Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari za asubuhi, Samahani naomba niulize kitu, Mimi na mke wangu tumeshindwa kupata mtoto mpaka sasa mke wangu anamzunguko wa siku 35, na pia kwenye huo mzunguko anapata kuona ute ule...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Samahani naomba mnisaidie ushauri kuhusu huyu mwanangu ana 2 years amepatwa na vipele usoni, shingoni masikioni nk. Vingine vikikauka vinatoka vipya tena vingine. Nilimpeleka hospital huku...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama mada inavyosomeka hapo juu nimekuja kwenye jukwaa husika nikiamini humu Kuna Kuna Wajuzi na watalam wa science and technology Kwa pamoja naweza sema tunauwezo wa kukaa na kujadili namna gani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Jf members, Nasumbuliwa na meno yangu yote kufa ganzi kiasi kwamba mara nyingi taya zinachoka kutokana na kuzuia meno yasigusane. Pia juzi niling'oa jino moja baada yukuonekana...
1 Reactions
61 Replies
85K Views
Jamani nimeambukizwa Gonnorehea nilivyoenda kikazi Singida na mwanaume Mmoja hivi amabaye tulikua nae huko kikazi. Naomba Msaada kwa anaye fahamu dawa ambayo itaondoa kabisa huu ugonjwa jamani...
3 Reactions
71 Replies
11K Views
Habari wakuu, Kwa miaka ya karibuni kumekuwa na mlipuko wa magonjwa mbalimbali ambayo katika jamii zetu hayakuzoeleka hivyo yanapotokea huleta shida tangu hatua za kugundua na matibabu yake na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU: Habari wana JF, naomba kuelezwa ni tarehe zipi ndani ya mwezi naweza fanya mapenzi na mke wangu bila kutumia kinga na asipate ujauzito. Natanguliza shukrani kwa...
0 Reactions
494 Replies
941K Views
Habari zenu waungwana, poleni na majukumu ya kila siku. Tatizo langu mimi ni kua nikifanya mapenzi kawaida ua napiga mzigo alafu baada ya muda mzigo unapoteza hisia yani sijiskii kuendelea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza jambo moja la muhimu sana kwangu. Mimi nina mke sasa wakati anajifungua aliongezewa njia mtoto akatoka salama baada ya mda akafariki, sasa saizi ana ujauzito mwingine...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu. huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
An insight to most common emotional problems in our societies DEPRESSION Mental health professionals consider depression serious enough to be treated when negative feelings don’t resolve...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tafadhali tunaomba msaada wa haraka kutoka kwa wataalamu walio humu.. . Mke wangu leo toka asubuhi ameamka na MAUMIVU ya TITI Lote hasa sehemu ya chini ya titi.. . Hali iliyompelekea kupanda...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wakuu! Inakuwaje jino/ meno yangu / yako uyang'olee hospitalini kisha ukatazwe usirudi nalo? Hii ni sheria ya wapi? Na ni kwanini?.
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wajuzi wa mambo ya tiba na ushauri, juu ya magonjwa. Kiafya niko vizuri sana, kwa maana sina ninaposikia maumivu makali, isipokuwa nimepata hitilafu katika msuli wa mguu wa kulia nyuma ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu kwema nombeni msaada kwa anaejua tabia anazokuwa nazo mtoto alie zaliwa katanguliza miguu... Huwa wakikua wanakua na tabia gani kwenye jamii.....asanteni am better here
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habar wanaaa wa jf Tatizo lililopo ni wakati wa Kubarehe kunakuwa na mabadiliko mengi mojawapo kifua kutokwa na vinundu kwenye chuchu na hiloo lilinipata lakini mbaka sasa bado lipo nlikuwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau nimepatwa na tatizo hata sijui nifanyaje nimepoteza hamu ya tendo la ndoa ghafla toka juzi. Akili yangu haiko sawa sijui nini kimenipata asubuh mimi kwa kawaida wakati naamka uume unakuwa...
5 Reactions
15 Replies
4K Views
Mke wangu kaenda hospital kapewa dawa zinaitwa nyoskine butylbromide kila sijajua zinatibu ugonywa gani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Natumaini wazima, Hebu wagonjwa wetu ambao ndo sababu ya kuwepo kwetu, msingekuwepo nyinyi na sisi tusingekuwepo pia. Leo niwakaribishe mje mseme kero ambazo mnakutana nazo mnapokuja kwenye...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Kikawaida baada ya kujifungua hutakiwi kuziona siku zako kwa muda wa meizi sita, hii hufahamika kitaalam kama (Lactational Amenorrhea Method) ni moja ya njia ya asili ya uzazi wa mpango ambapo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom