.
Bangi inakemikali hatari mno inayofahamika kwa jina la THC...
Nilipata muwasho mkali sana mwilini nikapewa tubes za kupaka, cetrizine na predisolone ila bado hali haikubadilika.
Nikaenda nika pata vipimo vya full blood picture na uric acid. Bloodpicture...
Mtaakam bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano...
Kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu bila nafuu, Nina tiba ya asili itakuponesha ndani ya mwezi mmoja tu, kama ulikuwa Hulu baadhi ya vyakula utakula Kila kitu na mabadiliko...
Madaktari wa binadamu na watalaamu wote wa afya kwa ujumla mlioko humu ndani,naombeni ushauri wa tatizo langu linalo nisumbua kijana wenu.
Miezi ya mwanzoni ya mwaka huu 2024 majipu yalitokea...
Habari zenu wapendwa naombeni msaada nina tatizo kimeo kimerefuka sana mpaka kinagusa ulimi wakati mwingine naskia kinaninyoka kooni sasa sielewi nifanyaje maana wako wanaoniambia nikakate wengine...
Kuna huu ugonjwa sasa hivi unakuwa common hapa Arusha, I know like 4 to 5 friends ambao watoto wao wamesumbuliwa na hizi nyama za pua na ikabidi wafanyiwe operation hapa SELIAN HOSPITAL. Dalili za...
Habari wakuu
Narudi kwenu kuwa mrejesho. tuko Hindu Mandali siku ya 5 Sasa Hali ya mgonjwa wangu alikuwa na nafuu lakini Hali imebadilika gafla kazidiwa, alikuwa tupewe ruhusa Leo. Usiku alianza...
Waheshimiwa habari zenu.
Shoga angu amenipigia simu tena, kijana wao (age 25) bado anawumbuliwa na ganzi kwenye mikono, na sasa ni too much, tusaidieni kwa anaejua dawa au awevanakula nini...
Habari zenu, nimekuwa tofauti kidogo pengine ni kawaida kwa kila mtu kupata kikohozi kidogo, hii ilianza yapata miaka mitatu iliyopita sasa nikaona nije humu mnisaidie.
Asanteni
Habari njema kwa wapenzi wa kahawa. Utafiti unaonyesha kwamba kunywa vikombe kadhaa vya kahawa yako pendwa kila siku kunaweza punguza hatari ya saratani ya tezi dume.
Utafiti wa hivi karibuni...
Assallam walykum, bwana Yesu asifiwe the main point of writting this thread is to seek advice i have many personal inner battles i have been fighting, im 29yrs now ive been masterbating since i...
Ndugu zangu naitwa John Venas nasumbuliwa na maumivu ya muda mrefu ya UPANDE mmoja wa KIFUA na mbavu nilifanya
Vipimo vya Exray bila matokeo yoyote lakini Sasa tatizo linasogea na linahamia na...
Mmeng'enyo wa chakula ni mchakato muhimu kwa afya zetu, lakini wengi wanakutana na changamoto kama kuvimbiwa, gesi, na maumivu ya tumbo. Tatizo linaweza kusababishwa na lishe duni, kutokunywa maji...
Habari zenu wakuu,
Nina imani kila moja anaendelea na maisha yake vizuri.
Nina tatizo la kutosikia hamu ya kula na kukinai vyakula mapema. Sometimes naweza hata kuvukisha siku bila kula na njaa...
Je, hali ya mwili kukosa nguvu inaweza kulinganishwa na namna akili na kompyuta zetu zinavyofanya kazi? Ubongo na kompyuta vyote vimeundwa na mizunguko isiyoelezeka kiurahisi.
Vyote viwili...
Ndugu habarini.
Kama kichwa cha uzi kilivyo, nimekumbwa na tatizo hili la kuwa na vipele vingi eneo la kifuani na mgongoni kwenye eneo la mabega kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa. Hivi vipele...
SARATANI ya utumbo mpana ni matokeo ya viotea au uvimbe ambao awali mtu huishi nao kama viotea vya kawaida na hatimaye hubadilika baada ya kukumbana na visababishi hatarishi.
Daktari Bingwa wa...
BAADHI YA MASWALIYALIYOULIZWA KUHUSU JAMBO HILI
Wadau jamani mimi najiona nimekonda nataka kunenepa kiasi flani hivi embu naombeni ushauri wenu''
---
Habarini JF Doctors!
Husika na kichwa cha...
Nasikia hali mbili
Moja kama kichwa cha uzi huu kinavyoeleza.
Badiri mwilini na viungo kuuma japo ni kama hali ya homa
Pili, ngozi ya mwili sehem yamiraba miwili ya mgongo inauma plus ngozi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.