Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kisonono (gonorrhea) ni nini? Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu...
6 Reactions
107 Replies
264K Views
Wapendwa Nina tatizo la maskio kuunguruma kwa muda mrefu. Msaada wa mtu anaejua matibabu
0 Reactions
9 Replies
496 Views
Tafadhali mjulishe mkeo kuhusiana na hili, , Hii ni tahdhari muhimu kutoka wataalamu wa afya [ LUTH ] kwa wanawake wote wawe watoto wachanga, wasichana, mabinti, wanawake, akina mama; saratani ya...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Mwenye ufahamu wa dawa ya mitishimba kama tiba ya maumivu chini ya mgongo.
1 Reactions
21 Replies
320 Views
Ndugu zangu, Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3. Sasa, maumivu haya huwa...
1 Reactions
24 Replies
924 Views
Habari za usiku huu, Nina jino upende wajuu kushoto limetoboka lina miaka 5 sasa lakini haliumi mpaka ukilitumia kutafunia ndio linaleta maumivu ya muda baadae kidogo yanaacha ni nikaamua kuwa...
1 Reactions
2 Replies
321 Views
QISTI Faida za Qisti huwezi kuzizungumzia kwa mara moja zikajulikana na kueleweka zote kwa mara moja, qisti ina faida nyingi sana ambazo ukikaa na kuzisoma utatamani uipate sasa hivi na kuanza...
2 Reactions
28 Replies
11K Views
Wanajukwaa mambo.Leo tupeane mawazo kidogo kuhusu hili swala ambalo limekuwa likileta sintofahamu,migogoro na hata kuvunjika kwa ndoa/mahusiano.Hii imeeathiri wengi hata jirani yangu yalimkutaga...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
The Three Power Laws of Health: Sleep, Exercise, and Diet The journey to enhanced well-being doesn't need to be overwhelming. By focusing on three core pillars—sleep, exercise, and diet—you can...
2 Reactions
2 Replies
293 Views
UGONJWA wa maumivu ya viungo huitwa kwa jina lingine yabisikavu. Jina la Kingereza la ugonjwa huo, ‘arthritis, linatokana na maneno ya Kigiriki yanayomaanisha viungo vilivyovimba. Mbali na...
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Kwa muda mrefu sasa nimejalibu kunywa maji mengi kiasi Cha Lita 3 kwa siku ili kupata matokeo mazuri lakini mkojo Bado mi wa orange,mkojo utakua mweupe kwa siku hiyo japo sio sana lakini kesho...
1 Reactions
11 Replies
959 Views
Epuka kutumia mitishamba yenye athari kali bila ushauri wa kitaalamu. Tumia kwa kiwango kilichopendekezwa, kwani matumizi kupita kiasi yanaweza kusababisha madhara mengine. Hakikisha kupata...
0 Reactions
0 Replies
238 Views
Hivi maji ya kupimia Ukimwi Kama yameandikwa expired 26/4/2024 ukatumia kupima mwezi huu 11 kipimo kikasoma negative kitakuwa kipo sahihi Mara ya mwisho kucheck health status ni mwezi wa 4 mwaka...
0 Reactions
16 Replies
411 Views
Ukiwa unaumwa jaribu kuwa unatunza kumbukumbu zako . Na unaangalia aina gani ya Dawa huwa unatumia , mazoezi n.k . Binafsi huwa naumwa Sana kichwa . Dawa ambayo huwa natumia nakunywa Tangawizi...
1 Reactions
0 Replies
179 Views
Wadau, heri ya mwezi mpya huu, nina swali ambalo linahitaji msaada wenu. Kwa nini kuna baadhi ya watu midomo inatoa harufu mbaya!? Hata Kama akipiga mswaki baada ya muda harufu hiyo hurudi...
1 Reactions
45 Replies
10K Views
Wakuu habari zenu! Nimechoka sana; nimekuwa nikiugua homa na kikohozi tangu Alhamisi, hivyo sikuweza kupita kwenye vijiwe vyangu. Leo na jana nimepata simu nyingi kuulizia kama nitafika kazini...
1 Reactions
4 Replies
368 Views
Pia kuna watu wananishauri eti niwatahiri kienyeji kwamba ndio watakaa vizuri zaidi but it doesn't make sense with me. Mimi nilitahiriwa Muhimbili mwaka 1989 nikiwa nna miaka minne. Watoto wangu...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Kikubwa hapa nataka kujua hasa Kitaalamu je, kuna ama Dawa yoyote ile ya Hospitalini au ya Kiutamaduni (Mitishamba) au Mafunzo yoyote yale Mtu anaweza Kutumia au Kuyatumia ili ayatumie na yaweze...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Ndugu poleni na mjukumu ya kutwa nzima. Wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote. Mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini...
11 Reactions
83 Replies
11K Views
Uume wangu huwa unapinda nikisimamisha yaan unakuwa kama unakata kata kona je hata style zingine kwenye mechi nashindwa kufanya je ni tatizo na kama ni tatizo msaada kwa watu wanaofahamu hii...
12 Reactions
134 Replies
5K Views
Back
Top Bottom