Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Habari wadau? Nina tatizo la mwili wangu kuwa na joto muda wote na mate yanakuwa ya uchungu na hilo joto inafikia kipindi mpaka mwili unaniwaka sana moto! Nilipima kipimo cha full blood picture...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Kuna mtaa nilipita nikakuta vijana wanabishana sana kuhusu haya magonjwa mawili UKIMWI na Ebola, wengi walikuwa wanasema Ebola ni hatar kuliko UKIMWI Ila ukiwauliza sababu kwanini ni hatari kuliko...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Napata maumivu kifuani nikipumua, hasa wakati wa usiku, na hali hii imetokana na kuwa na mawazo makali sana ambayo yamepelekea hiyo hali. Naomba ushauri.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Pineapples are low in calories but have an incredibly impressive nutrient profile. One cup (5.8 ounces or 165 grams) of pineapple chunks contains the following (2): Calories: 82.5 Fat: 1.7 grams...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za alfajiri; Nianzie kwa kuelezea kidogo: Dementia ni hali/ugonjwa unaosababisha kupungua kwa uwezo wa kiutendaji wa kiakili ikiwemo kumbukumbu,na uwezo wa kufikiri.Hali hii hupelekea mtu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni Kisonono, Kaswende, Klamdia, Kankroidi, Utando mweupe, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Shida kubwa ya magonjwa mengi ya zinaa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Huu mti jina sijui ila wengine wanaita mhadarati kama sijakosea. Unavimatunda vinapendwa sana na popo ila ni mazuri sana kwa wagonjwa wa kisukari. Huwa inashusha sukari na kuifanya iwe normal...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wanachama, Nauliza uimara wa hizi dawa siku hizi zimezagaa mitandaoni na biashara za network marketing. Je zinasaidia kweli? Kama za hormones imbalance. Naomba ushuhuda wa waliowahi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Polen na kazi ya kusafisha nchi yetu,naomba munieleweshe kwa wanaotumia hiki chombo water dispenser majumban kwao, hivi ni lazima kutumia haya maji ya kiwandani (ready purified) kama ya uhai au...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Jamani kama nilivyotanabaisha hapo juu, nimepata kabinti karembo kama wiki mbili zilizopita. Sasa nauliza kwa wakongwe, hivi mgegedo napata baada ya muda gani mabaharia!
1 Reactions
58 Replies
7K Views
Kuna jamaa angu ana tatizo la kusikia, ametumia dawa mbali mbali lakini hazijafanya kazi. Je afanyaje ili apone?
0 Reactions
1 Replies
772 Views
Ukatili dhidi ya watoto umetajwa kusababisha magonjwa ya akili na wazazi wametakiwa kuchukua hatua haraka wanapoona mabadiliko ya hisia yasiyo ya kawaida kwa watoto wao kwani ni dalili ya kuanza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari, Tatizo la vipele shingoni na mgongoni kwa mtoto wa miezi sita, linasababishwa na nini maana linaongezeka na kumuwasha kwa kasi, msaada kwa anayejua tiba yake. Asante
2 Reactions
13 Replies
19K Views
MAJI YA UVUGU VUGU TAFADHALI SAMBAZA KWA FAMILIA NA MARAFIKI, NI MUHIMU NA INAWEZA KUOKOA MAISHA YA MTU. Jopo la madaktari wa Kichina limethibitisha kwamba maji ya vuguvugu yana uhakika wa...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, nimepima hiki kipimo ili kujua uwezo wangu wa kuzalisha. Naomba msaada Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mimi mgeni hapa JF, napenda kuuliza kama kuna ambao mmewahi kuugua vidonda vya tumbo mkawa na tatizo la ukosefu wa usingizi, uoga uliokithiri, moyo kwenda mbio sana, kusahau sahasu, hasira...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Assalam wakuu, Nina sister wangu anakuwa na dalili zifuatazo: 1) Maumivu ya kichwa na moyo kwenda mbio 2) Baada ya hali tajwa hapo juu hupatwa na kama degedege hivi yaani huzimia na kutokwa na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni sumu ambayo inatolewa na nyoka wakati wa kung'ata mtu, asilimia kubwa ya nyoka ambao wapo kwenye mazingira yetu hua hawana sumu yaani kimsingi ukiona mtu ameng'atwa na nyoka leo afu kesho...
7 Reactions
20 Replies
15K Views
Nawasalimu ndugu zangu. Miezi kadhaa nilileta mada hapa nikashauriwa na kufarijiwa nanyi, ushauri wenu kwa 75% niliufanyia kazi na wengi walishauri kurudia vipimo hospital nyingine hasa Kamanga...
4 Reactions
57 Replies
8K Views
Back
Top Bottom