Wakuu natumaini wazima wa afya. Acha niende kwenye mada moja kwa moja
Iko hivi ninasumbuliwa na maumivu makali sana ya miguu (nitaweka na picha ya mfano ili muone sehemu inayo nisumbua hasa)...
Wasalaam wakuu,
To the topic
Over the recent 3 / 4 years nimekua concerned sana na afya yangu (weight loss / lishe bora) kuepukana na maradhi ya kujitakia (lifestyle) kwani afya bora ndio kila...
Yapata mwaka mzima toka nipate ajali ya mguu iliyosabibishwa na gari .Naombeni ushauri nitumie dawa gani ili mguu wangu upone maana hadi saivi baso kidonda ni kibichi.
Nilimlazimisha mzazi kwenda shuleni ada anatoa vizuri ila ya matumizi changamoto. Naweza nikala siku moja kwa siku siku utakuta sina mkaa napikia makaratasi mpaka chai ichemke ninywe au kuchana...
Habari waheshimiwa, nahitaji kujua utaratibu wa kuanza Kliniki kwa Hospitali ya Muhimbili hasa kwa upande wa gharama kama zipo ili niende nikiwa nimejiandaa.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent...
Wana jamvi naomba kusaidiwa namna nanivyoweza kufananisha tarehee yangu ya kuzaliwa na mtoto ninaetamani kumpta.
Kama nimezaliwa tarehee 1-1- Basi na mwanagu azaliwe same na baba au Mama..
Asante...
Hamjambo mwa jf Mimi imeto kea kusumbuliea na kichwa mwezi was tatu sasa hasa has a sahemu ya utosini na moshipa ya damu huvimba na kuvita.hujisikia wakat mwenginr uchovu kizunguzungu na mafua...
Habar zenu, km mada inavyosema mm mama k week 28, nimeenda kuchek ultrasound kwa ajl ya kujua mimba ina miez mingap exactly kwan nilikuwa nachanganya tarehe ya mwisho Wa mzunguko, cha ajab...
Baada ya kupima na kuonekana kuwa nina malaria Daktari aliniandikia dawa aina ya MSETO. Siku ya pili baada ya kuanza kutumia dawa hizi nimepatwa na hali ya kuharisha choo cheusi.
Hii hali...
Wadau msaada tafadhali, nimepekua kwenye mkoba wa wife bila yeye kujua nimekutana na dawa inayoitwa Cefixime. Je hii inatibu ugonjwa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za usiku huu wakubwa,
Bila shaka humu tunao madaktari wetu wazuri tu. Sasa ni hivi, Nina tatizo la kupata maumivu upande wa kulia mwa tumbo chini ya kitovu.
Au kwa maelezo mengine ni...
Jaman msaada tafadhali nilitoka na mschana wa babashop
Kesho yake nikahisi kama kunavitu mwilini baaada ya Siku tatu nikawa nasikia maumivu kama kunasindano mwilini, hali imeenda kuwa mbaya...
Trending news kwa sasa hivi Dunia nzima ni Corona yenye chimbuko lake huko China Jimboni Wuhan, tangu December mwaka jana.
Tangu kipindi hiki Wachina wamekuwa wakitembelea maeneo mengi ya Afrika...
Habari mtaalamu,
Mimi ninatatizo moja hivi yani nikipulizwa na upepo mkali kama feni au bodaboda au nikilala usiku baridi liwe Kali nakohoa sana ila nikizima feni au nikijifunika blanketi natulia...
Hello wanabodi!
Nimeona nianzishe uzi wa kuhamasisha wanaJF kufika vituo vya afya kwa ajili ya kupata chanjo ya Homa ya Ini ambayo ni hatari kuliko hata baadhi ya maradhi. Ikumbukwe Homa ya Ini...
Wakuu habari za pasaka,naomba msaada wa jinsi ya kufanya mazoezi ya (Kegel )kwa wanaume anayefahamu naomba kujifunza kwake naomba kuwasilisha Gnaiti asante.
Habari wana jamii wenzangu,
Naomba kujua juu ya tetesi hizi ninazozisikia sana mitaani kuwa wale ambao wanakuwa na Group O katika makundi ya damu huwa hawana risk ya kubwa ya kupata magonjwa hasa...
Habarini.
Nimefanya utafiti wangu wa siri na nimegundua kuwa magonjwa yanayoambukiza kwa njia ya kujamiiana al maarufu Sexual Transmitted Diseases (STD's) yameshika hatamu sana.
Nazungumzia UTI...
MADHARA YA ZINAA KISAYANSI.
Wengi katika wanadamu wanajaribu kuhoji kwa
nini Mwenyezi Mungu anakataza zinaa wakati
kuingiliana baina ya mke na mume na kuingiliana
baina ya hawara na hawara mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.