Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Watoto huzaliwa wakiwa na uwezo wa kunyonya bila kufundishwa (sucking reflex). Kitendo hiki ni muhimu sana kwasababu ndiyo njia pekee ya kumpatia chakula mtoto mdogo. Sayansi imeonesha kwamba...
1 Reactions
5 Replies
299 Views
Vipimo vinavyotumika mara nyingi sana kupima HIV/VVU ni aina ya HIV antibody tests, changamoto ya vipimo hivi ni kuwa kinahitaji mtu awe amepata maambukizi angalau miezi mitatu nyuma kabla ya...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Manyonyo kwa wanaume hasa watu wazima wengi na baadhi ya vijana huchangiwa na nini? Kwa namna gani mwanaume unaweza kuondokana na manyonyo?
1 Reactions
2 Replies
251 Views
Picha kwa hisani ya Google Kuota matiti kwa mwanaume (Gynecomastia) ni kuongezeka ukubwa/ujazo wa matiti kwa mwanaume. Hutokana mabadiliko ya viwango vya homoni za kiume (Testosterone) na homoni...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
3 Reactions
34 Replies
865 Views
Habari Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa Sikumbuki...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari, Kwa Sasa napitia wakati mgumu nina matatizo binafsi nahitaji msaada wa kisaikolojia nitamlipa. Nipo kKgamboni naomba mnisaidie Pm kuko wazi. Msinijibu ovyo mtaendelea kuniumiza
4 Reactions
28 Replies
711 Views
Nikitembea tu kidogo jasho kibao hata kama kuna baridi vipi. Mfano kukiwa na baridi yani ile baridi haswa naweza nikatembea fresh tu ila nikifika tu sehem nilipokua naelekea labda dukani au sehemu...
2 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari wana jamii Nasumbuliwa na tatizo la fangusi kwenye korodani na nilipata baada ya kukutana na mwanamke mwenye tatizo hilo apo ndipo nilipoaanza kuwasha mikono na mapajani sasa hivi...
0 Reactions
2 Replies
429 Views
Habari zenu wana JF, samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kuwa mficha uchi hazai. Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus...
6 Reactions
696 Replies
253K Views
Kuna dogo hapa ni mkurya wa kwanza kutokula nyama ya ng'ombe (haha natania lakini) Sasa dogo alikuwa anakula nyama ya ng'ombe alipokuwa mtoto mdogo hadi pale siku moja alikuta ng'ombe alikuwa...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Wakuu hivi madoa (yanakuwa na rangi nyeusi) kwenye meno yanasababishwa na nini na ipi tiba(dawa yake) sahihi Maana ukisugua na mswaki hayatoki
2 Reactions
5 Replies
372 Views
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume. Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa...
33 Reactions
260 Replies
22K Views
Habari zenu wakuu? Mie nimekuwa nikiwaza uhusiano uliopo kati ya kunywa maziwa na kupunguza vumbi ulilovuta,utasikia ukifanya kazi ktk eneo lenye vumbi kunywa maziwa. Please wadau i need to know...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Siku moja nyuma nilikosa maji Fresh kwaajili ya kunywa, kutokana na hali ya Dar es laam upatkanaji wa maji ya chumvi ni mkubwa sana ikanibd niyatumie kama sehemu ya maji ya kunywa kitendo ambacho...
2 Reactions
6 Replies
505 Views
Kuna vipimo vya kimaabara vya kubaini hayo? Vinapatikana kwenye hospitali zipi, kubwa tu au hata vituo vya afya? Mara nyingi watu wamesisitizwa kula matunda na mboga za majanikwa wingi kwa kuwa...
2 Reactions
14 Replies
522 Views
Habari za saa hizi wadau wa JF? Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu. Ni kwamba mke wangu anasumbuliwa sana na kichwa kuuma kwa miaka zaidi ya 15 sasa mwanzo walikuwa wanasema ni ugonjwa...
0 Reactions
9 Replies
451 Views
Ikitokea sijafanya mazoezi (mfano ya jogging) angalau mara mbili kwa wiki, mwili huniwasha unapokumbwa na mtikisiko. Mfano: kama sijafanya mazoezi angalau mara mbili kwa wiki, siku nkifanya...
1 Reactions
6 Replies
550 Views
Picha kwa hisani ya Google. Madoa meusi kwenye meno ni hali ya upotevu au kutokuwepo kwa weupe wa kawaida wa meno, hivyo meno kuwa meusi au hata kahawia. Madoa meusi kwenye meno husababishwa na...
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Kuna kitu kimejificha kwenye hili kati ya Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM (Maduka ya Dawa Muhimu), Kwa nini mpaka leo dawa za antibiotics zinauzwa tu kwenye DLDM licha ya katazo? Wenye...
1 Reactions
3 Replies
446 Views
Back
Top Bottom