Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habarini wanajamvi, Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu upande wa kulia chini ya mbavu japo sio maumivu makali na tatizo hujitokeza wakati wa baridi, nikifanya kazi za kuinama muda mrefu...
1 Reactions
8 Replies
26K Views
Imeandikwa na Dk. Boaz Mkumbo MOJA ya vyakula ambavyo tumekuwa tukitumia kwa wingi hasa Watanzania wenye kipato cha kati na chini kabisa ni vyakula vya aina kuu tatu, Wanga, Protini na Mafuta...
8 Reactions
18 Replies
23K Views
Hello wakuu husika na kichwa cha habari juu hapo Toka jana najikuna sana, hasa saa za usiku Mchana sio sana, Msaada tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Natanguliza heshima zangu kwenu. Jamani samahani nasumbuliwa sana na tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu pamoja na maumivu makali huku nikiharisha inaweza kunichukua hadi lisaa kutulia na kuanza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina twins ambao ni wa kike na kiume. Mtoto wa kwanza ni wa kike hivyo sina experience ya kulea wa kiume. Sasa huyu twin mmoja ambaye ni wa kiume amezaliwa na mzigo wa korodani size ambayo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Chai au kahawa ni vinywaji vinavyopendwa na watu wengi wa jamii zote duniani kama kiamsho kwa asubuhi au jioni. Pamoja na kuwa ni vinywaji ambavyo vimezoeleka sana kwa matumizi ya kawaida katika...
1 Reactions
9 Replies
28K Views
Wakuu heri ya sikukuu ya Pasaka, Kuna ndugu yangu alikuwa mzima wa afya, baada ya kuumwa Malaria,kutokana na zile dawa alizotumia, masikio yameziba. Katika kuhangaika kumtibia ndio nasikia kuna...
1 Reactions
1 Replies
657 Views
Wanajamvi nimekuwa nikipata maumivu kwenye koo zaidi ya wiki sasa nimejaribu kutumia Ampclox lakini maumivu bado yameendelea kuwepo.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni miezi sita sasa tangu nilipoanza kuuza majani ya ngano kwa wagonjwa wa Kansa, Kisukari, vidonda vya tumbo na Presha na matokeo yake wengi wamepona na wengine bado wanaendelea na matibabu na...
3 Reactions
46 Replies
13K Views
Nimeamua kuacha haya 1. Nimeacha ku "come" nje ya nanii. Hii iliniletea matatizo ya kiuno. Watalaamu walinambia kwa yale matatizo sababu zilikuwa mbili - Kama nafanya mastabesheni - Na"come" nje...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kila binadamu aliumbwa akiwa na mkia mdogo ambao hufyozwa na kutoweka tangu siku za mwanzo za uhai wake tumboni kwa mama. Mkia huo ni miongoni mwa viongo ambavyo vipo ndani ya mwili wa binadamu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
"Haikuwahi kutokea kwangu kuwa nilitumia dawa za kuzuia mimba 'morning-after pill' na zikashindwa kufanya kazi.'' 'Rachel' ambalo si jina lake halisi, alipata ujauzito baada kubakwa akiwa nchini...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Juzi nilienda kituo cha afya na kucheki afya nikakutwa nina Typhoid. Sasa nimeanza kutumia dozi za Typhoid (Cepro) siku ya 3 hii. Ila wataalamu ni kwamba yaani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mama yangu mdogo tangu ameambukizwa Virusi Vya Ukimwi miaka 2 iliyopita amekataa kata kata kutumia dawa za ARV ili kuongeza maisha. Amekuwa mbishi, licha ya kushauriwa na madaktari, anadai ni...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Mimi ni mwanaume 29 (nimeoa), kwa sasa nipo Dar, miezi mitatu Iliyopita nilianza kujisikia vibaya hasa kupata maumivu ya kiuno na viungo vyote vya mwili, niliamua kwenda hospital moja hapa Dar...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba kuuliza "STRESS NI NINI?" Na hebu niambie jambo moja linaweza kusababisha stress.
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wakuu, naomba kuelemishwa. Kuna madhara yoyote kimo cha mimba kuwa tofauti na umri wa mimba? Mke wangu umri wake wa mimba ni wiki 37+6 na kimo cha mimba ni 40. Na hii ni mimba ya pili...
0 Reactions
28 Replies
16K Views
Za asubuhi jamani hongereni na majukumu ya kujenga taifa letu nilikuwa na uliza ivi, kuingia hedhi siku 7 kuna tatizo? ====== Baadhi ya majibu ya wachangiaji ======= Idadi ya siku za kuingia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mji wa uzazi hufahamika kama (Uterus), wakati mwingine msichana huzaliwa na uterasi ambayo ni ndogo sana kuliko kawaida, hali hii hujulikana kama ''hypoplastic uterus'' au ''Uterine Hypoplasia''...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Niende kwenye mada Napenda kuuliza je mtu akimeza dawa za Malaria kabla ya kupima hospitali, maana naziona dalili zake kabisa sasa hospitali kidogo kuna umbali. Yapi madhara yake endapo itakuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom