Habari wadau,
Nauliza suluhisho la mtoto anaetokwa na vipele sehem za siri hasa wakat huu wa joto
Je, ni joto
Allergy au athari za wipes?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mojawapo ya dawa hizo ambayo tayari imejaribiwa katika binadamu ni dawa ya remdesivir - dawa ya virusi vya UKIMWI ambayo bado inafanyiwa utafiti ambayo imejaribiwa dhidi ya magonjwa kama vile...
Wakuu nimekuwa nikijiuliza Kama sisi 'watumiaji' wa ARV tunaweza kuathiriwa na maambukizi ya Corona Virus maana naona Kinga Yetu IPO juu Sana..
Nje ya Mada:
Je 'tulionyanyapaliwa' hatutamani...
Mwenza wangu anasumbuliwa na tatizo sugu la homa za mara kwa mara, yaani hamalizi wiki mbili japo siku tatu imemlaza. katika mwezi ni mara 2 au 3.
Hili tatizo limekuwa likinitia wasiwasi. Naomba...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Kutokwa na vidonda mdomoni yaani kwenye lips kwa mwanamke hii ni dalili au ni ugonjwa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
heshima kwenu jaman. nili m PM mzizi mkavu kuhusu tatizo langu la masikio kuunguruma na akasema nmpe maelezo zaid bt sim yangu kila ni m PM inagoma naomba yeye au mtu yeyote...
Wakuu habari za uzima ,natumai hamjambo, mi mwenzenu si mzima wa afya sababu naumwa.
Kama siku tano zimepita kabla ya hili kutokea, hizo siku tano nyuma nilifanya kazi ngumu ambayo ilipelekea...
Hellow wanabodi naomba kujuzwa madhara ya punyeto kwa mda mrefu zaidi ya miaka 8, Na nizipi njia za kusaidia kuacha hiyo tabia?
Na vipi kuna naamna ya kurudisha nguvu za kiume znazopotea kwa...
Headache is a common pain. It can happen at any age and can often be the result of your lifestyle. As pain is your body's way of saying 'HELP', if you can find out the cause of your headaches and...
Naomba msaada wa ushauri wakuu
Nina mwanangu wa kiume amemaliza drs la saba mwaka huu.
Analalamika maumivu ya kichwa upande wa kulia hasa juu kidogo ya jicho lake, ameanza pre form one lakini...
Wadau salaam kwenu,
Naamini sote tunaliona hili la Corona Virus kusambaa nchi nyingi sasa na China wenzetu wanaendelea kuona vifo vikiongezeka, na tayari imetangazwa kuwa ni Janga la Dunia...
Wakuu habari zenu,
Hali hii imenitokea jana usiku,japo kwa dakika lakini ilihatarisha maisha yangu sana.Kuna mdudu mdogo jamii ya Moth alining'ata usiku (single bite) nikiwa nimelala aliingia...
Salute doctors!
Mimi ni kijana wa miaka 22 niko kwenye tasnia ya filamu bongo.
Ndugu zangu, mimi nina tatizo la sauti, imekuwa nzito mno kiasi kwamba kila nikipanda jukwaani nashindwa kucheza...
Habari wakuu naomba kufahamishwa dawa hizi hazina madhara ukiwa umekunywa na masaa machache baadae ukatumia kilevi?
Ni- PIROXICAM CAPSULES Na AXYLIN CAPSULES
Asanten.
Sent using Jamii Forums...
Ni siku kama ya tatu mwanagu wa mwaka mmoja anakohoa kikohozi kikavu na usiku anapata taabu ya kupumua.
Mimi ni mfauatiliaji wa thread ya Coronavirus humu, nimekosa raha kabisa na isitoshe niko...
Habari za humu wanajamii na wakuu wote na madaktari wote mlio humu.
Wakuu naomba kuuliza, wapi wanapatikana madaktari bingwa wa ugonjwa wa Nimonia kwa huko Dar es salaam?
Au hospitali zipi...
Mke wangu amejifungua kwa njia ya operation tar 1 March sasa changamoto iliyopo maziwa hayatoki ushauri atumie nini ili maziwa ayapate.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.